Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Viongozi wa dini wamekutana na Rais wakatoa ushauri ila TEC kwa utashi wao wakakosa subira wakafanya maamuzi ya kibinafsi yanayotaka kuleta udini na kuligawa taifa.
Nioneshe ni lini viongozi wa dini walikutana na rais kuzungumzia mkataba