Hatimae bandari za watanganyika zimebaki kwa watanganyika, Mkataba wa kimagungo watupiliwa mbali.
Wote tuseme AMEN!
Nimeyasikia yote uliyoyasema kuhusu usalama, amani, umoja na muendelezo wa taifa letu, niliamua kunyamaza kimya, na naendelea kunyamaza kimya, nachotaka kuwahakikishia hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuligawa taifa hili, na hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuuza taifa hili, na hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuharibu amani na usalama kwenye taifa letu" - Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan