Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Ukweli upi?KKKT ndo kanisa la kweli. Nimeshaona
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli upi?KKKT ndo kanisa la kweli. Nimeshaona
Hatujafika hiyo dunia bwashee . Bado chadema wanalalamika kuibiwa kura ujueDunia ya sasa hawagawi miili bali wanagawa Fikra!
Anajazia jazia na kwa wasilamuu 🤣Huyo bingwa Wao Mwamposa hana hao laki 3😂😂
Ndiyo hivyoHii hivi inakuwaje
Sasa yeye Samia ni mwanasiasa, kwenye dini anachanganya kwanini kaenda kanisani kuhutubia?Acheni udini jaman
Umeshiba ulanzi tayari, Shoo anagombea Mwenyekiti wa mtaa?Uchaguzi wa Serikali za mitaa?
Huko kanisani yeye alienda kufanya nini kwani majukwaa yameisha mtaani?Acheni udini jaman
Tena huyo askofu amepa somo na historia ya nchi na akamwambia hatutaki kuambiwa tusichanganye dini na siasa.Hapo ndipo filosofia ya dini inafanyakazi kweli ameeleweshwa vizuri sana na akaambiwa kuwa dini zote walikwenda kumuona akaahidi kufanyia kazi mswada wao lakini hajajibuPunguzeni porojo
Hawajaunga mkono mkataba mbovu
Mnadanganya ili iweje
Amesema wanaunga mkono uwekezaji ulio na faida kwa Taifa sio huu uliopo sasa
Wakatoliki wamenyoosha maelezo KKKT wamefunga mjadala. Ujumbe ni ule ule acheni kupotosha
Chadema ndio hao akina Shoo Bwashee 😄Hatujafika hiyo dunia bwashee . Bado chadema wanalalamika kuibiwa kura ujue
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa umekaribiaMambo ni mengi
Full Unafiki !!!Kakaake sijui nani kasema Jana Siasa zisiingie makanisani. Leo wameshindwa
Ukiwa halali wataunga!Jana Roma Catholic wameweka wazi hawautaki mkataba
Leo waluteri wa kkkt Mbele ya Rais wameunga
Walokole kina Masanja, Georgevie hao wataunga tu.
Wasabato itakuwaje ?
Kwani hao ni mhimili wa serikali wa unge wa siunge Bunge mahakama na baraza la mawaziri lilisha amua.Jana Roma Catholic wameweka wazi hawautaki mkataba
Leo waluteri wa kkkt Mbele ya Rais wameunga
Walokole kina Masanja, Georgevie hao wataunga tu.
Wasabato itakuwaje ?
Na sisi mashahidi wa yehova?Jana Roma Catholic wameweka wazi hawautaki mkataba
Leo waluteri wa Kkkt mbele ya Rais wameunga
Walokole kina Masanja hao wataunga tu.
Wasabato itakuwaje ?
KKKT wamesema wanaunga mkono uwekezaji wenye tijaJana Roma Catholic wameweka wazi hawautaki mkataba
Leo waluteri wa Kkkt mbele ya Rais wameunga
Walokole kina Masanja hao wataunga tu.
Wasabato itakuwaje ?