Askofu Mkuu Jimbo Kuu Katoliki Mwanza awataka wanyonge kukataa wanaomtukana Hayati Magufuli

Mama awe makini na machawa wake watamgombanisha na Kanisa Katoliki. Izi kauli sio za bahati mbaya. Kanisa Katoliki litakuwa na manung'uniko chini chini na katika Siasa za kidola huwezi kuibeza nguvu ya kanisa katoliki
Yuda alikuwa Mtume na mfuasi wa Yesu lakini alipomsaliti Yesu mpaka sasa hivi hata Kanisa huwa linagoma kumbatiza mtu jina la Yuda,kumsema Magufuri kwa yale aliyoyafanya ya kuisaliti Katiba na Amani ya Tanzania hakuwezi kuigombanisha Serikali na Kanisa Katoliki kamwe.Kumbuka msimamo wa Magufuri kwenye Korona na msimamo wa maaskofu kwenye Korona vilikuwaje?Fr Kitima alisemaje?Askofu Bagonza alisemaje mpaka Magufuri akataka kumnyang'anya uraia.Yanasemwa mambo yaliyo ya wazi na si ya kubuni pamoja na kwamba kuna mambo alifanya vizuri lakini kutengenezea watu umaskini ilikuwa ni kosa la jinai ambalo Magufuri alilifanya,miaka mitano ya utawala wake bila ajira kwa wahitimu wa shule na vyuo mbalimbali lilikuwa kosa kubwa ambalo hatasamehewa kamwe,kutokuongeza mishahara kwa Wafanyakazi wa serikali lilikuwa kosa kubwa.Kuna mambo mengi alivurunda kabisa.
 
Nkwande analishwa na kuvalishwa bure na kati ya hao wanamvalisha wamepitia magumu ya utawala wa Magufuli. Kabla ya kutoa matamko hayo angeomba kuundwa kwa tume ya wazi ya kupokea malalamiko ya mambo waliofanyiwa. Kivipi anaweza kumkataza mtu kama Lissu akae kimya.
 
Huna lolote.

Yeye kuvalishwa au kulishwa, hakumfanyi ASISEME UKWELI.


Fala weee
 
Askofu atuambie alipo ben saanane aliyejaribu kuchunguza uhalali wa Phd ya ya yule mwehu na wengine wengi ambao maiti zao zilizokutwa kwenye viroba
Suala hapa ni Kazi nzuri alizofanya JPM.


Mwambie Mama Samia awambie Ben Saa nane yuko wapi.
 
Unyonge ni hali ya kutokuwa na nguvu, mamlaka ama madaraka.

Unapokosa hivyo automatically unakuwa mnyonge, whether you like.

Wanyonge ni wengi sana nchi hii, wanaonewa na Magufuli alikuwa mtetezi wao wa kweli.
Naona mmebeba kaneno 'Mnyonge'

Hoja ya Kiongozi, imewapigaaa , Sasa mmekoswa Cha kuongea.


HAMTAKA MKUBALIKE KWA KUMTUKANA JPM.
 
Kama watanzania ni wanyonge kwanini kanisa linataka sadaka zao? Kwenye jumuia michango kibao mpaka sabuni ya kumfulia padri chupi wanatoa wanyonge mjinga kabisa huyo askofu!
Mmejikita kwenye Unyonge.

Nyundo alizowapiga, mmepagawa
 
Breaking:Wanaomtukana Marehemu JPM ni hawa hapa:1.Mafisadi papa waliokomeshwa na JPM:2:Waliofoji vyeti nya kidato cha nne na kufukuzwa kazi 3:Majambazi na wezi wa kutumia bunduki 3:Machawa 4:Viongozi waliopita ,walio na wivu na kazi nzuri za JPM. 5:Wapinzani waliodhibitiwa na JPM na kukosa ajenda.
 
Mkuu katika watu ambao wako humble na fair ni huyu kama unakumbuka wakati wafuasi wa chadema wanakamatwa kanisani st. Joseph Mwanza kwa kisingizio walifanya fujo Askofu lenatus Nkwande alipambania watoke na kulalamika wazi wazi mbele ya vyimbo vya habari.
Between sikatai kanisa catholic ni taasisi inayoongozwa na watu na tusifichane kuna watu wanavyama vyao licha ya kuwa ni vionozi wa kanisa kama father kitima katibu wa TEC yule ni chadema damu damu toka yuko sauti university.
Askofu lenatus Nkwande hajawahi kuonyesha yuko upande wa Magufuli akiwa hai tofauti na Kardinal Pengo logic yake ni kumsema mtu ni mbaya kila siku as if hakuna alicho fanya sio fair between kwa imani ya ki-catholic na ya kikristo in geral mtu akifa sio sawa kumsema vibaya achilia mbali Magufuli amekufa akiwa amepata sacrament ya kitubio na mpako wa mafuta matakatifu.
Logic yake ni kuwa kama kuna watu wanamsema vibaya Magufuli basi sio mbaya wale wanao msema vizuri waonekane wabaya
 
Angewaasa watanzania wote na sio kuchagua kale kakikundi ka wanyonge pekee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…