commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,956
Unaujua msongo rasmi ulionao,wewe endelea kupambana na hali yako!Vyeti feki vimetokea wapi? Au ndio yale ya mtu ana PhD lakini hawezi kuongea au kuandika sentensi ya kiingereza, na maprofesa waliomsaidia kuandika thesis wote akawapa byeo?
Umeshakula Cha mchana?Unaujua msongo rasmi ulionao,wewe endelea kupambana na hali yako!
Mwisho wa siku utainhia kulala,na lazima utafute kula ya wanao kama unao!
Ya Marehemu yaliisha!
Na familia inaendelea na maisha yao vizuri,hana vijana vilaza!
Ndio maana unamuona mama Samkara na watoto wa Sankara wakiwa kwenye Professional zao!
Hawataki siasa wala uchawa!
Angalia kwanza object ninayoitumia kupost humu JF ndio utajua hatufanani wala kulingana!Umeshakula Cha mchana?
Huo upotoshaji wako chiembeMalasusa amekutana na kigingi kizito, kakubali yaishe, alizoea kuoneaonea wachungaji, Sasa ameweka ugoko, Kimaro kaweka Jiwe la Mbinguni, wachungaji wajiandae kumuangusha katika nafasi yake ya uaskofu, wasamehe lakini wasisahau anayewaangamizaView attachment 2522759
Angalia kwanza object ninayoitumia kupost humu JF ndio utajua hatufanani wala kulingana!
Mimi sitafuti pesa ya kula,natafuta maisha yenye upendo na amani kwa mke wangu na wanangu!
Ndio maana nawachukia wezi,wala rushwa,wabadhirifu na wakabila kama wewe chiembe !
Mnamchukia Dk Malasusa!
Kisa tu,alimuwajibisha Kimaro! mmachame mwenzenu toka Hai!
Ndio maana watanzania wamewakataa sababu ya Ukabila wenu na kuligawa taifa.
Chagga Dem***** Manifesto!
Tunawaona na tunawajua na tunawadhibiti na mnadhibitika!
Hata mm naona kuna harufu ya like kabila nyuma ya mchungaji mkosefuUkabila umeingia kwenye hili
USSR
Japo Mwingira alikuwa Mwinjilisti wa KKKT Sidhani kama bado ni jambo rahisi kihivyo kea mchungaji Kimaro kutoboa na Kanisa binafsiHuu ni utumwa wa kipuuzi, udhalilishaji kwa mchungaji Kimaro na familia yake na hata aibu pia kwa wana KKKT.. THIS IS EVIL.. Hakuna Mungu wala nn hapo, Mungu hawezi fanya huo uonevu na udhalilishaji, that is evil spirit.
Malasusa mwenyewe alifukuzwa na KKKT kama sio serikali wakati ule, Malasusa ungekuta sio Askofu wa KKKT..
Huu ni ujinga tu, wanamuonea wivu Kimaro, this is not acceptable, upuuzi. Kimaro anzisha kanisa lako ASAP, achana na hao akina Malasusa, acha moyo wa uoga uoga. Jiuzulu kisha, anzisha kabisa lako, pitisha michango within a month unajenga kanisa, waamini utawapata maradufu ya hapo... Hapo hutaweza ongea tena, utakuwa umefungwa mdomo na hutaweza sema kweli na mahubiri yako yatakuwa ya kujifunga kabisa..
Ugumu upo wapi? Mchungaji Lukumay (alikua Kwa Mama Rwakatare Sasa ana Kanisa Mbezi Africana) Kimaro atashindwa nn na base aliyo nayo? (Ndani na nje ya nchi?)Japo Mwingira alikuwa Mwinjilisti wa KKKT Sidhani kama bado ni jambo rahisi kihivyo kea mchungaji Kimaro kutoboa na Kanisa binafsi
Japo Mwingira alikuwa Mwinjilisti wa KKKT Sidhani kama bado ni jambo rahisi kihivyo kea mchungaji Kimaro kutoboa na Kanisa binafsi
Binafsi sijaandika swala la siku 60 chk vzuri mkuu...
Issue kama amekosea umempa barua unamwita aombe radhi..radhi ya nn??? Kuna kosa lingine alifanya akampa barua kisirisiri.....waumini tunajua ile barua ndio ina makosa yote
Uwezi mwita mch kwanza nikusaidie mkuu Ask alijua kimaro atakuwepo tuachane na hiloooooooo....
Unasema ameomba radhi kwa lipi!???
Kama n moja ya makosa yaliyokuwa kwenye barua....anahitaji kuomba tena radhi....;!??br politics kwenye dini mbaya sana sanaa
Maana ya msamahaa unasamehee kila kitu kama wakristo ..sisi hatuna zile surtykuntabil mkuuu..hata nyumban akiomba radhi shemeji achiaa malizana nae ndio maana tuazika hawa watu killasikuu
Wanasisitiza tusameeane alafu wao wagumu kusameheeeeee mkuu pataaa Dompooo nirushie namba nilipe ....tuwaombee mkuuuu sisi nnwaumini
Alikosea waumini wa kijitonyama
Wangeafuta siku aitwe aomhe radhi kkkt kijitonyama mkuu ...nimecheke kusema awakujuana watakutana mkuu Dk Kimario humjui vizuri auhudhurii shuhuli kijinga kuna kitu....na alijua atambiwa x+y=Z
Twende kwa mkapa mkuuu tukaangalie wanaume Yanga
Hao wanajuana sana na kama huamini hata makosa uliyoyajua n zaidi ya hayo nanwatajua wanamalizanaje
Twende tukapige surrrathfungwaa surrrathyalbadil tuambulie hata magoli mawili tupate 10m ya Mh mama Yetu
SALAZENU KWA YANGA JAMANI ANAIWAKILISHA TAIFAAA
Huyo mchungaji alisema vijana wa kiislam ni waaminifu kuliko wakristo,Sasa unafiki wa wakristo wewe unakuumiza nini? Maana kama na wewe ni mkristo basi ni mnafiki mwenzao, lakini kama wewe ni muislamu, acha wanafiki wanafikiane wenyewe..!! Maana hakuna mahala unafiki wa wakristo unawaharibu waislamu kwenye hili..!!
Nawe uzushi wako huu mauwongo uwongo uyarudishe huko kwenye vilabu vyako vya pombe. Hauoni hata aibu kila jambo ushabiki wa kijinga uliojaa uwongo unapata faida gani. Mpuuzi kweli.Malasusa amekutana na kigingi kizito, kakubali yaishe, alizoea kuoneaonea wachungaji, Sasa ameweka ugoko, Kimaro kaweka Jiwe la Mbinguni, wachungaji wajiandae kumuangusha katika nafasi yake ya uaskofu, wasamehe lakini wasisahau anayewaangamizaView attachment 2522759
ukabila uko wapi? Km uwezo wako wa uelewa ni mdogo kaaga kimya.Ukabila umeingia kwenye hili
USSR
Mungu atamlipia..Huu ni utumwa wa kipuuzi, udhalilishaji kwa mchungaji Kimaro na familia yake na hata aibu pia kwa wana KKKT.. THIS IS EVIL.. Hakuna Mungu wala nn hapo, Mungu hawezi fanya huo uonevu na udhalilishaji, that is evil spirit.
Malasusa mwenyewe alifukuzwa na KKKT kama sio serikali wakati ule, Malasusa ungekuta sio Askofu wa KKKT..
Huu ni ujinga tu, wanamuonea wivu Kimaro, this is not acceptable, upuuzi. Kimaro anzisha kanisa lako ASAP, achana na hao akina Malasusa, acha moyo wa uoga uoga. Jiuzulu kisha, anzisha kabisa lako, pitisha michango within a month unajenga kanisa, waamini utawapata maradufu ya hapo... Hapo hutaweza ongea tena, utakuwa umefungwa mdomo na hutaweza sema kweli na mahubiri yako yatakuwa ya kujifunga kabisa..
lazima tujifunje kuheshimu mamlaka zilizotuajiriHuyu nae ajiandae yule sheikh kashasepishwa muda ni hukumu ya kweli
Linaweza kuonekana la kikabila zaidiUgumu upo wapi? Mchungaji Lukumay (alikua Kwa Mama Rwakatare Sasa ana Kanisa Mbezi Africana) Kimaro atashindwa nn na base aliyo nayo? (Ndani na nje ya nchi?)