Wakristo waache unafiki, msamaha kwani alikosa? Alipewa likizo na kuripoti makato makuu Sasa wapi hapo inaonesha alikosea, kama walikoseana sirini iweje Leo msamaha uwekwe hadharani?Yaani wakristo wameombana msamaha wao kwa wao, HALAFU ANATOKEA MUISLAMU INAMUUMA HATARI..!!! Hii ni zaidi ya balaa
Kwani kosa lake lilikuwa lipi?Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama ameomba msamaha kwa Kanisa zima la KKKT, Maaskofu, Wachungaji na Waumini wote
Askofu Malasusa amemtangazia msamaha
Askofu awataka Waumini waache Ushabiki kwa sababu wanaligawa Kanisa na huo siyo Ukristo
Tukio lilikuwa mubashara KKKT Kinyerezi
Chanzo: Upendo TV
View attachment 2522599
=====
Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Dkt Alex Gehaz Malasusa leo kupitia Ibada ya Jumapili katika Kanisa la KKKT Usharika wa Kinyerezi ametangaza msamaha kwa Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la KKKT Usharika wa Kijitonyama Dr. Eliona Kimaro ambaye January 16, 2023 Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP) ilimpa likizo ya miezi miwili bila kuweka wazi sababu za likizo hiyo.
Licha ya kupewa likizo ya miezi miwili, Kimaro alitakiwa kuripoti Makao Makuu pindi likizo yake itakapomalizika, jambo ambalo liliibua taharuki kwa Waumini wa Kanisa hilo na hata baadhi ya Waumini wa KKKT Kijitonyama wakaandamana wakiomba Uongozi wa Kanisa hilo umrudishe Kimaro.
Askofu Malasusa leo amenukuliwa akisema โSote ni Wakristo lakini wengine tumeitwa ili tuwaongoze katika kazi ya Mungu na hawa ni Wachungaji, tuwatunze, tuwasaidie, tuwaombee na tuwapende, Mchungaji Kimaro, Ndugu yangu kama ulivyoomba na Mimi nasema kwa niaba ya Washarika umesamehewaโ
Kuhusu kusimamishwa kwake, soma: Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Nadhani Bango la Morocco linahusika!Wakristo waache unafiki, msamaha kwani alikosa? Alipewa likizo na kuripoti makato makuu Sasa wapi hapo inaonesha alikosea, kama walikoseana sirini iweje Leo msamaha uwekwe hadharani?
NAOMBA MSAMAHAMchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama ameomba msamaha kwa Kanisa zima la KKKT, Maaskofu, Wachungaji na Waumini wote
Askofu Malasusa amemtangazia msamaha
Askofu awataka Waumini waache Ushabiki kwa sababu wanaligawa Kanisa na huo siyo Ukristo
Tukio lilikuwa mubashara KKKT Kinyerezi
Chanzo: Upendo TV
View attachment 2522599
=====
Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Dkt Alex Gehaz Malasusa leo kupitia Ibada ya Jumapili katika Kanisa la KKKT Usharika wa Kinyerezi ametangaza msamaha kwa Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la KKKT Usharika wa Kijitonyama Dr. Eliona Kimaro ambaye January 16, 2023 Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP) ilimpa likizo ya miezi miwili bila kuweka wazi sababu za likizo hiyo.
Licha ya kupewa likizo ya miezi miwili, Kimaro alitakiwa kuripoti Makao Makuu pindi likizo yake itakapomalizika, jambo ambalo liliibua taharuki kwa Waumini wa Kanisa hilo na hata baadhi ya Waumini wa KKKT Kijitonyama wakaandamana wakiomba Uongozi wa Kanisa hilo umrudishe Kimaro.
Askofu Malasusa leo amenukuliwa akisema โSote ni Wakristo lakini wengine tumeitwa ili tuwaongoze katika kazi ya Mungu na hawa ni Wachungaji, tuwatunze, tuwasaidie, tuwaombee na tuwapende, Mchungaji Kimaro, Ndugu yangu kama ulivyoomba na Mimi nasema kwa niaba ya Washarika umesamehewaโ
Kuhusu kusimamishwa kwake, soma: Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Yeye Malasusa ni msafi? Mbona anatajwa kwa kashfa kadhaa hajitokezi hadhaeani kuomba msamahaAskofu Malasusa amemtangazia msamaha
Askofu awataka Waumini waache Ushabiki kwa sababu wanaligawa Kanisa na huo siyo Ukristo
Mentality hii ni kujenga Taifa la mafala...unaombaje msamaha kwa kitu usichokijua?....tabia ya kijinga sana hii...Kwa mwenyehekima kuomba msamaha hata kama huna kosa ni kujishusha, jambo ambalo MUngu hupenda. Kuomba msamaha ni kutafuta roho ya mapatano kwa maana hata kama una haki kujikweza hakuleti upendo wa Mungu maana unyenyekevu ni jawabu la roho. Utii ni bora kuliko dhabihu
Hiyo ni nada nyingineYeye Malasusa ni msafi? Mbona anatajwa kwa kashfa kadhaa hajitokezi hadhaeani kuomba msamaha
Amewasaliti waliokuwa wanampambania?NAOMBA MSAMAHA
๐ ๐ ๐ Huyo hapo sasa,wako wapi chawa wake?Mwanakondoo ameshinda,Tumfuate๐NAOMBA MSAMAHA
Kimaro ameomba msamaha sasa hapo nani kakubali mzikiMalasusa amekutana na kigingi kizito, kakubali yaishe, alizoea kuoneaonea wachungaji, Sasa ameweka ugoko, Kimaro kaweka Jiwe la Mbinguni, wachungaji wajiandae kumuangusha katika nafasi yake ya uaskofu, wasamehe lakini wasisahau anayewaangamizaView attachment 2522759
Asante Mtumishi Andendekisye Mwambapa๐ ๐ ๐ Huyo hapo sasa,wako wapi chawa wake?Mwanakondoo ameshinda,Tumfuate๐
Ameomba msamaha ametubu na kulia amejipaka hadi majivu na kujifunika magunia ameomboreza na kulilia posho, Kimaro amekuwa chawa kama baba Levo na mwijakuMalasusa chawa wa Mwendazake
Do! umeandika kishabiki sana labda mimi sijakuelewaMalasusa amekutana na kigingi kizito, kakubali yaishe, alizoea kuoneaonea wachungaji, Sasa ameweka ugoko, Kimaro kaweka Jiwe la Mbinguni, wachungaji wajiandae kumuangusha katika nafasi yake ya uaskofu, wasamehe lakini wasisahau anayewaangamizaView attachment 2522759
Sasa umeelewa bwashee ๐๐NAOMBA MSAMAHA