Askofu wa KKKT Dkt. Alex Malasusa atangaza kumsamehe Mchungaji Kimaro

Kwani kosa lake lilikuwa lipi?
 
Wakristo waache unafiki, msamaha kwani alikosa? Alipewa likizo na kuripoti makato makuu Sasa wapi hapo inaonesha alikosea, kama walikoseana sirini iweje Leo msamaha uwekwe hadharani?
Nadhani Bango la Morocco linahusika!
 
NAOMBA MSAMAHA

 
Askofu Malasusa amemtangazia msamaha

Askofu awataka Waumini waache Ushabiki kwa sababu wanaligawa Kanisa na huo siyo Ukristo
Yeye Malasusa ni msafi? Mbona anatajwa kwa kashfa kadhaa hajitokezi hadhaeani kuomba msamaha
 
Mentality hii ni kujenga Taifa la mafala...unaombaje msamaha kwa kitu usichokijua?....tabia ya kijinga sana hii...
Ni muhimu mtu ajue kosa ili arekebishe alipokosea...huu ujinga wa kuomba omba msamaha unatengeneza roho ya inferiority sana...
 
Hili kanisa limepoteza kabisa mwelekeo, Dayosisi zimekuwa sehemu za malumbano, vitisho, majigambo, fitina, ushirikina, wizi, ubadhirifu nk
 
Kimaro ameomba msamaha sasa hapo nani kakubali mziki

USSR
 
Do! umeandika kishabiki sana labda mimi sijakuelewa
 
Asubiri kupangiwa majukumu mengine
Hawezi kurudishwa pale palipo mpa kibri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ