Askofu wa KKKT Dkt. Alex Malasusa atangaza kumsamehe Mchungaji Kimaro

Acha kupotosha! Anaendelea na likizo yake ya siku 60 ili kuendelea kutafakari. Kwanini unakuwa na roho ya kiibilisi ya kushabikia migogoro ya kichungaji?Hizo siasa zako peleka huko na si kanisani. Acha kanisa lifuate taratibu zake.
 

Mchungaji wako kalia kama mtoto kuomba msamaha

Asubiri sasa apangiwe majukumu mengine
 
Daah kumbe hujui kwamba!;Hayo ni Matokeo ya Maombi ya Mtumishi wa Mungu na Waumini Kumlilia Yesu Mwenye Kanisa lake Amebidua Meza kama Alivyo bidua Meza Hekalunj![emoji123][emoji106]
Na waharibifu wanao weka tuta Habari Njema isue sue Wasipotubu!; Siku zitasema!
Ref!; Ngwamba!
 
ingekuwa kwa Wakatoliki kwanza wangeondoa mapadre wote na huduma zote za kichungaji kisa kuandamana na huyo padre angehamishwa kabisa hapo
YANAFANYIKA LAKINI KIMYA KIMYA NA WAKATI WA UHAMISHO WA JUMLA WA KILA MWAKA
 
Wakristo waache unafiki, msamaha kwani alikosa? Alipewa likizo na kuripoti makato makuu Sasa wapi hapo inaonesha alikosea, kama walikoseana sirini iweje Leo msamaha uwekwe hadharani?
na siku 90 alizopewa ndio kwanza zimefika nusu
 
Akina Chinembe,sasa mmetoka kwenye siasa na sasa mpo kwenye mambo ya dini au ndio mmegeuza siasa na dini kuwa kachumbari🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…