Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ni Sawa na kusema kuna sababu gani Nchi kuendeshwa na Serikali wakati Deni la Taifa linazidi kupaa?Sasa kunasababu gan ya mirad mikubwa kuendeshwa ma serikal?
Bado haujanijibu swali langu langu hio karamu Mimi nilishaipitia, majibu ya nyongezaNimo.
.umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
Mwarabu ndio nini, acha ubaguzi we bwege.Hio ATC tumpe nani tena Mwarabu?
Haumjui Mwarabu nenda BagamoyoMwarabu ndio nini, acha ubaguzi we bwege.
Hakuna siku SGR itakuja kupata faida hata wakipewa sekta binafsi Kwa sababu hakuna mzigo wa kubeba huko.Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri.
Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali?
Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na sio kwa mara ya kwanza.
ATC tuliiuwa na sasa ipo njiani kuuliwa tena.
Reli ya kati na TAZARA hatujajifunza tu? Sasa tunarudia makosa yaleyale, tunawakabidhi SGR wauwaji.
Hivi lini tutapata akili?
Mzigo wa kubeba upo mwingi sana kama hiyo SGR hawatukuwa na usumbufu, wizi na upotezaji muda.Hakuna siku SGR itakuja kupata faida hata wakipewa sekta binafsi Kwa sababu hakuna mzigo wa kubeba huko.
Subiria maumivu tuu ya mamuzi ya kishenzi.
Bora TAZARA Iko sehemu nzuri,China wataongeza connection kule kwenye migodi Zambia na DRC na kuifufua wa Trilioni 2.5 mda wowote kazi itaanza.
Walau TAZARA ndio wawekezaji wanaweza c
Wekeza Kwa faida.
ATCL Serikali iuze hisa haraka sana iwe na hisa kidogo lakini nyingi kama single owner yaani investor tofauti tofauti wawe na 60% na 40% ziwe za Serikali kama KQ labda tunaweza pata faida vinginevyo ni hasara Juu ya hasara.
Naunga mkono hojaFaizaFoxy yuko sahihi kwenye hili.
Wapewe watu wenye uwezo na wanaojua kufanya biashara. Kama kuna mtanzania ana track record hiyo apewe aongoze hayo mashirika badala ya kuangalia ukada wake. Unampa mtu ambae alikuwa Mkurugenzi wa Wilaya kuendesha shirika la kibiashara halafu unategemea maujiza. Una mtu kuendesha shirika kubwa kama Tanesco ambae hana uzoefu wowote ya uongozi katika sekta ya nishati ya kibiashara.
Na mbaya zaidi ni kuwa unakuta wana siasa ndio wanakuwa na executive power katika hayo mashirika. Waziri wanakuwaje msemaji mkuu wa mashirika kama Tanesco wakati Mtendaji Mkuu wake yupo? Au ATCL? Halafu tunashangaa yanapoendeshwa kwa hasara!
Amandla...
Wewe Kwa akili Yako unategemea hayo kukisekana kwenye public institution? DART inapata faida?Mzigo wa kubeba upo mwingi sana kama hiyo SGR hawatukuwa na usumbufu, wizi na upotezaji muda.
cc Pascal Mayalla Watanzania tujifunze kukubali kuna vitu hatuwezi, tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri.
Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali?
Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na sio kwa mara ya kwanza.
ATC tuliiuwa na sasa ipo njiani kuuliwa tena.
Reli ya kati na TAZARA hatujajifunza tu? Sasa tunarudia makosa yaleyale, tunawakabidhi SGR wauwaji.
Hivi lini tutapata akili?
Mapema sana kabla vitu hivyo havijafa!Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri.
Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali?
Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na sio kwa mara ya kwanza.
ATC tuliiuwa na sasa ipo njiani kuuliwa tena.
Reli ya kati na TAZARA hatujajifunza tu? Sasa tunarudia makosa yaleyale, tunawakabidhi SGR wauwaji.
Hivi lini tutapata akili?
Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri.
Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali?
Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na sio kwa mara ya kwanza.
ATC tuliiuwa na sasa ipo njiani kuuliwa tena.
Reli ya kati na TAZARA hatujajifunza tu? Sasa tunarudia makosa yaleyale, tunawakabidhi SGR wauwaji.
Hivi lini tutapata akili?
Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri.
Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali?
Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na sio kwa mara ya kwanza.
ATC tuliiuwa na sasa ipo njiani kuuliwa tena.
Reli ya kati na TAZARA hatujajifunza tu? Sasa tunarudia makosa yaleyale, tunawakabidhi SGR wauwaji.
Hivi lini tutapata akili?
History and records, zinatufundisha nini?Bandari kashachukua tayari sasa tumpe Reli na Ndege zetu atuendeshee Sisi walemavu wa akili?
Wewe huna Akili ndio wewe unatafutwa umetoroka kule Milembe?History and records, zinatufundisha nini?
Hata kama huna akili ifiche hali iyo!
Wewe unataka mtu mwenye akili duni, teknolojia duni, mtaji hana, asimamie shirika kubwa?, halafu mwishowe aje na visingizio gazeti zima na bila aibu asichukuliwe hatua stahili,zama za upuuzi zimepita, Tanzania haitaweza endelea mbele kwa kazi ya kila siku ya kurekebisha makosa ya Ujinga yanayojirudia kila wakati, - - "fanya jambo maliza, Anza lingine! ""Wewe huna Akili ndio wewe unatafutwa umetoroka kule Milembe?