Kumtoa binti bikira (Hymenoctomy) naona ni ukatili sana (GBV), na wote wawili hamuwezi enjoy, maana mshikemshike wake ni almost like raping 😇Mimi huwa nasema, Hizo kelele za bikra , single maza na blah blah kama hizo zipo huku mtandaoni tu, ila kiuhalisia watu wanaoa na wala hawajali😂😂😂
😆dahSio umasikini, mahali ni utapeli tu. Kuoa nioe mimi nikupe wewe milioni 30, why? Kama unataka pesa tafuta kazi qouma mbuzi
Hehehe!!!Ila tuweke maneno pembeni, uzuri wa Hamissa Mabeto sio powa
Usichezee na uchawi eti wewe wagangaa
Hata Ki Azizi ana watoto hivyo wamekutana woteWaoaji wakiamua jambo lao hakuna wa kuwazuia.
Tena hamisa ana baba watoto wawili na bado anaolewa.
Mobeto unamuonaje wewe toto lainiiiHata kama ameolewa mahari ikiwa bure, muhimu single mama kaolewa! Tena na mwanaume wa maana☺️
Ni vizuri walee watoto wao. Ila wataachana tu nakwambia...nipo nimekaa paleeeeeeeeeHata Ki Azizi ana watoto hivyo wamekutana wote
Hahahaha,hii sentence niliimiss.Kwakweli kuachana kupo pale pale.Hatuwatabirii ila ndo uhalisia.Ni vizuri walee watoto wao. Ila wataachana tu nakwambia...nipo nimekaa paleeeeeeeee
Hata mimi sioni wakifika mbali japo natamani wafike mbali maana Mobeto katuwakilisha kimataifa kavuka mipaka safi sanaNi vizuri walee watoto wao. Ila wataachana tu nakwambia...nipo nimekaa paleeeeeeeee
Habari yako Single mother mwandamiziMimi huwa nasema, Hizo kelele za bikra , single maza na blah blah kama hizo zipo huku mtandaoni tu, ila kiuhalisia watu wanaoa na wala hawajali😂😂😂
Ewaaaaahhh!!! Ni mshangazi wa 3rd floor.Baby, umesahau kitu cha msingi... pia ni 30+
Hahahahahhah,Niacheni Mimi Nina mgogoro wa kifamilia huku.
Milioni 30 kibwegebwege hivyo
Mkuu kikubwa kaolewa na mahari katolewa. Kudumu na kuto kudumu kwenye ndoa ni habari nyingine😂😂Single Mama shida ni moja tu, atatulia? Huna haja ya kumuita Robert Heriel Mtibeli baada ya Mwaka Kama ndoa itakuwa Bado ipo! Wengi