Baada ya Humphrey Polepole kuteuliwa kuwa Mbunge. Je, nani kuchukua nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi ndani ya CCM?

Baada ya Humphrey Polepole kuteuliwa kuwa Mbunge. Je, nani kuchukua nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi ndani ya CCM?

WanaJf ni lazima tupendane.

Kwa namna mkuu Pascal Mayalla anavyoipigania CCM na kwa taaluma yake ya uandishi wa habari na sheria, ninamuona kama mtu sahihi katika nafasi iliyoachwa wazi na Polepole.

Wanaccm wenye mapenzi mema maoni yenu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
Mwache aende ukooó!!
 
Nilimuona kwenye maonesho ya Nane Nane anashika MIC huku akitetemeka, sasa ataweza kazi za Uenezi.

Akae nyumbani kulea wajukuu na kuwapatia hadithi za Vita ya Kagera na namna walivyokuwa wanajenga mahandaki
 
WanaJf ni lazima tupendane.

Kwa namna mkuu Pascal Mayalla anavyoipigania CCM na kwa taaluma yake ya uandishi wa habari na sheria, ninamuona kama mtu sahihi katika nafasi iliyoachwa wazi na Polepole.

Wanaccm wenye mapenzi mema maoni yenu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
Age go alafu kile kitengo kinakuwa mtu wa propaganda ya mdomo na sauti kubwa labda Makonda kidoogo anaweza
 
WanaJf ni lazima tupendane.

Kwa namna mkuu Pascal Mayalla anavyoipigania CCM na kwa taaluma yake ya uandishi wa habari na sheria, ninamuona kama mtu sahihi katika nafasi iliyoachwa wazi na Polepole.

Wanaccm wenye mapenzi mema maoni yenu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
Kijana alitubu, huenda akarudi kwenye nafasi yake.
 
Vinamtosha, kwa maana wote wachumia tumbo..

Wanaongea vitu havieleweki
WanaJf ni lazima tupendane.

Kwa namna mkuu Pascal Mayalla anavyoipigania CCM na kwa taaluma yake ya uandishi wa habari na sheria, ninamuona kama mtu sahihi katika nafasi iliyoachwa wazi na Polepole.

Wanaccm wenye mapenzi mema maoni yenu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom