Baada ya jina lake kutoka kwenye Mkeka wa Afya ataka nisubiri miaka 5 ndio niweze kumuoa

Baada ya jina lake kutoka kwenye Mkeka wa Afya ataka nisubiri miaka 5 ndio niweze kumuoa

Acha kujidanganya mkuu ww muombe Mungu akupe wife mwema..darasa la 5 tuu wtt hawana bikra wana wanaume 5 sembuse form 4?
Wapi huko daras la 5 wana wanaume 5??
Mke mwema hawezi kua na maex 5, wote hao wameona nini kwake mpaka wamkimbie halafu wewe ndo umuone mke mwema.

Mwanamke akishapitia mahusiano mengi jua umewaolea maex zake hao, kupasha kiporo kwa mwanamke ambae ulishakua nae kwenye mahusiano ni rahisi sana.
 
Hahaha Sawa kila mtu na pendekezo lake wewe unapenda 4m4 failure wenzio wanataka graduates [emoji23]
Graduates kwangu hapana, wamechezewa sana. Wengi mpaka anamaliza mwaka wa tatu ashakongoroka ni vile vipodozi na ukisasa ndo kidogo vinawafanya waonekane bado wamo wamo.
 
Wapi huko daras la 5 wana wanaume 5??
Mke mwema hawezi kua na maex 5, wote hao wameona nini kwake mpaka wamkimbie halafu wewe ndo umuone mke mwema.

Mwanamke akishapitia mahusiano mengi jua umewaolea maex zake hao, kupasha kiporo kwa mwanamke ambae ulishakua nae kwenye mahusiano ni rahisi sana.
Hutaoa mkuu..au la usizini kabisaa yani usitembee na wadada wa watu ambao huna mpango nao..then sali Mungu atakupa mke mzuri kabisaa..brand new...
 
Ulikosea sana kusubiria mwanamke miaka 5 bila kutia mimba hata mbili?
Sasa hivi angekuwa na watoto wako,heshima ingekuwepo hata kama angeenda Brazil.

Vijana mnakwama wapi au uoga wa maisha unamwacha mwanamke unayempenda kisa anaenda kufanya kazi mbali nawe ya laki tatu/nne kwa mwezi?? Serious!!
 
Back
Top Bottom