Mlamba asali
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 1,152
- 2,270
Wewe bado ni mvulana!Hakuna mkulima analia kua bei za mahind mchele zimepanda kila mkulima ana chakula na ambao hawana wajifunze kuhifadhi chakula, ukiona bei ya chakula ni ghali nenda shamba kalime
Unafanana na ID yako na avatar yakoWapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.
Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Huyo hata maombi hayamfai..!!Khaaaaah khaaa khaaaa ww unahitaji maombi ww si bure.
Angalau kwa comment hii umeongea vema;Kwa nini udhibiti Bei ya vifaa vya ujenzi ? Kwenye soko huria hakuna kitu kama hicho, labda kwenye monopoly au state controlled economy. Isitoshe mnasingizia Bei za vifaa vya ujenzi, kwani mkulima anajenga kila mwaka?
Ukilima, huvuni hapohapo 😝😝😝Hakuna mkulima analia kua bei za mahind mchele zimepanda kila mkulima ana chakula na ambao hawana wajifunze kuhifadhi chakula, ukiona bei ya chakula ni ghali nenda shamba kalime
Kaandika mwengine aibu naona mimiWapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.
Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Kwa kua unaishi kwa shemeji unadhani kila mtu anaishi kwa shemeji.Wewe bado ni mvulana!
Hapa hapo kwa shemeji alipoolewa dadako ndio uje uandike huu uharo!
Yaani Kwa maelezo haya unawaona wakulima wajinga Sana hawana akili, kuweka stoo yeye hawezi? Hao mnaowaita walanguzi huwa wanawashikia bunduki wakulima kwamba niuzie Kwa lazima mazao yako? Hebu fafanua apo na sie tuelewe.Nilikuwa nasubiri comment ya aina hii.
Wewe ndiye umeelezea Hali halisi ya maisha anayopitia mkulima na mtanzania kwa ujumla.
Mkulima wa nchi hii hanufaiki chochote na Bei ya chakula iliyo sokoni Sasa hivi,na siyo kwamba sisiem hawajui. Ukienda kule mashambani kipindi Cha mavuno,Bei ya maharage kwa mkulima inakuwa chini analanguliwa mno na dalali,na mbaya zaidi mnunuzi anajaza kangomba gunia la kilo Mia akienda kupima anatoa kilo 120.
Sisiem wanachukulia matutusa Sana,wanatufanya Kama wote hatuji chochote. Eti "wacha vyakula viwe juu ili mkulima anufaike na Bei ajae mahela mfukoni,ndiyo maendeleo hayo'. Sisiem ndiyo adui wa nchi hii.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
+AkiliUmeandika kama mtu asiye na elimu.
Weka swali vizuri, kama naweza kununua gari la bei mbaya ambalo wewe huwezi kununua nitaita faida au niiteje hiyo.Angalau kwa comment hii umeongea vema;
Sasa swali, ni faida ipi mkulima anaipata kutokana na upandaji wa bei wa vitu anapohitaji kununua khboresha hali zake?
Kuna Sheria inayomzuia mkulima kuwa middlemen?Wanaofaidika ni walanguzi (middle men) na sio mkulima asee
Nimewahi kulima kule Mbarali estates miaka ya nyuma kabla watu wa share hawajafanya tunyang'anywe mashamba na mwekezaji[emoji52]Na wewe nenda kawe middleman sasa ufaidi. Middleman anapata na Mkulima naye anapàta. Mimi mwenyewe ninaandika hapa min shamba la mpunga Ubaruku. Nimeuza mchele wote palepale Ubaruku wala sikuleta Dar tofauti na miaka iliyopita.
Sio matusi tuu na kingine nachojuwa ni wewe kuwa mpumbavu.Wewe ni mpuuzi tu unachojuwa ni matusi ulirithishwa na mama yako malaya
Kwenye kilimo kila mtu afunge mkanda kwa kweli !! Bei ikipanda ndio furaha ya mkulima !! Wakulima wameonewa sana miaka mingi !! Huwa wanaitwa washamba ! Maana yake ni wa mashambani hajui lolote na hana lolote ! Sasa basi Imetosha Ba ndugu kila mtu ashinde mechi zake !Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.
Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Wewe unadhani kupanda bei ndio tija,Wapumbavu wanaishi Dar es Salaam na mijini wanataka wanunue unga kilo Tsh 1,000 milele. Hawajui mkulima anavyohangaika kufyeka pori, kulima na kupalilia. Hawajui bei ya pembejeo eti leo wanalalamika mahindi na Michele vinakwenda nje ya mipaka ya Tanzania.
Huu ndiyo wakati wa mkulima wa Tanzania kupata bei nzuri, hakuna kufunga mipaka. Chakula kikiisha na sisi Tanzania tutanunua nje ya Tanzania. Vile vile kama tutauza nje basi soko litakua hivyo basi watu wengi watajishirikisha na kilimo
Hizo bei hazisaidii mkulima maana akishauza nakutoa ghalama za uzalishaji mpaka nauli ya kufika sokoni anarudi bilabila.Kwenye kilimo kila mtu afunge mkanda kwa kweli !! Bei ikipanda ndio furaha ya mkulima !! Wakulima wameonewa sana miaka mingi !! Huwa wanaitwa washamba ! Maana yake ni wa mashambani hajui lolote na hana lolote ! Sasa basi Imetosha Ba ndugu kila mtu ashinde mechi zake !
Wakulima tupo bega kwa bega na mama yetu mpendwa mama Samia kwa kutufuta machozi na kutulipa jasho letu,tutamlipa kwa kumpigia kura kwa kishindoooC.c; Lucas mwashambwa