Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Zilizoruhusiwa ni zipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mchawi umeshindwa jua mbona unanipa wasiwasi tumekuamin mdaa humu achana na picha hii ya passport.Kwahiyo waliokwisha kopa ndio imetoka hiyo?
Nafikiri ambazo hazijatajwa kwenye list hapo ..Zilizoruhusiwa ni zipi?
🤔🤔🤔 Mara paap! Wamefunguliwa tena ...!!Nimewapigia watu wa pesa X ,jioni mdada kapokea nikawauliza vipi naweza kupata mkopo ,eti ananijbu Kuna tatizo la kiufundi ,nikamwambia litaisha akasema maengeneer wao wapo wanalishughulikia nikamwambia mmefungiwa matapeli wakubwa .
Yule dada kanitukana tusi baya ,nikawa nacheka bila break akakata simu .Ila nimeamua kuwa kila siku nitakuwa nawapigia mpaka wafunge laini yao ,nitakuwa nawapigia kuwacheka.
Hawanidai ila naweza kuwapigia kuwaomba msamaha yakaisha maana ,Mimi ni mtu muungwana Kaka hivyo usiniogopeshe wakirudishwa.🤔🤔🤔 Mara paap! Wamefunguliwa tena ...!!
Ndiyo mimi mwenyewe baba MarcomIbn Unuq una undugu na Unju bin unuki?
Unju bin unuki huyu huyu aliekua mrefu anavuka bahari kwa kutembea, akitaka samaki anachukua baharini kwa mkono alafu anamchoma kwenye jua?Ndiyo mimi mwenyewe baba Marcom
Nimewapigia watu wa pesa X ,jioni mdada kapokea nikawauliza vipi naweza kupata mkopo ,eti ananijbu Kuna tatizo la kiufundi ,nikamwambia litaisha akasema maengeneer wao wapo wanalishughulikia nikamwambia mmefungiwa matapeli wakubwa .
Yule dada kanitukana tusi baya ,nikawa nacheka bila break akakata simu .Ila nimeamua kuwa kila siku nitakuwa nawapigia mpaka wafunge laini yao ,nitakuwa nawapigia kuwacheka.
Huyo ndiye mimi, bado nipo 😆Unju bin unuki huyu huyu aliekua mrefu anavuka bahari kwa kutembea, akitaka samaki anachukua baharini kwa mkono alafu anamchoma kwenye jua?
😆😆😆Hawanidai ila naweza kuwapigia kuwaomba msamaha yakaisha maana ,Mimi ni mtu muungwana Kaka hivyo usiniogopeshe wakirudishwa.
Flexcash walibadirika mwishoni wakawa wema sana, nahisi Kuna mtu aliwasanua. Hawadai kwa fujo na wanakuomba ulipe kidogodogo.Flex cash wamechomokaje hapo!