Hata kama ni uongo tukio la Lissu kupona ni aibu kwa yule shujaa uchwara wako.Acha uwongo ndugu 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama ni uongo tukio la Lissu kupona ni aibu kwa yule shujaa uchwara wako.Acha uwongo ndugu 🐼
Fundi tena?Kwa kweli Mungu ni fundi.
Aibu ni kwako weweHata kama ni uongo tukio la Lissu kupona ni aibu kwa yule shujaa uchwara wako.
Ile vicr versa aliyofanya Mungu, inatufanya Mungu tusimwelewe kirahisialishafariki huyo jamaa! na LISu anaishi mungu huyu mkorofi sana
Ona aibuAibu ni kwako wewe
Huyo Tundu Antipas Lisu licha ya kuzuiwa na UVCCM asikaribie kaburi la Shujaa Magufuli alifanya kila Mbinu hadi akaenda kuweka maua kwa Msaada wa Kardinali mstaafu wa Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹🤣
Ukweli ndio huo walitumia utu kuokoa maisha yakeWale walenga shabaha(snipper )baada ya kushindwa kumuua Tundu Lissu ,alipelekwa hospitali ya General kwa matibabu.
Lengo lilikuwa apelekwe Muhimbili.
Mbowe mtoto wa mjini akahisi hapa kuna mchezo mchafu unaweza kuchezwa,akampigia rafiki yake Captain Minje wakakodi ndege chapchap wakamtorosha mgonjwa mpaka Nairobi then ulaya,ilikuwa kama movie ya chuck Noris vile.
Mkuu wa mkoa Jordan Rugimbana akapigiwa simu toka juu kuwa imekuwakuwaje anga la Dodoma alikufungwa mpaka mgonjwa anatoroswa kibabe kama sinema.
Haikuchukua muda akatumbuliwa,npaka leo yupo kijijini kwake Chamazi kwenye kambi ya vijana wa kikristo,i UVIKIUTA anafuga kuku.
Hawakuishia hapo mradi wake wa makumbusho ya wanyambo kule kijijini kwake Nyakahanga, Karagwe ukapigwa stop,ulikuwa ni mradi wa mabilioni toka kwa wafadhili.
Rugimbana kule mbinguni kuna kiwanja chake,mtu mwema kabisa,baba yake alikuwa kamishna wa kwanza wa magereza nchini,alikufa zamani sana enzi za Nyerere na kuwaacha wakiwa wadogo,Nyerere aliwachukua na kuishi nao kama watoto wake.
Barikiwa sana Jordan Rugimbana na Freeman Mbowe kwa msaada wa Mungu Tundu Lissu bado yupo akitema madini
Kwa Sasa Nairobi ni kama Generva au Brussels ya Afrika.Mh. Mbowe ni kweli kabisa amehusika moja kwa moja kutetea uhai wa Lissu kwa kucheza karata zake haraka na kwa weredi.
Serikali iliishaamua aletwe Muhimbili, Mwamba Mbowe akagoma akasema anakwenda NBI.
Mh. Mbowe ni jabari.
Gaidi naye kaomba kwendaOna aibu
Na Mungu abariki maisha yao na uzao wao wote.Ukweli ndio huo walitumia utu kuokoa maisha yake
Tundu Lissu alienda kuprove kama jamaa kafa kweliAibu ni kwako wewe
Huyo Tundu Antipas Lisu licha ya kuzuiwa na UVCCM asikaribie kaburi la Shujaa Magufuli alifanya kila Mbinu hadi akaenda kuweka maua kwa Msaada wa Kardinali mstaafu wa Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹🤣
Mkuu umewaza mbali mno. Critical thinkingTundu Lissu alienda kuprove kama jamaa kafa kweli
WellUko sahihi Mbowe hana tena ushawishi ila Tundu Lissu nae awe na adabu kidogo kwa wakubwa zake
Hahahaha uliumuliwa Mzee wetu manundu km yote mke wa mtu ni njia ya kwenda Mbingunijapo nundu kadha wa kadha usoni
Pale unapotaka kumuua mtu harafu wewe ndio ukalamba Mchanga. Hii ilikuwa fedheha kubwa sana.Gaidi naye kaomba kwenda
Ufipa Saccos mtajua hamjui dadeki 😂
Usimlinganishe Lisu na yule " Muogopa Panya"Tundu Lissu alienda kuprove kama jamaa kafa kweli
Uko sahihi Mbowe hana tena ushawishi ila Tundu Lissu nae awe na adabu kidogo kwa wakubwa zake
Uliona Kwenye Tash? 🐼Pale unapotaka kumuua mtu harafu wewe ndio ukalamba Mchanga. Hii ilikuwa fedheha kubwa sana.