Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi

huyu rc mlawiti ambaye namkubali kwa alichokifanya kwa msomi mwenye tamaa akipata lawyer mzuri anaipangua kesi
 
Wanafanya mbinu za kumnasua huyo firauni
na ikifika mahakamani, kwa ushahidi huu nakuhakikishia rc anafungwa.

1. kuna ushahidi wa binti/mtendewa umenyooka kama anavyoongea hapo.

2. kuna ushahidi wa cctv footage

3. kuna ushahidi wa bank statement akijaribu kumhonga mama wa binti, polisi waende bank wakachukue statement ya account ya mama wa binti, anasema alimwekea 3m. ili tuone kama RC atasema aliziweka za mahali au z akitu gani.

4. kuna ushahidi wa vipimo PF3

5. kuna ushahidi wa wanafunzi wenzake binti waliomwona binti anarudi ananuka kinyesi, pia ushahidi wao namwanda alipokuwa anatumia simu zao kuomba aongee na huyo binti.

6. na ushahidi mwingine mwingi.

NAMWANDA AMEISHA. HII TABIA YA WAKUU WA MKOA IKOMESHWE.
 
Jamani hivi vitoto vya sasa ni shida (sitetei ulawiti) lakini wewe bint mdogo kwa nini unashirikiana kingono na watu ambao ni size ya baba zenu kinachowakuta ni stahiki yenu vichwa vigumu hamsikii yaani viko vizuri kwenye ngono balaa vinajifanya vinajuwa staili zote kinachowakuta ni kuparazwa nyuma ...akili zikiwarudia mnaanza nyonyonyoooo ...narudia tena ni hivi hakuna aliye lawitiwa
 
nipe namba yako ya simu na unayotumia kwa miamala ili nikutumie pesa ya soda au bia kwani umendika vyema kabisa
 
Huyu Binti ni kubuhu. Hata vipimo vitashangaa kutokuta Linda hata Moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…