huyu rc mlawiti ambaye namkubali kwa alichokifanya kwa msomi mwenye tamaa akipata lawyer mzuri anaipangua kesiNdio na ukute huyo dada kuna watu nyuma yake wana mshinikiza afanye yote hayo..
Kuna mambo mengine yamekua kisiasa hapa alafu mijitu inashadadia ujinga tuu..
Awajua hata hao dada poa wanao wachukua huko river wanaweza kuwageuka hivo hivo mtu ukabaki unashangaa