Yanga iende uwanjani kama taratibu zinavyotaka.tff ni mizigo na tukisema tff ni simba watu hawatuelewi ona sasa hii aibu.Bodi ya Ligi imekuwa bodi ya HOVYO sana, kwanini mchezo uahirishwe? Mbona mchezo wa JKT Queens haukuahirishwa? Yanga hatupo tayari kwa mchezo siku nyingine na tunafahamu mchezo ni leo.FULLSTOP