Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Sisi kama Yanga tunasema hata waseme mwakan tutacheza na kumfunga mtani hawez kutukimbia labda ahame ligi
 
Mimi leo ningetukana kila aliyehusika kwenye upumbavu huu kwa maana ya Yanga, Simba na TFF ila nimefunga Ramadhan. Ila kuanzia leo nimedharau kila kitu kwenye league hii na weza kusema league ya kishenzi kabisa na hafai hata kuwa top 100. Nasema shenzi wakubwa na kila aliyekatika hili awe Yanga awe Simba au TFF hawa wote ni kuwashika na kuwafungulia mashtaka kuleta taharauki na hasara kwa wananchi. Mbwa nyie na league yenu ya kishenzi kumaninaaaa zenuuuuuu tena wote na hasa TFF.
😂😂😂
Dahh..!!

TFF ya Msomali.
 
Mabaunsa ndio chanzo cha yote haya
Aliyewapa kazi ndio chanzo kikuu cha hayo yote...

Hivi tangu lini mabaunsa wakawa na uwezo wa kuzuia uchawi?

Mchawi huzuwiwa na maombi ya upako na sio mabaunsa watafuna mirungi.
 
Hawa mods wametumia kigezo gani kuifanya comment yangu kuwa ndiyo post ya breaking new ya TFF kughailisha mechi? nagomea jamani kama simba walivyogoma.
 
Nimepeleka juisi zangu lita 100 ili kuuza, nimepata hasara kubwa imebidi nigawe bure na ninywe lita zote zitakazobaki
 
Ubaya Ubwela

Hiki kiburi kisiwe kwa Simba tu, bali timu yeyote inayofanyiwa mambo ya kihuni.. Yanga na mashabiki wake wamekuwa na mambo ya kisenge sana.

Mnakumbuka RC wa Mwanza? Tukaingiza timu, mwisho wa siku inaonekana kama kitu cha kawaida tu.
Aaaah Mwasibu CPA uchwara SUNZU BOBAN OKW umeanza tena?
 
Wakuu,
Nipo hapa mpakani kati ya Uganda na Tanzania mtukula,Taarifa nyeti hatuna,ni kwamba mechi imeahirishwa au itachezwa?

Mlioko Jijini Kinondoni basi mtuambie yanayojiri huko,hasa wale waliokaribu na uwanja wa Mkapa,shamla shamla vipi,mageti yamefunguliwa,watu wanaingia,au watu wamesusa?

bado hatujajua tujuzeni Huko Daslam
Hao Viongozi wa Bodi ya Ligi wakiwahishwa Milembe Hospital watapina!
 
Kwani wahusika hawasomi kanuni,je hawajui utaratibu
kanuni na utaratibu unakutaka utumie uwanja angalau siku tatu kabla sasa ww utaamua lini utumie

kama ni hivyo lazima utoe taarifa siku unapo taka tumia wajiandae kukupokea maana huwez nambie siku 3 wahusika wakae wanakusubiri
 
Wakuu,
Nipo hapa mpakani kati ya Uganda na Tanzania mtukula,Taarifa nyeti hatuna,ni kwamba mechi imeahirishwa au itachezwa?

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha leo Machi 8, 2025, ilipitia shauri la klabu ya Simba kuzuiliwa kuingia kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya kufanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo namba 184 wa Ligi Kuu ya NBC (Young Africans SC vs Simba SC) uliopangwa kufanyika kwenye uwanja huo leo kuanzia saa 1:15 usiku.

Soma Pia: Simba SC yatangaza haitacheza mechi dhidi ya Yanga, Wakidai vitendo visivyo vya kiungwana dhidi yao

Katika shauri hilo, klabu ya Simba iliandika barua kwa Bodi ya Ligi kueleza kususu tukio tajwa hapo juu, huku pia ikieleza nia yao ya kuto shiriki mchezo huo kwa sababu wamezuiliwa kutumia haki yao ya kikanuni kama ilivyoainishwa kwenye Kanuni ya 17:45 ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo.

View attachment 3263880
Sababu zilizo orodheshwa zote ni za kipuuzi. Na moja kwa moja haihitaji akili nyingi kugundua ya kuwa hii Bodi ya ligi ni 🚮
 
Nimesoma tamko la bodi ya ligi kuhairisha mechi ya Yanga na Simba, lakini kuna kitu kinatatiza sana.

Nini msukumo wa bodi ya ligi kuhairisha mechi ikiwa maandalizi yote muhimu yameshafanyika?
Kama lengo la bodi ya ligi kufanyia uchunguzi wa kina madai rasmi ya Simba ili kutoa uamuzi wa haki, basi bodi ya ligi ijipange huko mbeleni kufanya hivyo zaidi na zaidi maana huo ni mtego imeuvaa na kila klabu inaweza kuutumia kuwatega siku za usoni.

Kama bodi ya ligi wamefanya hivyo kuogopa mkwara mzito wa Simba walioupiga wa kutokuleta timu uwanjani, basi mikwara kama hiyo itaendelea kuchimbwa sana na hizi timu za Simba na Yanga.
 
Bodi ya Ligi, Steve Mnguto na Almasi Kasongo wote bogus kabisa 🗑 🚮
 
Back
Top Bottom