CAG aongea na waandishi wa habari - Aprili 8, 2021

Hizo hasara za utaliii itakua kigwangala ndio alilipa baada ya kukatazwa kukopa kwa mudy boda boda[emoji19]
 
Na yule Dr. Abbas alikuwa mratibu wa hii kitu...
Sasa nimeelewa kwanini hakutaka vyombo vya habari vifunguliwe.
Kumbe Dr Abbas anahusika kwenye huu uratibu wa matumizi yasiyo na utaratibu.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kama anaongea LiVE inakuwaje hakuna video bwaashee?!!!
 
You are a wildebeest carcas to say the least! Hizo ni tit bits za presser ya CAG kama unataka habari kamili weka bando nenda online mwenyewe kama ni kapuku huna bando keep your mandibles shut, the willing wanufaike na hizo nyepesi nyepesi! Narabuk!
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Eti "keep your mandibles shut" watu mna vituko!
 
clouds fm ililipwa milioni 600 bila mkataba, tbc milioni 200 bila mkataba wa tamasha la utalii. Kigwangala anatakiwa akamatwe kwa madudu yaliojitokeza kwenye tamasha la utalii festival
Nilikua naamini kipindi cha mzee huu mchezo usingelitokea kumbe wajanja wanafanya yao
 
You are a wildebeest carcas to say the least! Hizo ni tit bits za presser ya CAG kama unataka habari kamili weka bando nenda online mwenyewe kama ni kapuku huna bando keep your mandibles shut, the willing wanufaike na hizo nyepesi nyepesi! Narabuk!
... naona umekuja kwa id nyingine; mjinga!
 
Nilikua naamini kipindi cha mzee huu mchezo usingelitokea kumbe wajanja wanafanya yao
Mwendazake alikuwa mpenzi wa mapambio na yeye Kigwangala akamjulia, ikawa kumsifia ngonjera na mashairi, kumbuka alipeleka mpaka sanamu lililokuwa linafanana na kinyago cha mpapure??πŸ˜‚

Jamaa walijua kula na kipofu, aisee!

Ndiyo maana binafsi nilikuwa kujengwa mifumo imara, siyo mtu kujijengea misifa!

Everyday is Saturday.............................😎
 
Watu wanapiga tu mpunga halafu wanatuambia sisi tujiajiri
Maaniineeer zao wallah!
Kwenye majukwaa vijana mjiajiri msitegemee serikali, hii nchi tajiri!

Kumbe utajiri wanaujua wao na wanauweka majumbani mwao.
Kwa taabu niliyoipata miaka miwili hii, nafikiri report ya CAG isiwe hadharani, leo nimeumia SANA, mijibwa mijizi hii!!
Kutwa kutuminya sisi kodi kodi ili tuwatajirishe wao??

Everyday is Saturday................................😎
 
Kumekucha, salaaalee!! Ngoja waje wale jamaa 🀣
 
Ila hii sio fair hii nchi ni yetu sote kwanini wachache ndio wafaidi keki ya nchi tena kwa kufisadi aargh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…