CCM wenye akili na vyama vya upinzani wote wamegoma kucheza ngoma ya Makonda

I like you comrade,you are very very intelligent,I wish to hear more from you,your only weakness is islamophobia to me,toa hoja zako tujifunze,na ndiyo maana halisi ya Jamii Forum,Mimi kuwa kwangu Mjahidina kusikupe shida,ni ruksa na wewe kuwa mfia kristo,Mimi nimezaliwa Mjahidina na nitakufa Mjahidina Inshallah,na najiskia more than proud and blessed to live and die as mujahedeen....
 
Mnalishwa Kila kitu na kumeza bila ata kutafuna..ukiulizwa hapo una ushahidi utabaki ukikenua kijampio tu

Stupid
Unataka ushahidi Gani zaidi ya ule wa kuvamia Vyombo vya Habari na mitutu ya bunduki?

Kila kitu kina key indicators...
 
Ni Wivu tu. Aliyemteua anajua how Makonda is smart and potential. Ni mtu anayeamua kufuga mbwa namna na rangi gani. Kama Rais katika woooote kaona huyo ndo the best we ni nani unamkosoa?
You are missing the point,kila teuzi Zina expectations zake...

Even mwendazake alimteua kuwa ni RC kipindi kile,Nini kilitokea katika kutekeleza majukum yake ya ukuu wa mkoa?na why had anaenda kaburini hakumrudisha kwenye circle yake?
 
Wakati nakubaliana kwa kiasi fulani na hoja yako, lakini sikubaliani ni hii hoja "YavPolisi waachie polisi wenyewe". Hawa viumbe ni wakatili wasiojali hata utu.
 
Wakati nakubaliana kwa kiasi fulani na hoja yako, lakini sikubaliani ni hii hoja "YavPolisi waachie polisi wenyewe". Hawa viumbe ni wakatili wasiojali hata utu.
Ni msemo tuh wa wahenga,maana yake ni pana kidogo,ila haimaanisha Moja Kwa Moja kuwa ya polisi waachie polisi...
 
Story za kusadikika na wivu ndio unaokusumbua, wewe upo clean kiasi gani!?
 
Ni Wivu tu. Aliyemteua anajua how Makonda is smart and potential. Ni mtu anayeamua kufuga mbwa namna na rangi gani. Kama Rais katika woooote kaona huyo ndo the best we ni nani unamkosoa?
Kwani kila anayeteuliwa na Rais huwa ni mtu anayefaa? Rais ni mtu kama wewe, kuna maeneo anaweza kuwa sahihi, kuna maeneo anaweza kuboronga sana. Hili la Makonda, ameboronga sana.
 
utakufa Vibaya sana
Endelea kuota. Mwambie maneno hayo huyo muuaji wenu. Shetani hata siku moja hakupi mafanikio ya kudumu. Yeye na ninyi mlio sehemu ya uovu wake mnaamini mmefanikiwa, lakini mjue kuwa mpo katika kujidanganya na kujifariji. Kuna siku maovu yenu mtayalipia gharama kubwa.
 
Broken English ya kutosha bora ungeandika kiswahili tu
 
Mnalishwa Kila kitu na kumeza bila ata kutafuna..ukiulizwa hapo una ushahidi utabaki ukikenua kijampio tu

Stupid
We make argument with sound people not with people rich in idiocity and crippled brain of your kind.
 
You are missing the point,kila teuzi Zina expectations zake...

Even mwendazake alimteua kuwa ni RC kipindi kile,Nini kilitokea katika kutekeleza majukum yake ya ukuu wa mkoa?na why had anaenda kaburini hakumrudisha kwenye circle yake?
Baada ya mbwembwe zote za kumhadaa marehemu Magufuli, marehemu alipokuja kutambua jinsi alivyotumia jina lake kuwapora nyumba GSM na uchafu mwingi, hakutaka hata kumsikia. Future yake ya kisiasa iliishia pale.
 
Baada ya mbwembwe zote za kumhadaa marehemu Magufuli, marehemu alipokuja kutambua jinsi alivyotumia jina lake kuwapora nyumba GSM na uchafu mwingi, hakutaka hata kumsikia. Future yake ya kisiasa iliishia pale.
Exactly,sema wabongo ni wepesi sana kusahau
 
Ukizungumzia upuuzi wa mpuuzi jua wewe ni mpuuzi promax!

Makonda kakushika kende kwelikweli!

Nilitarajia uitishe Mkutano wa hadhara wa wenye akili tuone unavyoelekeza ujinga wa Makonda.

Umekuja huku kujificha kwetu wajinga tunaomuunga mkono Makonda!

Mbwa
 
Story za kusadikika na wivu ndio unaokusumbua, wewe upo clean kiasi gani!?
Naweza nisiwe clean kwa kiwango chako na vya wengine, lakini kwa 100%, sijawahi na wala sitawahi kumpoteza mtu, kumwua mtu, kupora mali ya mtu, kumtesa mtu au kumwibia yeyote.
 
Kama hauko smart upstairs huwezi kuelewa,hakuna anaesema makonda ni mpuuz unless otherwise hujasoma kinachojadiliwa na siyo jukumu langu kupanua uelewa wa ubongo wako,the owner of your thinking capacity is sumpa...! not me...
 
ma mtu majinga kama wewe lazima muuliwe kwani Lisu anafaida gani Sasa y kuishi alikuwa wa kumuua kabisa
 
Tuliza Kalio weweee!!

Pambania Chama chako CDM kinazidi kupotea
Chama changu Chadema??

Mimi Chadema?Kama SIJAWAHI kuwa shabiki wa chama Tawala CCM nitawezaje kuwa shabiki wa Chadema?

Yani Mimi niwe mshabiki wa wanasiasa?halafu Ujahidina nimuachie nani?
 
ma mtu majinga kama wewe lazima muuliwe kwani Lisu anafaida gani Sasa y kuishi alikuwa wa kumuua kabisa
Hata ukimuua kwani wewe utaishi milele?

Mmempoteza Ben saanane na Azory Gwanda,sawa...

Sisemi kuwa mwendazake ndie muhusika sina ushahidi Katika Hilo,lakini je,swali kwako yuko wapi mwendazake Leo?heshimu pumzi ya kila kiumbe kilicho hai juu ya huu mgongo wa ardhi,we live once Kisha tunawapisha wengine,that's Life.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…