Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
Sawa, chadema ipi wanataka iudhurie wakati wanasema wemeifuta.Sijui ila nimejibu taarifa ya juu!
Wasikuchoshe wapuuzi wa Lumumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, chadema ipi wanataka iudhurie wakati wanasema wemeifuta.Sijui ila nimejibu taarifa ya juu!
MaCCM yapo yapo tu kama kuku aliekatwa kichwa. Minafiki mno.si ulisema CHADEMA imekufa wewe??
Acha unafki.
Kama Lipumba,Cheyo na Dovutwa walikuwepo inatosha,hao ndiyo wazalendo.
Yaani mwenyekiti yupo gerezani kwa kesi ya kutunga na makamu mwenyekiti yupo ukimbizini nje ya nchi kwa kushambuliwa risasi 36.Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu
Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
1. Uhuru gani feki huo? Hakuna nchi ya "Tanzania" iliyopata uhuru wà tàrehe 9/12/1961....!!Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu
Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Usitupangie Cha kufanya , uhuru GANI wakati mwenyekiti yupo ndani KWa kesi ya michongo ,kuanzia leo utukome sie ChademaHatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu
Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya koutungamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Sawa!Kwan wamevunja kifungu gan cha sheria?? Pia kama chama kikuu cha upinzan wanashirikishwa kwa lipi? Zaid ya kusakamwa kuwindwa kama kwale!!
Sawa!Sawa, chadema ipi wanataka iudhurie wakati wanasema wemeifuta.
Wasikuchoshe wapuuzi wa Lumumba.
ujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu
Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Wameonesha sio wakomavu wa kisiasa.
Mnyika alikuwepo!
Wasiotaka katiba mpya je wamekomaa kisiasa?Wameonesha sio wakomavu wa kisiasa.
Tuanzie kwenye uchaguzi wa 2020 vipi mbona hujauliza? Katiba mpya kwanza bwashee!!!!!!. Kwanza nahisi mmetumia magarama bila sababu wananchi walikuwa wanaendelea na mishe zao hawajui Kama kuna uhuru.Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu
Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
CHADEMA wakaahiriki NajisiHatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu
Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Hivi bado unawa mind hao wahuni ?Hatujaona kiongozi yoyote wa kitaifa wa chama cha Chadema akiungana na watanzania uwanja wa uhuru kusheherekea uhuru wa taifa letu
Mbaya zaidi mmeenda makao makuu ya chama chenu ili kufanya kongamano la katiba mpya kama sherehe za uhuru. Huku ni kukosa mshikamano na umoja. Ni dhahiri hamstahili kupata kukamata dola.
Uzalendo ni pamoja na kujumuika na wenzio kwenye shughuri kama hizi sasa nyie mnasusa halafu mnataka eti mpewe nchi labda mpewe mavi muyaongoze sisi hatuwataji kwanza huku mtaani hakuna hata anayewashabikia kwa sasaUzalendo ni nini ?
Wao wanashiriki vikao vyai vya kigaidi ti Kule kwenye kijumba Chao ufipaCHADEMA wakaahiriki Najisi
Utafirwa wewe MjaneWao wanashiriki vikao vyai vya kigaidi ti Kule kwenye kijumba Chao ufipa