Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hapana ni mwaka 10,000 lakini itaondoka tuMwaka 2260. Sisi wote tutaiacha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ni mwaka 10,000 lakini itaondoka tuMwaka 2260. Sisi wote tutaiacha.
Yale maridhiano yenu ya kitapeli bado yapo ?...View attachment 2835679
Kama tulivyotarajia tangu awali , Serikali ya Tanzania imekizuia Chama cha Demokrasia na Maendeleo , kuwafariji watu wa Hanang , ambako viongozi wake wamekatazwa hata kutembelea Wagonjwa hospitalini .
Hapa ndipo siasa za kishamba za ccm zilipofikia .
View attachment 2835710
Duh povu unalia na kuliaCHADEMA NI WAPUMBAVU NA MALOFA, HAWANA AKILI, WAJINGA NA WASIOTUMIA MAWAZO.
Maafa yametokea siku zaidi ya 5 huko leo wanasikia Rais anaenda na wao wanajifanya kwenda.
Kwanini cdm wasiende wakati hiyo ngome ishawahi kuwa chini yaoNyie nyumbu wa ufipa mnajifananisha na rais?
Dp world ssfi sana walipoichukua bandariYani rais apishe nyumbu, wasiojielewa wa ufipa?
Yale maridhiano fake anayajua Mbowe, na ndio maana anapata tabu kueleza wafuasi wake na kueleweka kwani utapeli ule uko wazi mno.Yale maridhiano yenu ya kitapeli bado yapo ?...
Mlionywa sana kuhusu unafiki na uhuni wa Ccm ila mlishupaza shingo, matokeo yake ndio haya..
..subirieni chaguzi za 2024 na 2025 ndio mtaona rangi halisi za Ccm.
Ile michezo michafu ya Ccm waliowatendea CUF ya Maalim Seif (Rip) ikiwemo utapeli/dhulma uliovishwa vazi la maridhiano huko Zanzibar kwa miaka zaidi ya 20 ndio imehamishiwa kwa Chadema ya Mbowe.
JokaKuu brazaj Kalamu zitto junior Mag3 Retired
Nguruvi3
na muda wote wapo tu wanatanga hadi Rais karudi na wao ndio wanakwenda hanangYaani hawa uchwara wameacha katiba mpya sasa wamerukia majanga ya Hanang, ha ha ha😎
Kivipi walikuwa wanajiongezea umaarufu?Hata mtoto mdogo angeamua kuwazuia chadema...
Maana motive yao ni ya kujiongezea umaarufu kisiasa..
Siasa kwenye majanga haifai...
Tuheshimu uhai.
Katazame jezi za chama gani zimevaliwa huko, ndio ujue nani anaendekeza siasa za kishamba. Semeni tu mmeona wivu maana mnajua cdm ndio wenye hamasa ya watu, hivyo mtakosa nafasi ya kufanya propaganda kuwa ccm ndio chama pekee kiliwatembelea wahanga wa hilo janga.Hata mtoto mdogo angeamua kuwazuia chadema...
Maana motive yao ni ya kujiongezea umaarufu kisiasa..
Siasa kwenye majanga haifai...
Tuheshimu uhai.
Wewe utakuwa mama yako ni yule wa Kimboka buguruniChadema kwa nini waende leo wakati maafa yametokea muda mrefu?
Chadema ni wapumbavu
Gaidi Mbowe alitaka kujumuika na Tapeli Lema sio?Katazame jezi za chama gani zimevaliwa huko, ndio ujue nani anaendekeza siasa za kishamba. Semeni tu mmeona wivu maana mnajua cdm ndio wenye hamasa ya watu, hivyo mtakosa nafasi ya kufanya propaganda kuwa ccm ndio chama pekee kiliwatembelea wahanga wa hilo janga.
Mmejazana kuanzia mwenyekiti wenu kusaka kiki za kisiasa, lakini cdm wawili tu mnatoa vilio vya hatari. Kulazimisha kukubalika ni kazi ngumu sana.
🌈Gaidi Mbowe alitaka kujumuika na Tapeli Lema sio?
Naona unamsema Bwa- wa Makamu Mwenyekiti mnavyonyanduliwa
🌈Naona unamsema Bwa- wa Makamu Mwenyekiti mnavyonyanduliwa
Na time hii tutawavalisha pampas
Em sema sifaa moja ya CDM Katika hili ,,Wacha kushabikia Ujinga mkuuchadema wana sifa za kijinga nani awakwamishe