CHADEMA yajibu hoja za Tundu Lissu: "Hakuna Serikali ya Nusu Mkate, Sio Sera Yetu"

CHADEMA yajibu hoja za Tundu Lissu: "Hakuna Serikali ya Nusu Mkate, Sio Sera Yetu"

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

CHADEMA wamemjibu Makamu Mwenyekiti wa chama chao, Tundu Lissu

=====
GcV14ZjXUAAKMkh.jpeg

GcV1401W4AAiSCQ.jpeg
Hivi karibuni kumeibuka tena wimbi la hoja mbalimbali ambazo zilishawahi kuibuka siku za nyuma na ambazo zimesababisha wanachama, wapenzi wa Chadema na Wananchi kwa ujumla kutaka ufafanuzi rasmi wa Chama;

1. Chadema haijawahi kuletewa hoja ya kugawana madaraka kutoka Chama chochote au kutoka kwa Serikali wala hoja ya kupewa Majimbo ya Uchaguzi au kugawana nafasi za madaraka katika muundo wa Serikali.

Aidha, ieleweke kuwa kwa mujibu wa Katiba iliyopo sasa nafasi ya Makamu wa Rais hugombewa na haitolewi mezani, vilevile nafasi ya Waziri Mkuu hutokana na Chama chenye wabunge wengi Bungeni.

2. Chadema katika vikao vyake vyote rasmi haijawahi kujadili, kutoa au kupokea mapendekezo yeyote ya kitu kinachoitwa "Serikali ya nusu mkate". Jambo hili kama linavyopotoshwa halijawahi kuwa Sera ya Chadema.

3. Chadema haijawahi kupokea wala kujadili au kubeba au kuwa na agenda na Serikali katika vikao vyote vya Chama au vile vya maridhiano kuhusu hoja hizo tajwa hapo juu.

4. Ikumbukwe kuwa vikao vyote vya maridhiano vilifanyika mwaka 2022 na vikahitimishwa 3 Januari 2023 ambapo Rais Samia Suluhu Hassan alizungumza na Taifa kupitia Vyama vya Siasa na Wadau mbalimbali kuondoa katazo haramu la shughuli za kisiasa ikiwemo mikutano ya hadhara na maandamano. Tarehe 30 na 31 May 2023 palifanyika vikao vya mwisho ambapo tulishindwana. Baada ya hapo hakuna kikao chochote cha siri au hadharani kimefanyika baina ya CCM na Chadema.

5. Kwa kipindi chote cha mwaka 2023 na 2024 hadi sasa, Chama kimekuwa kwenye program mbalimbali zenye lengo la kukiuhisha Chama kufuatia miaka 7 ya Chama kupitishwa kwenye "Bonde la Uvuli wa Mauti" na hivyo kuathiri kwa kiasi kikubwa mtandao na Uongozi wa Chama katika ngazi mbalimbali kuanzia kwenye Vitongoji, Mitaa na Vijiji. Shughuli zilizofanyika ni pamoja na ziara mbalimbali maeneo kadhaa ya nchi kwa ajili ya mikutano ya hadhara, maandamano, mafunzo, usajili wa wanachama kidigitali, chaguzi kuanzia ngazi za vitongoji, Mitaa, Vijiji, Kata, Majimbo, Wilaya, Mikoa hadi Kanda. Chaguzi hizi za ndani zitahitimishwa na Uchaguzi Mkuu ndani ya Chama.
Pia, Soma:
+ Benson Kigaila: Yeyote akisema hatukujiandaa na uchaguzi anafanya kazi ya CCM
 
Hivi karibuni kumeibuka tena wimbi la hoja mbalimbali ambazo zilishawahi kuibuka siku za nyuma na ambazo zimesababisha wanachama, wapenzi wa Chadema na Wananchi kwa ujumla kutaka ufafanuzi rasmi wa Chama;

1. Chadema haijawahi kuletewa hoja ya kugawana madaraka kutoka Chama chochote au kutoka kwa Serikali wala hoja ya kupewa Majimbo ya Uchaguzi au kugawana nafasi za madaraka katika muundo wa Serikali.

Aidha, ieleweke kuwa kwa mujibu wa Katiba iliyopo sasa nafasi ya Makamu wa Rais hugombewa na haitolewi mezani, vilevile nafasi ya Waziri Mkuu hutokana na Chama chenye wabunge wengi Bungeni.

2. Chadema katika vikao vyake vyote rasmi haijawahi kujadili, kutoa au kupokea mapendekezo yeyote ya kitu kinachoitwa "Serikali ya nusu mkate". Jambo hili kama linavyopotoshwa halijawahi kuwa Sera ya Chadema.

3. Chadema haijawahi kupokea wala kujadili au kubeba au kuwa na agenda na Serikali katika vikao vyote vya Chama au vile vya maridhiano kuhusu hoja hizo tajwa hapo juu.

4. Ikumbukwe kuwa vikao vyote vya maridhiano vilifanyika mwaka 2022 na vikahitimishwa 3 Januari 2023 ambapo Rais Samia Suluhu Hassan alizungumza na Taifa kupitia Vyama vya Siasa na Wadau mbalimbali kuondoa katazo haramu la shughuli za kisiasa ikiwemo mikutano ya hadhara na maandamano. Tarehe 30 na 31 May 2023 palifanyika vikao vya mwisho ambapo tulishindwana. Baada ya hapo hakuna kikao chochote cha siri au hadharani kimefanyika baina ya CCM na Chadema.

5. Kwa kipindi chote cha mwaka 2023 na 2024 hadi sasa, Chama kimekuwa kwenye program mbalimbali zenye lengo la kukiuhisha Chama kufuatia miaka 7 ya Chama kupitishwa kwenye "Bonde la Uvuli wa Mauti" na hivyo kuathiri kwa kiasi kikubwa mtandao na Uongozi wa Chama katika ngazi mbalimbali kuanzia kwenye Vitongoji, Mitaa na Vijiji. Shughuli zilizofanyika ni pamoja na ziara mbalimbali maeneo kadhaa ya nchi kwa ajili ya mikutano ya hadhara, maandamano, mafunzo, usajili wa wanachama kidigitali, chaguzi kuanzia ngazi za vitongoji, Mitaa, Vijiji, Kata, Majimbo, Wilaya, Mikoa hadi Kanda. Chaguzi hizi za ndani zitahitimishwa na Uchaguzi Mkuu ndani ya Chama.
View attachment 3152238
View attachment 3152239
Inavyoonekana Kuna mvurugano ndani ya Chadema. Kiini cha kuwepo kwa mvurugano huu huko Chadema kwa maoni yangu ni kutokana na namna Mwenyekiti wa Chama chao hicho Freeman Mbowe kukosa misimamo inayoeleweka kuhusiana na Siasa za nchi hii kwa sasa. Siyo siri hata kidogo, Mbowe akiwa Kama Kiongozi wa Chama Chao hicho, amekuwa ni mtu ambaye Hana msimamo unaoeleweka hali hii imesababisha mkwamo na kuyumba kwa Wanachama wa chama hicho.

Mbowe amekuwa ni mtu asiyeaminika tena kwa sasa ndani ya Chama Chao hicho, watu wengi kwanza wanamchukulia kama ni Mamluki wa Chama tawala ambaye amejipachika kwenye Vyama vya upinzani kwa 'kazi maalumu ya kuvuruga vyama vya upinzani' ili kukinufaisha chama tawala.

'Engine' ya treni ikiharibika mabehewa yote ya treni nayo huyumba na kusimama!
 
Wakuu

CHADEMA wamemjibu Makamu Mwenyekiti wa chama chao, Tundu Lissu

=====

Hivi karibuni kumeibuka tena wimbi la hoja mbalimbali ambazo zilishawahi kuibuka siku za nyuma na ambazo zimesababisha wanachama, wapenzi wa Chadema na Wananchi kwa ujumla kutaka ufafanuzi rasmi wa Chama;

1. Chadema haijawahi kuletewa hoja ya kugawana madaraka kutoka Chama chochote au kutoka kwa Serikali wala hoja ya kupewa Majimbo ya Uchaguzi au kugawana nafasi za madaraka katika muundo wa Serikali.

Aidha, ieleweke kuwa kwa mujibu wa Katiba iliyopo sasa nafasi ya Makamu wa Rais hugombewa na haitolewi mezani, vilevile nafasi ya Waziri Mkuu hutokana na Chama chenye wabunge wengi Bungeni.

2. Chadema katika vikao vyake vyote rasmi haijawahi kujadili, kutoa au kupokea mapendekezo yeyote ya kitu kinachoitwa "Serikali ya nusu mkate". Jambo hili kama linavyopotoshwa halijawahi kuwa Sera ya Chadema.

3. Chadema haijawahi kupokea wala kujadili au kubeba au kuwa na agenda na Serikali katika vikao vyote vya Chama au vile vya maridhiano kuhusu hoja hizo tajwa hapo juu.

4. Ikumbukwe kuwa vikao vyote vya maridhiano vilifanyika mwaka 2022 na vikahitimishwa 3 Januari 2023 ambapo Rais Samia Suluhu Hassan alizungumza na Taifa kupitia Vyama vya Siasa na Wadau mbalimbali kuondoa katazo haramu la shughuli za kisiasa ikiwemo mikutano ya hadhara na maandamano. Tarehe 30 na 31 May 2023 palifanyika vikao vya mwisho ambapo tulishindwana. Baada ya hapo hakuna kikao chochote cha siri au hadharani kimefanyika baina ya CCM na Chadema.

5. Kwa kipindi chote cha mwaka 2023 na 2024 hadi sasa, Chama kimekuwa kwenye program mbalimbali zenye lengo la kukiuhisha Chama kufuatia miaka 7 ya Chama kupitishwa kwenye "Bonde la Uvuli wa Mauti" na hivyo kuathiri kwa kiasi kikubwa mtandao na Uongozi wa Chama katika ngazi mbalimbali kuanzia kwenye Vitongoji, Mitaa na Vijiji. Shughuli zilizofanyika ni pamoja na ziara mbalimbali maeneo kadhaa ya nchi kwa ajili ya mikutano ya hadhara, maandamano, mafunzo, usajili wa wanachama kidigitali, chaguzi kuanzia ngazi za vitongoji, Mitaa, Vijiji, Kata, Majimbo, Wilaya, Mikoa hadi Kanda. Chaguzi hizi za ndani zitahitimishwa na Uchaguzi Mkuu ndani ya Chama.
Pia, Soma:
+ Benson Kigaila: Yeyote akisema hatukujiandaa na uchaguzi anafanya kazi ya CCM
Amejibu nani? Mrema? Huyu ndio Msigwa anasema HAFAI kabisa
 
Wakuu kwa jinsi ambavyo huyu mzee amepandikiza chawa wake kuanzia ngazi ya viongozi wa kanda hadi wajumbe wa kamati kuu,hakuna uwezekano wowote uli ataweza kuachia cheo cha Mwenyekiti.
Wito wangu kwa wanachama,tufungue kesi mahakamani kupata tafsiri sahihi ya Mwenyekiti wa KUDUMU.
 
Wakuu kwa jinsi ambavyo huyu mzee amepandikiza chawa wake kuanzia ngazi ya viongozi wa kanda hadi wajumbe wa kamati kuu,hakuna uwezekano wowote uli ataweza kuachia cheo cha Mwenyekiti.
Wito wangu kwa wanachama,tufungue kesi mahakamani kupata tafsiri sahihi ya Mwenyekiti wa KUDUMU.
 
Wakuu

CHADEMA wamemjibu Makamu Mwenyekiti wa chama chao, Tundu Lissu

=====

Hivi karibuni kumeibuka tena wimbi la hoja mbalimbali ambazo zilishawahi kuibuka siku za nyuma na ambazo zimesababisha wanachama, wapenzi wa Chadema na Wananchi kwa ujumla kutaka ufafanuzi rasmi wa Chama;

1. Chadema haijawahi kuletewa hoja ya kugawana madaraka kutoka Chama chochote au kutoka kwa Serikali wala hoja ya kupewa Majimbo ya Uchaguzi au kugawana nafasi za madaraka katika muundo wa Serikali.

Aidha, ieleweke kuwa kwa mujibu wa Katiba iliyopo sasa nafasi ya Makamu wa Rais hugombewa na haitolewi mezani, vilevile nafasi ya Waziri Mkuu hutokana na Chama chenye wabunge wengi Bungeni.

2. Chadema katika vikao vyake vyote rasmi haijawahi kujadili, kutoa au kupokea mapendekezo yeyote ya kitu kinachoitwa "Serikali ya nusu mkate". Jambo hili kama linavyopotoshwa halijawahi kuwa Sera ya Chadema.

3. Chadema haijawahi kupokea wala kujadili au kubeba au kuwa na agenda na Serikali katika vikao vyote vya Chama au vile vya maridhiano kuhusu hoja hizo tajwa hapo juu.

4. Ikumbukwe kuwa vikao vyote vya maridhiano vilifanyika mwaka 2022 na vikahitimishwa 3 Januari 2023 ambapo Rais Samia Suluhu Hassan alizungumza na Taifa kupitia Vyama vya Siasa na Wadau mbalimbali kuondoa katazo haramu la shughuli za kisiasa ikiwemo mikutano ya hadhara na maandamano. Tarehe 30 na 31 May 2023 palifanyika vikao vya mwisho ambapo tulishindwana. Baada ya hapo hakuna kikao chochote cha siri au hadharani kimefanyika baina ya CCM na Chadema.

5. Kwa kipindi chote cha mwaka 2023 na 2024 hadi sasa, Chama kimekuwa kwenye program mbalimbali zenye lengo la kukiuhisha Chama kufuatia miaka 7 ya Chama kupitishwa kwenye "Bonde la Uvuli wa Mauti" na hivyo kuathiri kwa kiasi kikubwa mtandao na Uongozi wa Chama katika ngazi mbalimbali kuanzia kwenye Vitongoji, Mitaa na Vijiji. Shughuli zilizofanyika ni pamoja na ziara mbalimbali maeneo kadhaa ya nchi kwa ajili ya mikutano ya hadhara, maandamano, mafunzo, usajili wa wanachama kidigitali, chaguzi kuanzia ngazi za vitongoji, Mitaa, Vijiji, Kata, Majimbo, Wilaya, Mikoa hadi Kanda. Chaguzi hizi za ndani zitahitimishwa na Uchaguzi Mkuu ndani ya Chama.
Pia, Soma:
+ Benson Kigaila: Yeyote akisema hatukujiandaa na uchaguzi anafanya kazi ya CCM
HAYO WAMWAMBIE LISSU AWAPELEKEE USHAHIDI MAANA YEYE NDIYO ANASEMA KUNA RUSHWA NDANI YA CHAMA WAMUITE WAMUHOJI
 
Wakuu kwa jinsi ambavyo huyu mzee amepandikiza chawa wake kuanzia ngazi ya viongozi wa kanda hadi wajumbe wa kamati kuu,hakuna uwezekano wowote uli ataweza kuachia cheo cha Mwenyekiti.
Wito wangu kwa wanachama,tufungue kesi mahakamani kupata tafsiri sahihi ya Mwenyekiti wa KUDUMU.
Mm nakuambia wewe una akili ndogo ununaita watu wamekimbia umande. Hicho unachoita mwenyekiti wa kudumu kimeandikwa ibara ya ngapi ya katiba ya chadema?
Unaropoka kila linalokujia ili mradi uchafue watu kwa faida ya nani?
 
John Mrema ana IQ Ndogo sana. Ccm wala wasihangaike kucheza rafu za uchaguzi hata wakienda fair bado watashinda japo kwa margin ndogo sababu Chadema hawaaminiki.
 
Mm nakuambia wewe una akili ndogo ununaita watu wamekimbia umande. Hicho unachoita mwenyekiti wa kudumu kimeandikwa ibara ya ngapi ya katiba ya chadema?
Unaropoka kila linalokujia ili mradi uchafue watu kwa faida ya nani?
ACHA KUPANIC HUYO MBOWE NANI KAMRUHUSU KUGOMBEA VIPINDI VITATU KATIBA GANI KATUMIA UNAKUJA NA HASIRA KUROPOKA WAKATI HATA KATIBA YA CHADEMA HUIJUI
 
ACHA KUPANIC HUYO MBOWE NANI KAMRUHUSU KUGOMBEA VIPINDI VITATU KATIBA GANI KATUMIA UNAKUJA NA HASIRA KUROPOKA WAKATI HATA KATIBA YA CHADEMA HUIJUI
Anayepanic ni anayeandika ujinga. Kwa hiyo alijiweka? Na cheyo je?
 
Back
Top Bottom