Tuliwaambia kuwa mnapoteza muda kujiandikisha, tukawaambia hakutakuwa na uchaguzi, mkakataa. CHADEMA mmechelewa sana.
Tunasubiri team wasaliti kama nao watasusia.
Mwala vya kunyonga wala havina ladha. Utamu wa kuku wa kienyeji umkimbize, umkamate umchinje.Wakisusa, sie twala.
P
Jafo Ni kijana ipo siku atajutia haya anayoyafanya sasa na namuomba Mungu ampe umri mrefu ili ije siku atakayo jutia haya akiwa mzeeKuna Waziri mmoja anaitwa "JAFO", bila aibu wala kupepesa macho leo anasema eti kususia uchaguzi ni kuwanyima raia haki yao.
Hivi inaingia akilini kweli "CCM" wamejipitisha nchi nzima bila kupingwa, wamewakata wagombea wa upinzani wote, na kama mgombea akipitishwa bila kupingwa maana yake hakutakua na uchaguzi wowote wa mitaa.
Swali kwa Jafo,
Hao wapinzani wanawanyima haki gani raia??? Au ni serikali kwa mabavu ndio wamewanyima haki raia ya kuchagua wagombea wanaowafaa na kuwachagulia viongozi kwa nguvu???
Wasifanye watanzania wapumbavu. Ama kweli tanzania hatuna mawaziri wala serikali. Aibu hii dunia nzima.
#CCM subirini wananchi wenye hasira kali #2020.
Nyie mlishindwa nini kutumia njia haramu?Hakuna uchaguzi bali CCM wamejipachika kwa njia haramu na za kishetani huu ni ushauri toka kwa Naibu Rais Daud Bashite kwa mtukufu magufuli
Upinzani hatujui kusoma na kuandika na wala giografia ya mitaa yetu hatuifahamu. Mjini ni wabangaizaji hatuna ajira ya kueleweka.
Lakini mnatuogopa
Mnasikitisha sanaEndeleeni kujifariji. Safi sana Hapa Kazi tu
Nilikwambia hamuwezi kuchelewesha maendeleo ya Tanzania, tunawavuta sasa kwa kamba.Mnasikitisha sana
Nilikwambia hamuwezi kuchelewesha maendeleo ya Tanzania, tunawavuta sasa kwa Kamba, na mkichelewa tutaanza kuwavuta kwa minyororo..
Bora vikwazo ili Naibu Rais Daud Bashite na mtukufu magufuli wapate kujitambuaMabeberu tunawaandalia vikwazo ambavyo hamtakaa mvisahau katika uhai wenu.
Jafo ataingia kwenye historia chafu kuwahi kushuhudiwa Tanganyika. Angejiuzulu mapema au aufute huu uchaguzi tuanze upya kabisa.
Sitaki kumshinikiza ajiuzulu, bali namwombea Mungu amwepushe na zigo lililo mbele yake.
Mnasikitisha sana
Nilikwambia hamuwezi kuchelewesha maendeleo ya Tanzania, tunawavuta sasa kwa kamba.