CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

Tuliwaambia kuwa mnapoteza muda kujiandikisha, tukawaambia hakutakuwa na uchaguzi, mkakataa. CHADEMA mmechelewa sana.

Tunasubiri team wasaliti kama nao watasusia.

Uchaguzi hakuna bali CCM wamejipa uenyeviti kwa njia haramu na za kishetani kabsa
 
Jafo Ni kijana ipo siku atajutia haya anayoyafanya sasa na namuomba Mungu ampe umri mrefu ili ije siku atakayo jutia haya akiwa mzee
 
Hongereni sana kwa usingizi mnono wa pono, mkiamka mtatukuta tunakula bata.
 
Upinzani hatujui kusoma na kuandika na wala giografia ya mitaa yetu hatuifahamu. Mjini ni wabangaizaji hatuna ajira ya kueleweka.

Lakini mnatuogopa
 
Hakuna uchaguzi bali CCM wamejipachika kwa njia haramu na za kishetani huu ni ushauri toka kwa Naibu Rais Daud Bashite kwa mtukufu magufuli
Nyie mlishindwa nini kutumia njia haramu?
 
Upinzani hatujui kusoma na kuandika na wala giografia ya mitaa yetu hatuifahamu. Mjini ni wabangaizaji hatuna ajira ya kueleweka.

Lakini mnatuogopa

Endeleeni kujifariji. Safi sana Hapa Kazi tu
 
Jafo ataingia kwenye historia chafu kuwahi kushuhudiwa Tanganyika. Angejiuzulu mapema au aufute huu uchaguzi tuanze upya kabisa.

Sitaki kumshinikiza ajiuzulu, bali namwombea Mungu amwepushe na zigo lililo mbele yake.
 
Jafo ataingia kwenye historia chafu kuwahi kushuhudiwa Tanganyika. Angejiuzulu mapema au aufute huu uchaguzi tuanze upya kabisa.

Sitaki kumshinikiza ajiuzulu, bali namwombea Mungu amwepushe na zigo lililo mbele yake.

ikitokea machafuko lazima afikishwe The Hague
 
Aibu ni hapo unapojitambua kua haukubaliki....watu ...wengi wana uelewa the only solution sasa ni kutumia mabavu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…