Jibu swali rahisi tu Ni kwa nini mpaka ujaze Consent Form ndio uchomwe hiyo chanjo?Huu ndio ujinga ninaouzungumzia, kama huu utakaoifanya serikali itenge muda na rasilimali kujibu hoja za watu waliobeba vichwa kama mifuko ya kuhifadhia meno badala ya kufikiri.
Nilipoona unawashambulia wapinga chanjo nikaona ww ni mjinga kabisa......Tangu Serikali iruhusu chanjo ya Corona kuingizwa nchini mjadala mkali umezuka kati ya wapinga chanjo hiyo na wale wanaoikubali, hali hii ni tofauti kabisa na mataifa mengine kama majirani zetu Kenya ua Rwanda. Mpaka sasa wapinga chanjo(anti vaxxers) wakiongozwa na jemedari wao Askofu Gwajima wanaongoza katika mtanange huu na hakuna anayeleweka kwa wakubali chanjo kuanzia January, Kigwangalla mpaka Mbowe n.k.
Kwa kuangalia nyuzi,video, mijadala na michango katika mitandao ya kijamii kuanzia hapa JF na kwingineko, kwa kuwasikiliza watu wengi ninaowafamu (wengi wao wakiwa wasomi wazuri kabisa na washika dini) wapinga chanjo na wakosoaji wake ni wengi kuliko wanaoikubali.
Wapinga chanjo(anti vaxxers) wana hoja na maswali mengi yanayodhihirisha ujinga, upumbavu na uduni wa fikra katika idadi kubwa ya raia nchini(majority).
Zaidi sana wana ujasiri na nguvu kama Simba wa kusimamia ujinga uliowajaa tofauti na wenzao. Hakuna namna ya kuwashauri kuhusu umuhimu wa chanjo, mnaofanya hivyo mnapoteza nguvu na muda wenu tu.
Hali hii inadhihirisha kiwango kikubwa sana cha ujinga katika taifa letu na inamaanisha hata wanaopigania mabadiliko mengine makubwa na muhimu katika nchi hii haitakuwa rahisi kwao kufanikiwa.
Huo ndo uhalisia na ukweli mchungu wa kusikitisha kuhusu taifa hili.Kati ya wale maadui wakubwa watatu, adui ujinga ameiganda nchi kama ruba na hatoki leo wala kesho.
Maskini Tanzania.
Mwalimu alipoanza kutawala alifanya declaration kuwa ujinga ulikuwa ni moja ya maaduni wa nchi. Kadri muda ulivyoendelea na idadi ya wajinga ikashindwa kupungua ndio wakatokea 'wajanja' miongoni mwa wajinga na kugundua kuwa ili kuendelea kukaa madarakani 'irresponsibly' ni pana haja ya kundeleza ujinga.Inasikitisha lakini ndio uhalisia tulio nao. Ujinga umetamalaki, tumeruhusu wajinga kuchukua nafasi za juu za maamuzi nchini na wameambukiza jamii kubwa.
Mkuu ulichojifunza darasani ni matusi tu! Naomba nikufundishe.....GWAJIMA-Mwenyekiti SUKUMA GANG
Huyu nana elimu dunia, na hata PhD yake haijulikani alipoitoa.
huyu na wapumbavu wengine wamechomwa chanjo 13 toka kwa wamarekani, yaani chanjo zote za utoto , mabusha , Hepatitis B, C na Yellow fever, hawakuwahi kupinga wala kutilia shaka ila hii moja tu ndio wananyanyua mabakuli yao.
Na kwa kuongezea wanasikia uchungu wao akichanjwa mwingine.[emoji1787][emoji1787] nchi imerogwa hii [emoji2223][emoji2223][emoji2223]Tangu Serikali iruhusu chanjo ya Corona kuingizwa nchini mjadala mkali umezuka kati ya wapinga chanjo hiyo na wale wanaoikubali, hali hii ni tofauti kabisa na mataifa mengine kama majirani zetu Kenya ua Rwanda. Mpaka sasa wapinga chanjo(anti vaxxers) wakiongozwa na jemedari wao Askofu Gwajima wanaongoza katika mtanange huu na hakuna anayeleweka kwa wakubali chanjo kuanzia January, Kigwangalla mpaka Mbowe n.k.
Kwa kuangalia nyuzi,video, mijadala na michango katika mitandao ya kijamii kuanzia hapa JF na kwingineko, kwa kuwasikiliza watu wengi ninaowafamu (wengi wao wakiwa wasomi wazuri kabisa na washika dini) wapinga chanjo na wakosoaji wake ni wengi kuliko wanaoikubali.
Wapinga chanjo(anti vaxxers) wana hoja na maswali mengi yanayodhihirisha ujinga, upumbavu na uduni wa fikra katika idadi kubwa ya raia nchini(majority).
Zaidi sana wana ujasiri na nguvu kama Simba wa kusimamia ujinga uliowajaa tofauti na wenzao. Hakuna namna ya kuwashauri kuhusu umuhimu wa chanjo, mnaofanya hivyo mnapoteza nguvu na muda wenu tu.
Hali hii inadhihirisha kiwango kikubwa sana cha ujinga katika taifa letu na inamaanisha hata wanaopigania mabadiliko mengine makubwa na muhimu katika nchi hii haitakuwa rahisi kwao kufanikiwa.
Huo ndo uhalisia na ukweli mchungu wa kusikitisha kuhusu taifa hili.Kati ya wale maadui wakubwa watatu, adui ujinga ameiganda nchi kama ruba na hatoki leo wala kesho.
Maskini Tanzania.
Mkuu ulichojifunza darasani ni matusi tu! Naomba nikufundishe.....
Hizo chanjo zingine ulizozitaja hutengenezwa hivi: Virusi wa ugonjwa huchukuliwa na "kupunguzwa" makali yao na hao virusi waliopunguzwa makali uwekwa mwilini mwako kama chanjo, na kwakuwa wamepunguzwa nguvu mwili hupambana nao kirahisi na kujitengenezaea kinga dhidi ya ugonjwa husika! Kwa covid mambo na mbinu ni tofauti....chanjo zile zinaingilia chembe za uhai wa mwili wako yaani mRNA....na kuziamrisha zitengeneze kinga ambayo hadi sasa hawajuhi itadumu muda gani na je chembe chembe za uhai za mwili wako ambazo zimegeuzwa na kuanza kuzalisha kinga zitakomea hapo kwenye covid au zitazalisha kitu kingine,
Hizo chanjo za zamani ukipata chanjo hakuna tena kupata ugonjwa huo (ikitokea ni nadra na inabidi aliyepata ugonjwa baada ya kupata chanjo sampuli ipelekwe kuona ni nini kilienda vibaya) ila kwa covidi tunaambiwa hata kama una chanjo vaa barakoa maana utaambukizwa covid tu japo eti dalili zako za ugonjwa zitakuwa ndogo, hahahahah!
Na mwisho ila sio kwa umuhimu, muda wa kutenegeneza hizi chanjo umekuwa mfupi mnno kiasi cha watu kujiuliza kama majaribio kwa watu yamefanyika au wamepakua tu haraka na ndio maana hata zile mamlaka ambazo hutoa ithibati kuwa sasa chanjo ni salama na inaruhusiwa kutumika bado hawajatoa vibari (vibari vinavyotumika ni vya dharula tu)kwahiyo kila anayechoma anaweka sahihi ya dole gumba kuwa nimekubali kuchomwa chanjo hii bira shuruti na madhara nitakayopata ni mimi mwenyewe na ukoo wangu hivyo hatutaishitaki serikari au mtenegenezaji...ndiyo!
Akili ya Kawaida(common sense): Hivi kwanini anayehoji kuhusu hizi chanjo anakuwa adui wa Ulimwengu? Trump, JPM(R.I.P), facebook, Gwajima na juzi chombo kikubwa cha habari duniani eti kinaandika hivi: kinara wa kupinga chanjo za covidi afa kwa covid-19....sasa mlitaka afe kwa ugonjwa gani, tutaaminije kama hamjamuua!
wewe ndio mjinga namba moja tutolee sumu zenu zinazoeneza ushogaTangu Serikali iruhusu chanjo ya Corona kuingizwa nchini mjadala mkali umezuka kati ya wapinga chanjo hiyo na wale wanaoikubali, hali hii ni tofauti kabisa na mataifa mengine kama majirani zetu Kenya ua Rwanda. Mpaka sasa wapinga chanjo(anti vaxxers) wakiongozwa na jemedari wao Askofu Gwajima wanaongoza katika mtanange huu na hakuna anayeleweka kwa wakubali chanjo kuanzia January, Kigwangalla mpaka Mbowe n.k.
Kwa kuangalia nyuzi,video, mijadala na michango katika mitandao ya kijamii kuanzia hapa JF na kwingineko, kwa kuwasikiliza watu wengi ninaowafamu (wengi wao wakiwa wasomi wazuri kabisa na washika dini) wapinga chanjo na wakosoaji wake ni wengi kuliko wanaoikubali.
Wapinga chanjo(anti vaxxers) wana hoja na maswali mengi yanayodhihirisha ujinga, upumbavu na uduni wa fikra katika idadi kubwa ya raia nchini(majority).
Zaidi sana wana ujasiri na nguvu kama Simba wa kusimamia ujinga uliowajaa tofauti na wenzao. Hakuna namna ya kuwashauri kuhusu umuhimu wa chanjo, mnaofanya hivyo mnapoteza nguvu na muda wenu tu.
Hali hii inadhihirisha kiwango kikubwa sana cha ujinga katika taifa letu na inamaanisha hata wanaopigania mabadiliko mengine makubwa na muhimu katika nchi hii haitakuwa rahisi kwao kufanikiwa.
Huo ndo uhalisia na ukweli mchungu wa kusikitisha kuhusu taifa hili.Kati ya wale maadui wakubwa watatu, adui ujinga ameiganda nchi kama ruba na hatoki leo wala kesho.
Maskini Tanzania.
wewe ndio mjinga namba moja tutolee sumu zenu zinazoeneza ushoga
Ni kweli na hili linaonesha kwamba kinachoitwa elimu kwa Tzn hakina maana na hakimsaidii anaejiita msomi yaani asiyesoma na anaejiita msomi wote wako kundi moja.Tangu Serikali iruhusu chanjo ya Corona kuingizwa nchini mjadala mkali umezuka kati ya wapinga chanjo hiyo na wale wanaoikubali, hali hii ni tofauti kabisa na mataifa mengine kama majirani zetu Kenya ua Rwanda. Mpaka sasa wapinga chanjo(anti vaxxers) wakiongozwa na jemedari wao Askofu Gwajima wanaongoza katika mtanange huu na hakuna anayeleweka kwa wakubali chanjo kuanzia January, Kigwangalla mpaka Mbowe n.k.
Kwa kuangalia nyuzi,video, mijadala na michango katika mitandao ya kijamii kuanzia hapa JF na kwingineko, kwa kuwasikiliza watu wengi ninaowafamu (wengi wao wakiwa wasomi wazuri kabisa na washika dini) wapinga chanjo na wakosoaji wake ni wengi kuliko wanaoikubali.
Wapinga chanjo(anti vaxxers) wana hoja na maswali mengi yanayodhihirisha ujinga, upumbavu na uduni wa fikra katika idadi kubwa ya raia nchini(majority).
Zaidi sana wana ujasiri na nguvu kama Simba wa kusimamia ujinga uliowajaa tofauti na wenzao. Hakuna namna ya kuwashauri kuhusu umuhimu wa chanjo, mnaofanya hivyo mnapoteza nguvu na muda wenu tu.
Hali hii inadhihirisha kiwango kikubwa sana cha ujinga katika taifa letu na inamaanisha hata wanaopigania mabadiliko mengine makubwa na muhimu katika nchi hii haitakuwa rahisi kwao kufanikiwa.
Huo ndo uhalisia na ukweli mchungu wa kusikitisha kuhusu taifa hili.Kati ya wale maadui wakubwa watatu, adui ujinga ameiganda nchi kama ruba na hatoki leo wala kesho.
Maskini Tanzania.
ndio huchomwa mara 5 na sio mara nyingi kama unasema kwa mtiririko ufuatao: TT1.....haijengi kinga, TT2 baada ya mwezi mmoja kuboost kinga ya TT1 na kukupa kinga kwa mwezi mmoja, TT3 huchomwa baada ya miezi 3,,,nk nk hadi TT5, haya sasa wewe mwenye akili J&J inakupa kinga ipi maana hata baada ya kuchomwa utaendelea kuvaa barakoa!Wewe kilaza chanjo ya tetenus/pepopunda watu wanachanjwa mara nyingi tu.