Hehehehe,
Mzee unahangaika na tafiti za Ulaya hapa Bongo kuna Makampuni ya madawa kila mwaka lazima yasafirishe madaktari ulaya na Marekani kwa tour na kila mwezi bahasha hutembea.

Ni wachache tunaujua huu mchezo ni kitu cha kawaida sana kwenye Pharma Industry,

Kwenye Pharma Industry figisu ni nyingi sana ukimbwela you are out,

Daktari hawezi kuandikia Mgonjwa wake prescription ya brand yako kiboya tu, wewe umekuwa nani, mama yake? [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Gwajima aliuliza
"Kwa nini takwimu za idadi ya wagonjwa wa magonjwa mengine kama malaria hazitolewi?

Ukipata chanjo hutaambukizwa, hutaambukiza wala kuugua corona? Kama jibu ni hapana, kwa nini mtu apate chanjo hiyo ya corona?"
 
Hahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha nicheke tu maana kuna mijitu humu kila siku sukuma gang sijui nn !!Ila yule mwamba mtamkumbuka sana siko kikabila ila wasukuma tumejaribu kuweka kumbukumbu ya uongozi bora na usio chekea wapuuuzi.
 
Hzo chanjo zote zilipita hatua mbalimbali kuanzia na majaribio mbalimbali mpk kufikia matumizi ambapo si chini ya miaka 5-10...

Watalaam wanasema zinatoka guarantee ya 70% na zipo ambazo zinakwenda mpaka 90%... chanjo hii imeruhusiwa kutumika maana dunia nzima iko kwenye dharura na watu wanakufa hivyo WHO waliruhusu zianze kutumika ila study ziendelee ipatikane yenye uwezo wa 100%.

Tafsiri ya WHO ni kuinusuru dunia ambayo watu walikuwa wanakufa hovyo hivyo isingekuwa busara kusubiri 5-10 yrs wakati wapo watu wamedevelop chanjo zenye uwezo wa 70% to 90%.

Duniani Kote CHANJO NI HIARI, kama unataka unadunga kama hutaki unaacha....ijapokuwa tunakoendea mbele inaweza kuwa lazima automatically tu.

Serikali ya Samia imeleta chanjo na kuifanya hiari ili kukidhi haja za watanzania wenye uhitaji wa chanjo ndio maana ikawa HIARI sio Lazima uchanjwe ila wapo watanzania wengi wanauhitaji.
 
Walipinga vyandarua hao kipindi kile USA imetoa msaada maswali ya kitura yalikua mengi mno leo nyumba zina vyandarua bila kuzungumzia tena kuwa zinaleta ugumba...Elimu ya mzungu haiwasaidii bora wasingesoma kabisaa..
 
Gwajima aliuliza
"Kwa nini takwimu za idadi ya wagonjwa wa magonjwa mengine kama malaria hazitolewi?

Ukipata chanjo hutaambukizwa, hutaambukiza wala kuugua corona? Kama jibu ni hapana, kwa nini mtu apate chanjo hiyo ya corona?"

Corona ni Pandemic hayo mengine sio pandemic....ndio maana hata ebora ikizuka basi takwimu hupaswa kutolewa kila siku.... Lakini pia takwimu za malaria na HIV hutolewa na kuwekwa kwenye data base.

Kumbuka pia malaria inatibiki na sehemu nyingine duniani wameidhibiti haipo....Corona ni pandemic disease na ni ugonjwa mpya unaoua watu wengi kwa haraka lazima kuwe na tahadhari za haraka.

Chanjo hizi zote zinatoa guarantee ya 70% to 90% kwenye kuukinga mwili ndio maana unashauriwa bado uchukue tahadhari maana haina guarantee ya 100% japo wapo pia zinazowakinga.
 
KWANINI CHANJO YA KORONA IMELETWA

Kama kuchanja ni hiyari, na Mh. Rais ameamua kupigia debe chanjo, basi ni haki pia kwa wale ambao hawaungi mkono chanjo nao kupigia debe upande wao...
Nimeangalia bandiko lako refu, nilichokiona ni kumsifu Magufuli maana ulikuwa na mahaba niue naye. Halafu ukamalizia kwa kuitaja cdm Katika namna hasi, kama wanaccm wengi wafanyavyo hapa jukwaani kwenye mabandiko yao. Huyo Magu unayemsifia hakuwa na lolote zaidi ya kuwa ni mtu anayeamini ushirikina, na kwa kuwa alikuwa na ulevi wa madaraka, basi akawa analazimisha wote tuwe na imani za kishirikina kama yeye.

Hao cdm uliowataja kuhusu demokrasia, tatizo sio demokrasia wafanyayo cdm, bali ni hofu waliyonayo ccm dhidi ya Cdm kwani ccm tayari imeshapoteza mvuto kwa umma.

Sasa kwakuwa cdm imeonyesha kuwa na mvuto kwa umma, jambo hili linaiumiza ccm iliyopoteza mvuto ndio matumizi ya nguvu yanapooanzia.

Kama uwepo wa cdm na aina ya demokrasia wanayoitaka ni kikwazo cha hayo maendeleo, tueleze maendeleo yaliyokuwepo kabla ya hiyo cdm kuwepo.
 
Wewe askofu gwajima sio mtu mdogo ana marafiki wakubwa maaskofu marekani,uingereza urusi,canada,denimak nk amabao ni madokita na wenye fani zaidi ya uchungaji
 
Taarifa za kisayansi na vyombo vya habari vinasema ukichanjwa unaweza kuambukizwa au kuambukiza Corona, pia unaweza kufa, ina maana inapunguza tu. Na kama ndivyo inapishana vipi na kujipiga nyungu?
 
Thanks brother naona unajibu kwa hoja maridhawa, tofauti na wale jamaa zangu.
Hiyo ni hoja ya kusema kwamba kama zamani ilikuwa safi basi na leo itakuwa safi. Yaani ni hoja ya kuuza akili yako na kuweka imani 100% kwa mtu baki...
Bado nawazoom jamaa zangu wa ANAUPIGA MWINGI.
 
Hoja za Rais zinatokana na matokeo ya study na majaribio ya kitaalamu yaliyofanywa kuhusu chanjo husika!!!

Sasa wewe unataka Wahuni kama akina Gwajima nao waachwe waendelee kuwajaza watu ujinga kwa kuzingatia study zipi alizofanya?...
Waliofanya study una waamini?

Kama hazina madhala kwa nini hawataki kuji commit ili chancho ikileta madhala wawajibike?

Ina maana study yao bado haina mashiko na ndio maana wanakwepa.

Sasa subili baada ya miaka utaona unaanza kuota matiti ndo utajua.
 
Haya mambo mnaona ni maigizo kisa hamjaona mtu wenu wa karibu kayapata au nyie amjayapata ndio maana mnajidai kuongea hizi pumba ...huu ugonjwa mmbaya jaman na sio lazima ukupate ww ndio uone mazara shukuru mungu kakuepusheni amjapata .
 
Hiyo ni hoja ya kusema kwamba kama zamani ilikuwa safi basi na leo itakuwa safi. Yaani ni hoja ya kuuza akili yako na kuweka imani 100% kwa mtu baki.
Hoja ni kwamba, usalama na effectiveness yake imethibitishwa na Watalaamu! Gwajima yeye ana utaalamu wowote?! Ana timu ya wataalamu waliomwelekeza huo msimamo wake?
Ngoja nikufunue kichwa ili usiendelee kulala kwenye mambo ya zamani.
I doubt kama una cha kunifafanulia hapa...
Hivi huoni aibu?!

NIna uhakika umeelewa kilichomaanishwa hapo juu ni nini hasa, lakini bila aibu unataka kujaribu kupotosha...

Yaani una-highlight " vaccine-derived version of the poliovirus " lakini kwa makusudi unaacha neno RARE!!!!

Kila anayetumia akili yake sawasawa anafahamu majority if not all of the medical solutions zinaacha side effects!!

Na kama kweli hujui ulichoandika mwenyewe, wanachosema WHO ni uwezekano wa kupata a rare vaccines derived version of the poliovirus baada ya kuwa umepata chanjo....

Lakini kama ilivyo side effects zingine, such rare derived version of poliovirus zinatokea kwenye maeneo yenye watu wenye kinga dhaifu!!!

Na kama ungetumia dakika moja tu ya ziada kufahamu hiyo Vaccine-Derived Polio Virus ni nini hasa; ungekutana na haya maelezo kutoka CDC.
Kisha wanaendelea...
VDPVs can cause outbreaks in countries where vaccine coverage is low. Long-term excretion can also occur in people with certain immunodeficiency disorders.

Kumbe basi, hiyo polio yenyewe unayoisema ina uwezekano mkubnwa wa kutokea kwenye jamii zenye watu aina yenu!! Watu wanaojaribu kupingana na science bila kutumia sayansi!

Now tell me: Kama wewe ndie mwenye mamlaka kwenye nchi, unaweza kuzuia chanjo ya polio kwa sababu inasababisha "A rare vaccine-derived version of the poliovirus"?
--- mwisho wa nukuu ---

Sasa unapoonza maneno kama hayo ni kwamba wamejaribu kudogosha ishu ili wale waliolala muendelee kulala.

Na pili unaijua historia haswa ya chanjo ya polio ilivyopatikana?
Hayo maelezo yako hayana mashiko kutokana na ushahidi niliokuwekea hapo juu!!

Unafahamu kuwa chanjo ya polio ndo ilitengeneza virusi vya HIV?

Hiyo historia ipo katika kitabu kinaitwa, "The River : A Journey Back to the Source of HIV and AIDS" (kiko Amazon)

Hicho kitabu sijakisoma... Je, unaweza kuweka scientific evidence iliyotajwa kwenye hicho kitabu na ku-conclude kwamba HIV imesababishwa na Chanjo ya Polio?

Hata hivyo, nimesoma review ya hicho kitabu kupitia US Library of Medicine, na wanapozungumzia polio wanasema:-
Kwanza, kumbe ni hypothesis, na sio findings! Sitaki kuamini kwamba hujui what's hypothesis!

Na hypothesis yenyewe ni kwamba, so long as polio vaccines ilitumia cultures of monkey kidney cells, basi inawezekana figo za nyani zilipata maambukizi! Na kwavile inawezekana figo zilipata maambukizi ya SIV, na kwavile inafahamika HIV imetokea kwa nyani, basi inawezekana hao nyani walikuwa na hayo maambukizi yaliyosababisha HIV kutokana na chanjo ya polio!

Narudia... hiyo ni HYPOTHESIS!!!

Hypothesis must be concluded with scientific or research findings! Kwa wasiofahamu what's hypothesis in research ni kwamba!

The question is: Is the hypothesis supported with scientific findings?! Intro inaendelea...
The idea is not new, having been proposed in 1992 (and rubbished or deflected by the scientific community).

Kumbe, hiyo idea, iliyozua hypothesis imetupwa kapuni na WANASAYANSI! Imetupwa kapuni kwa sababu haina scientific evidence, lakini wewe unataka kuileta hapa as scientific argument!!!

Hiyo review hapo juu imeandikwa na Professor Sebastian Lucas, Department of Histopathology! Vipi kuhusu Edward Hoper alieandika hicho kitabu unachojaribu kutolea conclusion?
Edward Hooper has worked as a United Nations official and BBC correspondent in Africa.
Kumbe ni Mwandishi wa Habari!!!!
Maelezo yako hayana maana yoyote kwa sababu unajadili sayansi kwa kutumia arugments ambazo hazina scientific evidence!!
Ukiona kichwa kama Magufuli anakupa warning ujue kuna vitu ameshaviona.
Ndo tatizo lenu hili...
Sasa ni uzembe sana wa akili kuwaza kwamba "Kama zamani tumefanya basi tuendelee kufanya"

Nyerere angekuwa na akili hiyo unadhani angedai Uhuru? Maana kama amezaliwa ameukuta ukoloni sasa anadai uhuru wa nini?
Kama hadi hapo bado hujajua ni yupi kati yetu mwenye uzembe wa akili, then I must sincerly say "Una safari ndefu sana"!!
 
Waliofanya study una waamini?
Kwahiyo unataka niwaamini ambao hawajafanya study yoyote sio?
Kama hazina madhala kwa nini hawataki kuji commit ili chancho ikileta madhala wawajibike?
Ina maana study yao bado haina mashiko na ndio maana wanakwepa.
Sasa subili baada ya miaka utaona unaanza kuota matiti ndo utajua.
Kila medical solution ina side effects! Kinachoangaliwa ni mizania inaegemea wapi!

Una lingine?
 
This qualifies as food for thought 👏!
 
Acha kujimwambafai kwa kukariri mambo usiyokuwa na uhakika nayo ndugu! Hayo yote ma citations yameandikwa na watu ambao hata hujui 'intentions' zao nyuma ya pazia! Hujui kama kilichoandikwa kilitengenezwa au ndio ukweli halisi! Ungeweza kujimwambafai kama ww mwenyewe ulishiriki na kuhakikisha hizo 'findings' ni halisi!
Ni pungu tu ndio hawezi elewa jinsi dunia inavyooperate hasa linapokuja suala la weusi! Tumekuwa guinea pigs kwa mambo mengi sana ya kipumbafu kwa faida ya wazungu!
Hii covax nayo inapita mlemle! Hili la corona kwetu sio issue kubwa ukilinganisha na makubwa tunayopitia! Isitoshe nguvu inayotumika 'is out of proportion'! Mimtu iliyopoteza uwezo wa kuhoji kama ww kwa kumeza kila kitu hao wazungu 'wanasayansi' wanachosema/kuandika ni hasara sana kwa kizazi hiki!
Eti 'scientific evidence' hivi unaelewa vizuri hata maana ya hilo neno!?
Una scientific evidence yoyote kuwa miaka 10, 30, 50 baada ya kudungwa covax madhara gani yatawapata waliodungwa na vizavi vyao!?
Useless people like you are really a huge set-back to our existence in this beautiful planet earth!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…