Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Mara ya tatu hii anazurura kanda ya ziwa! Mwambieni imekula kwake haoni kitu hapo!!! Akamuulize mzee lowasa!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kutembelea uwanja wa ndege Chato ni kichekesho. CHADEMA bana, hata hawajielewi.
Kwani kuujenga nayo ilikuwa kichekesho?
 
Robert Amsterdam ameandika leo kuwa ni wazi Lisu hatatangazwa . Ameshauri international community ijiandae kwa njia za amani aliyeshinda atangazwe!
Kwani Rob ndio msemaji wa tume , au ina maana sisi watz hatuna uwezo wa kuamua nani tunamtaka awe rais wetu hadi tusikilize maoni ya huyo wakili wa Lissu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya ccm kuiba fedha za wafanyakazi wakaamua eti kuunganisha mifuko na kuzuia wafanyakazi kuchukua michango yao pindi wanapohitaji baada ya kazi kuisha, hili la kuweka hadi ifike miaka 60 ni zuluma sawa na zuluma zingine mfano rambirambi, wakulima wa korosho, uporwaji pesa za bureau de change, nyongeza za mishahara, nk.

Hii michango inafaa iwe kujiunga Ni hiari kwa anaetaka maana haina faida kujiunga na kitu kisichofaida.
Waliofilisika mifuko kina Dau wakazawadiwa na ubalozi kabisa ili wapate nafasi ya kutumbua pesa zetu huku tukiambiwa tusubirie miaka 60 utadhani una ahadi na Mungu kufika hio 60 lengo wanajua wengi watakuwa wameshakufa bila kupata michango yao.
 
Tunataka kumuandalia magufuli darasa rasmi la sheria chini ya Mwl Lissu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maendeleo Yana maeneo Yana chama,ama nimeelewa vibaya.
 
Kwenye mifuko ya hifadhi ya Jamii na fao la kujitoa hapa Lisu ndo anatakiwa apigilie misumari ya nchi 10 kabisa ili kuisambaratisha kabisa ccm, iweje pesa yangu nipangiwe mda wa kuichukua
 
Maandishi yako na kutokuwa makini katika silabi na ilabi ni kweli huna hizo akili anazodhani unazo.

Jamaa yuko sahihi
 
Kuna tetesi kuwa Polisiccm wanawatishia watu wasiende kwenye mkutano huo maana Duniani kote wanautizama kama live mechi ya Liverpool vs man u au Barcelona vs Real Madrid
 
Hii hesabu feki. Tanzania ni kubwa sana, hakukuwa na sababu ya Lissu kurudi kanda ya ziwa mara ya tatu. Anapoteza muda wake na resources, wasukuma hawezi kuacha kumpa kura mtu wao.
Kwani Lissu ndiye anapanga ratiba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…