Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Kama una akili sawasawa. Ungeelewa kwamba hajawahi kuponda uwanja kwa maana ya ubora anachosema . Yeye ni mchakato wake kuanzia tenda na gharama zake .pia unazungumzia uhalali wa kujenga huko chato kijijini kwa MAGUFULI. Hizi degree za kudesa zinawaacha uchi kichwani nyieUnatembeleaje uwanja unaouponda kila siku? Aende akatembelee na traffic lights.
Huko hao wote watafuata Nini?Hats dsm wanaofika no wachache na wakati mwingine wanalazimika katika mazingira Fulani tu.Uwanja sio wa wana chato pekee hata uwanja wa DSM unatumika na mtanzania yoyote na wengine kutoka nje ya nchi
Usiwatishe wakati bado Siku 16 jamaa aondoke ofisini na kurudi huko kwao kama mwanakijiji mwenzao.Wana Chato Kama mnazipenda nyumba zenu kaeni majumbani mwenu yasiwakute ya kimara
Thus tumewataadharisha tu wasifanye makosaUsiwatishe wakati bado Siku 16 jamaa aondoke ofisini na kurudi huko kwao kama mwanakijiji mwenzao.
Hawezi kuishi eneo jingine nchi hii maana hakuna serikali ya kijiji au mtaa itamkubali
..tume ndio inapanga wagombea wakampeni mkoa na wilaya gani.Hii hesabu feki. Tanzania ni kubwa sana, hakukuwa na sababu ya Lissu kurudi kanda ya ziwa mara ya tatu. Anapoteza muda wake na resources, wasukuma hawezi kuacha kumpa kura mtu wao.
Haya ni matukio ya kufanywa na "saccos" ili kuongeza joto la uchaguzi na kuonyesha kwamba wanaonewa ili wapate kura za huruma, maana wanajuwa wameisha shindwa, iliyobaki ni kuharibu tukose woteMgombea wa Urais anayetarajiwa kupata ushindi mkubwa Tundu Lissu leo ataitetemesha Chato na viunga vyake katika kampeni zake zilizoivuta Dunia.
Taarifa kutoka ndani ya Team yake ya Kampeni kabla ya kuhutubia mkutano wa Hadhara atautembelea Uwanja wa ndege wa Chato uliozua gumzo nchini kote kutokana na Ujenzi wake.
Tundu Lissu amepata uungwaji mkono mkubwa kutoka Makundi yote ya Jamii hususan Wafanyakazi ambao wanalaani kupitishwa kwa sheria Haramu ya kupora Mafao yao. CCM na serikali yake walipitisha sheria ya kuzuia Mafao ya Wafanyakazi hata Kama ameacha kazi akiwa na miaka 30 haruhusiwi kupewa haki yake ya mafao mpaka afikishe miaka 60.Sheria hii Haramu imelaaniwa na kila mfanyakazi na Tundu Lissu ameapa kuifutilia mbali Mara tu baada ya kuapishwa.
Ingawa Chato ni nyumbani kwa mgombea Urais wa CCM Lakini kwa muda mrefu CHADEMA imekuwa na uungwaji mkono mkubwa na inao wafuasi wa kutosha.Mmoja wa makamanda mashuhuri wanaotokea Chato ni mwanamama Husna Amri ambaye anajulikana nchi nzima kwa ujasiri wake.
Tunatarajia kuwaletea kila kitakachojiri katika mapokezi na Mkutano wa Kampeni hapa Chato.
-------------------------- --------------------
Yanayoendelea saa 4 Asubuhi
Mgombea wa Urais Tundu Lissu amekutana na wanachama nje ya Hoteli aliyofikia mjini Kahama kabla ya kuondoka kuelekea kwenye kampeni.
Lissu amesema Jana usiku mgombea Ubunge CDM Jimbo la Chato alivamiwa na kuharibiwa Mali zake na maharamia wanaifanyia hivyo ili kumtishia asiende Chato.
Lissu ameonya hatatishika na ataingia Chato na kufanya mkutano Mkubwa wa Kampeni.Lissu ameitaka Dunia kutega masikio kuelekea Chato leo jioni.
Kabla ya kuhutubia Chato jioni hii Lissu anatarajiwa kufanya kampeni maeneo ya Mbogwe na Bukombe
Ndio maana tunawaoeperusha kwa kimbunga kwani hamwezi hats kujua namna ya kuwa salama na kimbunga hiki ,na kwasababu hiyo mtapukutika tu,kwani Kila Jambo mnatumia nguvu badala ya akili.Tumieni akili kuwajibu Ccm.
Nakwambia leo Chato lazima tumpopoe na mawe tunamsubiri kwa hamu.Acha ubaguzi,Mtanzania hajawahi kuwa Mkenya,vilevike Msukuma hajawahi,kuwa Mhehe.
[emoji120]Big up.Kuna watu sijawahi ona, uwanja wa Chato uwanja wa Chato, hivi Chato ni wananchi wa wapi? Wao hawana haki ya kuwa na uwanja? Mbona mnakuwa wapumbavu kiasi hiki?
Mnatukana kila siku Chato utafikiri wao hawatakiwi kuwa na uwanja. Kwa taarifa yenu wananchi wa Chato si wajinga, muulizeni mgombea wenu alichokipata Buselesele na Katoro hadi akasitisha kwenda Chato, haya yote ni siasa mbovu isiyo na staha, hata kama unachallenge tumia lugha rafiki, don't be so biased to that extent, watu wa Chato amewatukana sana, Buselesele na Katoro yalikuwa maeneo ya upinzani lakini kutokana na dharau za Lissu matokeo yake CHADEMA leo inazomewa, Lissu asingezomewa Buselesele kwa namna ile, Awe na akiba ya maneno kwani anaowatukana wanasikia .
Inashangaza sana unatukana halafu bado eti unaenda kuwaomba kura,,,,, unatukana barabara kujengwa huku unazitumia, unatukana ndege huku unazipanda huo ni U CHICHIDODO.
Hopeless kabisa , let's stay tuned leo.
Ndio maana watanzania tumewakataa kwani mmeishiwa Sera,mmechagua kutumia nguvu,mliokuwa wachache.Nakwambia leo Chato lazima tumpopoe na mawe tunamsubiri kwa hamu.
Kama kweli anajiamini akatize Chato aone!
Mungu ambariki na kumlinda Mja wake Tundu Antiphas Lissu. Amuepushe na mabaya na wabaya wote kwa Jina la YesuMgombea wa Urais anayetarajiwa kupata ushindi mkubwa Tundu Lissu leo ataitetemesha Chato na viunga vyake katika kampeni zake zilizoivuta Dunia.
Taarifa kutoka ndani ya Team yake ya Kampeni kabla ya kuhutubia mkutano wa Hadhara atautembelea Uwanja wa ndege wa Chato uliozua gumzo nchini kote kutokana na Ujenzi wake.
Tundu Lissu amepata uungwaji mkono mkubwa kutoka Makundi yote ya Jamii hususan Wafanyakazi ambao wanalaani kupitishwa kwa sheria Haramu ya kupora Mafao yao. CCM na serikali yake walipitisha sheria ya kuzuia Mafao ya Wafanyakazi hata Kama ameacha kazi akiwa na miaka 30 haruhusiwi kupewa haki yake ya mafao mpaka afikishe miaka 60.Sheria hii Haramu imelaaniwa na kila mfanyakazi na Tundu Lissu ameapa kuifutilia mbali Mara tu baada ya kuapishwa.
Ingawa Chato ni nyumbani kwa mgombea Urais wa CCM Lakini kwa muda mrefu CHADEMA imekuwa na uungwaji mkono mkubwa na inao wafuasi wa kutosha.Mmoja wa makamanda mashuhuri wanaotokea Chato ni mwanamama Husna Amri ambaye anajulikana nchi nzima kwa ujasiri wake.
Tunatarajia kuwaletea kila kitakachojiri katika mapokezi na Mkutano wa Kampeni hapa Chato.
-------------------------- --------------------
Yanayoendelea saa 4 Asubuhi
Mgombea wa Urais Tundu Lissu amekutana na wanachama nje ya Hoteli aliyofikia mjini Kahama kabla ya kuondoka kuelekea kwenye kampeni.
Lissu amesema Jana usiku mgombea Ubunge CDM Jimbo la Chato alivamiwa na kuharibiwa Mali zake na maharamia wanaifanyia hivyo ili kumtishia asiende Chato.
Lissu ameonya hatatishika na ataingia Chato na kufanya mkutano Mkubwa wa Kampeni.Lissu ameitaka Dunia kutega masikio kuelekea Chato leo jioni.
Kabla ya kuhutubia Chato jioni hii Lissu anatarajiwa kufanya kampeni maeneo ya Mbogwe na Bukombe
He he he, mkuu leta picha tuwaone wanavyo hangaika hao wasio tumia ubongo waliopewa bure na Mungu.MaSemitrela yameanza kuzoa watu kuanzia Bagamoyo alfajiri ya leo mvua imewapiga wameshindwa hata kujibanza kwa ugeni walokuwa nao
Kama Umetumwa utanyea debe JEKUNDU huko ULINZI wa leo ni MABAKAMABAKANakwambia leo Chato lazima tumpopoe na mawe tunamsubiri kwa hamu.
Kama kweli anajiamini akatize Chato aone!
Maamuzi ya Chato kuwa mkoa wa Geita ilikuwa awamu ya ngapi?Yule ni muhutu sio msukuma,kata ya Chato ilikuwa wilaya ya Biharamulo mkoa wa kagera akaisogeza Geita,
Tukisema ana ukabila mnabisha sasa mtasema yoteHii hesabu feki. Tanzania ni kubwa sana, hakukuwa na sababu ya Lissu kurudi kanda ya ziwa mara ya tatu. Anapoteza muda wake na resources, wasukuma hawezi kuacha kumpa kura mtu wao.
Hao wataangamia kwa kukosa maarifa,nayo hiyo kwao ni laana kwa maovu yao.He he he, mkuu leta picha tuwaone wanavyo hangaika hao wasio tumia ubongo waliopewa bure na Mungu.
Bora angeishusha kabisa mvua ya radi, upepo na mawe kabisa
Sawa Niko hapa Chato namsubiri yaani atakachokipata sijjui lazima apopolewe na mawe.Kama Umetumwa utanyea debe JEKUNDU huko ULINZI wa leo ni MABAKAMABAKA
Kwani wafuasi wake wakimfuata hotelini kunakuwa na vurugu gani??? Kwani akifanya kampeni chatt kunakuwa na vurugu gani??? Nyie Ccm Mbona mnakuwa kama mna funza vichwani???[emoji120]Big up.
Wafuasi wake wasichoelewa, kama kweli ataenda Chato, nia si kufanya kampeni, bali kusababisha vurugu, ili Serikali ilaumiwe. Hicho ndicho alichokifanya Kahama kukaribisha wafuasi wake hotelini usiku akijua Polisi ingeingilia kati na kubeba lawama.
Kwa kila hali, adhima ya Lissu ni nchi kuingia kwenye machafuko. Lakini hajui kuwa wafuasi wake ni wa mitandao ya kijamii lakini kkuhalisia hakuna atakayeingia barabarani kuitikia upuuzi wake.
Una ubavu wewe! Mnapoachwa msidhani mnaogopwa washamba nyie!Huyu Mbeligiji mbona hafiki Chato tumejiandaa vizuri sana kumpopoa na mawe.
We msng suburi dawa ikuingie! Hadi muda huo tupo site tunaisuburia hiyo mbwa.Una ubavu wewe! Mnapoachwa msidhani mnaogopwa washamba nyie!