Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Mgombea wa Urais anayetarajiwa kupata ushindi mkubwa Tundu Lissu leo ataitetemesha Chato na viunga vyake katika kampeni zake zilizoivuta Dunia.

Taarifa kutoka ndani ya Team yake ya Kampeni kabla ya kuhutubia mkutano wa Hadhara atautembelea Uwanja wa ndege wa Chato uliozua gumzo nchini kote kutokana na Ujenzi wake.

Tundu Lissu amepata uungwaji mkono mkubwa kutoka Makundi yote ya Jamii hususan Wafanyakazi ambao wanalaani kupitishwa kwa sheria Haramu ya kupora Mafao yao. CCM na serikali yake walipitisha sheria ya kuzuia Mafao ya Wafanyakazi hata Kama ameacha kazi akiwa na miaka 30 haruhusiwi kupewa haki yake ya mafao mpaka afikishe miaka 60.Sheria hii Haramu imelaaniwa na kila mfanyakazi na Tundu Lissu ameapa kuifutilia mbali Mara tu baada ya kuapishwa.

Ingawa Chato ni nyumbani kwa mgombea Urais wa CCM Lakini kwa muda mrefu Chadema imekuwa na uungwaji mkono mkubwa na inao wafuasi wa kutosha.Mmoja wa makamanda mashuhuri wanaotokea Chato ni mwanamama Husna Amri ambaye anajulikana nchi nzima kwa ujasiri wake.

Tunatarajia kuwaletea kila kitakachojiri katika mapokezi na Mkutano wa Kampeni hapa Chato.
TAL. Mungu akutangulie na kukulinda. Amina.
 
Leo mwanachato watuambie je Chato international airport imewanufaisha vipi?

Je tangu 2017 mwanachato gani ameutumia huo uwanja?@barafu alipiga kelele sana kuhusu huu uwanja tangu 2016.

Usije baadae ukageuka ni malisho ya mifugo.

Watumbie je taa za barabarani zimewaletea vip maendeleo au zimekuwa kama sehemu ya kuongozea maguta ya punda?
He was overwhelmed to become president. Has he ever been even a class monitor?
 
Unatembeleaje uwanja unaouponda kila siku? Aende akatembelee na traffic lights.
Akapanda na mabasi ya mwendo kasi, akapita ubungo interchange, tazara flyover, kigamboni, huko kote alikuwa akisonononeka kwa alivyokuwa akimtukana na kumkashifu huku akitoa machozi ya furahaa na kusema moyoni dah ama kweli huyu JPM ni jiwe lilokataliwa na waashi, lakini ndiyo limekuwa jiwe kuu la msingi wa Tanzania
 
Kampeni meneja wa Lisu huyo mrefu mwenye miwani Golugwa alienda na akina Godbless Lema kumzika mbwa wa mbunge wa Chadema Nassari wakiwa na viongozi wa Juu wa CHADEMA lakini hawakwenda kuzika mamia ya wakerewe waliokufa kwa ajali ya meli ya MV Nyerere .Kwao mbwa alikuwa wa muhimu kuzika kuliko wakerewe

Halafu wanategemea kwenda huko Ukerewe kuomba kuomba kura

1602568674735.png
 
Hii hesabu feki. Tanzania ni kubwa sana, hakukuwa na sababu ya Lissu kurudi kanda ya ziwa mara ya tatu. Anapoteza muda wake na resources, wasukuma hawezi kuacha kumpa kura mtu wao.
Hata Mimi nimeshangaa Kuna sehemu hajawahi fika kabisa why asiende huko jamani.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Anzeni kutafuta majibu ya maswali aliyiukiza akiwa Singida. Alisema anawatumia maswali mapema muanze kuulizana hapo Chato msijekusema amewashitukiza! Swali kubwa ni huo uwanja unawasaidiaje nyie watu wa Chato? Swali la pili ni Mwanachato yupi ameshautumia huo uwanja kupanda ndege?

Majibu sio lazima tumpe tunampuuza. Hata kuna wanadaresalama wengi tu hawajawahi kutumia uwanja wa ndege dar. Tumia akili
 
Tuliaia dadaa naona unawashwa washwa ngoja mwamba afike kuangalia iyo 49B zimetumikaje.

Kujenga chato n ubinafsi tu wa Meko so tumeshamsema kwa ubinafsi wake.

Ngoja Sasa tukaangalie ufisadi wa 49B tumseme kwa Hilo maana nasikia huko mwananchi wa kawaida hafiki ngoja rais aende.
Hamna lolote nyie mliokosa sera
 
Bora yeye kuliko kusomba watu wa kila kona ya Dar na leo tena kuwapeleka Tanganyika perkazi
Hivi Hawa watu wanaosombwa hua wanafungwa kitambaa machoni,miguuni na mikononi kwamba lazima waende? Mi nafikiri Ni kwa mapenzi yao ndo maana wanavalia jezi ya chama na kusubiri usafiri mahali walipokubalina kukutana.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom