Atatangazwa tu. Hilo lisiwape shidaExactly, hawawezi kumruhusu walivyo mashetani wakubwa. Lissu anashinda mapema asubuhi, shida ni kumtangaza! Tunafanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atatangazwa tu. Hilo lisiwape shidaExactly, hawawezi kumruhusu walivyo mashetani wakubwa. Lissu anashinda mapema asubuhi, shida ni kumtangaza! Tunafanyaje?
Yule ni muhutu sio msukuma,kata ya Chato ilikuwa wilaya ya Biharamulo mkoa wa kagera akaisogeza Geita,Hii hesabu feki. Tanzania ni kubwa sana, hakukuwa na sababu ya Lissu kurudi kanda ya ziwa mara ya tatu. Anapoteza muda wake na resources, wasukuma hawezi kuacha kumpa kura mtu wao.
TAL. Mungu akutangulie na kukulinda. Amina.Mgombea wa Urais anayetarajiwa kupata ushindi mkubwa Tundu Lissu leo ataitetemesha Chato na viunga vyake katika kampeni zake zilizoivuta Dunia.
Taarifa kutoka ndani ya Team yake ya Kampeni kabla ya kuhutubia mkutano wa Hadhara atautembelea Uwanja wa ndege wa Chato uliozua gumzo nchini kote kutokana na Ujenzi wake.
Tundu Lissu amepata uungwaji mkono mkubwa kutoka Makundi yote ya Jamii hususan Wafanyakazi ambao wanalaani kupitishwa kwa sheria Haramu ya kupora Mafao yao. CCM na serikali yake walipitisha sheria ya kuzuia Mafao ya Wafanyakazi hata Kama ameacha kazi akiwa na miaka 30 haruhusiwi kupewa haki yake ya mafao mpaka afikishe miaka 60.Sheria hii Haramu imelaaniwa na kila mfanyakazi na Tundu Lissu ameapa kuifutilia mbali Mara tu baada ya kuapishwa.
Ingawa Chato ni nyumbani kwa mgombea Urais wa CCM Lakini kwa muda mrefu Chadema imekuwa na uungwaji mkono mkubwa na inao wafuasi wa kutosha.Mmoja wa makamanda mashuhuri wanaotokea Chato ni mwanamama Husna Amri ambaye anajulikana nchi nzima kwa ujasiri wake.
Tunatarajia kuwaletea kila kitakachojiri katika mapokezi na Mkutano wa Kampeni hapa Chato.
Streets tuu!!Exactly, hawawezi kumruhusu walivyo mashetani wakubwa. Lissu anashinda mapema asubuhi, shida ni kumtangaza! Tunafanyaje?
He was overwhelmed to become president. Has he ever been even a class monitor?Leo mwanachato watuambie je Chato international airport imewanufaisha vipi?
Je tangu 2017 mwanachato gani ameutumia huo uwanja?@barafu alipiga kelele sana kuhusu huu uwanja tangu 2016.
Usije baadae ukageuka ni malisho ya mifugo.
Watumbie je taa za barabarani zimewaletea vip maendeleo au zimekuwa kama sehemu ya kuongozea maguta ya punda?
Anakusanya nondo na mawe.Pale uwanja wa ndege Chato anafuata umbea siyo?
Wanazidi kuharibu.Kamanda Husna usiku wa kuamkia leo wamemvamia nyumbani kwake na kuchoma moto nyumba na mali zake mbalimbalk. MUNGU AMTIE NGUVU.
Hahahaaaa umeona ee,nimeshangaa sana yaani mtu anaandika uongo kwa Lengo la kujifariji halafu eti anapachika neno 'ukweli' tena mara mbili kwenye uongo wake.Hahaha wanajipa moyo
Akapanda na mabasi ya mwendo kasi, akapita ubungo interchange, tazara flyover, kigamboni, huko kote alikuwa akisonononeka kwa alivyokuwa akimtukana na kumkashifu huku akitoa machozi ya furahaa na kusema moyoni dah ama kweli huyu JPM ni jiwe lilokataliwa na waashi, lakini ndiyo limekuwa jiwe kuu la msingi wa TanzaniaUnatembeleaje uwanja unaouponda kila siku? Aende akatembelee na traffic lights.
Hiyo 200,ni 200 milioni au hii coin ya kununulia 'vibama'?Akipata watu zaidi ya 200 kuanzia leo nitamuita SIMBA WA YUDA,
Hata Mimi nimeshangaa Kuna sehemu hajawahi fika kabisa why asiende huko jamani.Hii hesabu feki. Tanzania ni kubwa sana, hakukuwa na sababu ya Lissu kurudi kanda ya ziwa mara ya tatu. Anapoteza muda wake na resources, wasukuma hawezi kuacha kumpa kura mtu wao.
Hata kuku ni ndegeNa akishamaliza tutajua kaona ndege gani: kunguru, bundi, ama nini?
Anzeni kutafuta majibu ya maswali aliyiukiza akiwa Singida. Alisema anawatumia maswali mapema muanze kuulizana hapo Chato msijekusema amewashitukiza! Swali kubwa ni huo uwanja unawasaidiaje nyie watu wa Chato? Swali la pili ni Mwanachato yupi ameshautumia huo uwanja kupanda ndege?
Ungenipuuza usingenijibu ona sasa ulivyo mjinga kama mimiMjinga akijielezea upumbavu wake ngoja tukupuuze maana hizi ni siku za hatari kwako
Hamna lolote nyie mliokosa seraTuliaia dadaa naona unawashwa washwa ngoja mwamba afike kuangalia iyo 49B zimetumikaje.
Kujenga chato n ubinafsi tu wa Meko so tumeshamsema kwa ubinafsi wake.
Ngoja Sasa tukaangalie ufisadi wa 49B tumseme kwa Hilo maana nasikia huko mwananchi wa kawaida hafiki ngoja rais aende.
Hivi Hawa watu wanaosombwa hua wanafungwa kitambaa machoni,miguuni na mikononi kwamba lazima waende? Mi nafikiri Ni kwa mapenzi yao ndo maana wanavalia jezi ya chama na kusubiri usafiri mahali walipokubalina kukutana.Bora yeye kuliko kusomba watu wa kila kona ya Dar na leo tena kuwapeleka Tanganyika perkazi