Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kutembelea uwanja wa ndege Chato ni kichekesho. CHADEMA bana, hata hawajielewi.
Watanzania wote wana haki ya kutembelea rasilimali na vitegauchumi vya nchi bila kujali itikadi zao za kisiasa, huo uwanja ni matokeo ya kodi za wananchi akiwemo Lissu
 
Machadema yanatembelea nyota za wajinga wachache wasiojitambua, mwisho tr 28 tu huu ujinga huu, uwanja si ndio unaowatukania watu wa chato kila siku!
Ukishakuwa mpinzani siku zote INA maana umejitambua hutaki tena kupelekwa.hebu Nipe mfano mmoja Wa maana ccm mwenye akili hata mmoja.kuanzia mwenyekiti mpaka mwanachama wa mwisho kama ukinitajia mmoja mi nahama.
 
Hata Mimi nimeshangaa Kuna sehemu hajawahi fika kabisa why asiende huko jamani.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Lissu hajaenda mikoa mitano bara na Pemba pekee
Lindi
Ruvuma
Manyara
Tanga
Simiyu

Kati ya hiyo haina pressure kama mingine mfano tanga na simiyu Ni Ccm hawasikiagi kabisa
Manyara ni ngome ya CDM hivyo hana was I was I
Lindi na Ruvuma ni ngome ya ACT ambapo Ado shaibu na Salum mwalimu walishapaweka sawa
Ukumbuke ratiba ilivurugwa kwa siku saba.
 
Ukishakuwa mpinzani siku zote INA maana umejitambua hutaki tena kupelekwa.hebu Nipe mfano mmoja Wa maana ccm mwenye akili hata mmoja.kuanzia mwenyekiti mpaka mwanachama wa mwisho kama ukinitajia mmoja mi nahama.
Akijibu ni tag
 
Mgombea wa Urais anayetarajiwa kupata ushindi mkubwa Tundu Lissu leo ataitetemesha Chato na viunga vyake katika kampeni zake zilizoivuta Dunia.

Taarifa kutoka ndani ya Team yake ya Kampeni kabla ya kuhutubia mkutano wa Hadhara atautembelea Uwanja wa ndege wa Chato uliozua gumzo nchini kote kutokana na Ujenzi wake.

Tundu Lissu amepata uungwaji mkono mkubwa kutoka Makundi yote ya Jamii hususan Wafanyakazi ambao wanalaani kupitishwa kwa sheria Haramu ya kupora Mafao yao. CCM na serikali yake walipitisha sheria ya kuzuia Mafao ya Wafanyakazi hata Kama ameacha kazi akiwa na miaka 30 haruhusiwi kupewa haki yake ya mafao mpaka afikishe miaka 60.Sheria hii Haramu imelaaniwa na kila mfanyakazi na Tundu Lissu ameapa kuifutilia mbali Mara tu baada ya kuapishwa.

Ingawa Chato ni nyumbani kwa mgombea Urais wa CCM Lakini kwa muda mrefu CHADEMA imekuwa na uungwaji mkono mkubwa na inao wafuasi wa kutosha.Mmoja wa makamanda mashuhuri wanaotokea Chato ni mwanamama Husna Amri ambaye anajulikana nchi nzima kwa ujasiri wake.

Tunatarajia kuwaletea kila kitakachojiri katika mapokezi na Mkutano wa Kampeni hapa Chato.
Mwenyezi Mungu ambariki sana Mheshimiwa Lissu
 
Nahisi watamzuia kutembelea huo uwanja.Na kwakuwa huko ni nyumbani kwa mgombea yule,nina wasiwasi pia anaweza fanyiwa hujuma katika kampeni zake huko lengo kuhakikisha hapati watu au ashindwe kuhutubia.

Ni imani yangu Lissu haendi kufurahia uwanja,bali anaenda kufanya tathimini physically ya huo uwanja kwa kuingilia kilichojengwa (kupata picha ya kilichojengwa) na ulazima wake pamoja na umuhimu wa kujenga uwanja katika eneo hilo.

Ushauri:Tundu Lissu vaa helmet muda wote ukiwa huko Chato na kuwaambia wananchi kila mtu awe mlinzi kwa kumtupia macho alie jirani yake katika mikutano na misafari atayofanya huko Chato.

Lolote linaweza kutokea leo hii, hivyo ni bora kuchukua tahadhari zote zinazowezekana kuchukuliwa.
Aukague na uwanja aone kama unaendana na gharama za ujenzi
 
Mgombea wa Urais anayetarajiwa kupata ushindi mkubwa Tundu Lissu leo ataitetemesha Chato na viunga vyake katika kampeni zake zilizoivuta Dunia.

Taarifa kutoka ndani ya Team yake ya Kampeni kabla ya kuhutubia mkutano wa Hadhara atautembelea Uwanja wa ndege wa Chato uliozua gumzo nchini kote kutokana na Ujenzi wake.

Tundu Lissu amepata uungwaji mkono mkubwa kutoka Makundi yote ya Jamii hususan Wafanyakazi ambao wanalaani kupitishwa kwa sheria Haramu ya kupora Mafao yao. CCM na serikali yake walipitisha sheria ya kuzuia Mafao ya Wafanyakazi hata Kama ameacha kazi akiwa na miaka 30 haruhusiwi kupewa haki yake ya mafao mpaka afikishe miaka 60.Sheria hii Haramu imelaaniwa na kila mfanyakazi na Tundu Lissu ameapa kuifutilia mbali Mara tu baada ya kuapishwa.

Ingawa Chato ni nyumbani kwa mgombea Urais wa CCM Lakini kwa muda mrefu CHADEMA imekuwa na uungwaji mkono mkubwa na inao wafuasi wa kutosha.Mmoja wa makamanda mashuhuri wanaotokea Chato ni mwanamama Husna Amri ambaye anajulikana nchi nzima kwa ujasiri wake.

Tunatarajia kuwaletea kila kitakachojiri katika mapokezi na Mkutano wa Kampeni hapa Chato.
Chadema acheni porojo,njooni na sera zenu,mambo ya kusema wengine sio tija,nyie tuelezeni mtatufanyia nini watanzania?maana leo anaenda kutembelea kiwanja you are wasting your time ya kampeni,juzi ulikuwa kifungoni why wasting time??????
 
Lissu ametumwa na mabeberu kuukagua uwanja wa Chato
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png


Sent using Jamii Forums mobile app
Unamfananishaje Mh.Lissu na kutumwa?Nani mwenye uwezo huo hapa duniani?Yaani umtume Mwalimu wa Sheria eti kwa kivuli cha ubeberu!

CCM mnamfahamu Mh.Lissu na Utetezi dhidi ya wanao/walioonewa na kunyanyaswa kwa maisha yake yote,siyo kama hawa wasanii.
 
Machadema yanatembelea nyota za wajinga wachache wasiojitambua, mwisho tr 28 tu huu ujinga huu, uwanja si ndio unaowatukania watu wa chato kila siku!
Kuwa mwanachadema lazima kuna nati moja kichwani iwe haipo
 
Inategemea unadefine vipi Ukaguzi.

Kuponda kitu siyo lazima ukione. Unaweza kumponda hata concept ya mtu .... Idea ya kujenga uwanja pale Chato ndiyo inayopondwa kabla ya ujenzi na baada ya ujenzi!! Utaelewa siku wana Chato watakapoaanza kuanika mpunga wao hapo.
Haya poleni, ndo umeshajengwa na hamna lolote mnaweza fanya.
 
Back
Top Bottom