Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakufuru tu hao.Kwani yeye Yesu Hadi awe mpango na utukufu wa Mungu?
Fujo dhidi ya Lissu na msafara wake huko Chato tazama video hii:
Hahahhaha!!!Kuhusu kingereza subiri tumalizane kwanza na Ras Simba aliyekula ada yetu halafu mhitimu ametoka na zeroooooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamaliza mkutano mda wanaondoka ndipo fujo imeanza wanarusha mawe hukoooHakina fujo zozote bali nilichiona ni watu wa huko hawatak kumsikiliza lissu
Kwanini wee bibiUnatembeleaje uwanja unaouponda kila siku? Aende akatembelee na traffic lights.
Wee bibi kaa kwa kutulia mamaUnatembeleaje uwanja unaouponda kila siku? Aende akatembelee na traffic lights.
Maana yako ni Nini kwa matusi haya...what are you smoking...Huwa kila siku nasema jamaa kama wewe nina asilimia 100, mimba ilitungwa Buguruni au Manzese uwanja wa fisi
Lisu anaenda chato kufanya nini wakati kila siku anawatukana?Hapa Magufuli kajidhalilisha
Endelea kuishi mpaka uwe kizee kama kuna siku utaona maisha ni rahisi,tembea nchi yoyote duniani uwezavyo kama utakuta kuna nchi watu wanaishi kirahisiDanganya wapumbavu. Tanzania ya Leo siyo ya Jana. Mwanangu ni mfanyakazi hajaongezewa mshahara miaka 5 na pia mmeamua kuiba Mafao yake unataka tusitafute mtu atakayerudisha heshima ya mfanyakazi?
Usimfokee hivyo mwenzio!Wewe ndiye hopeless...
Hakuna mtu asemaye wana Chato hawana haki ya uwanja wa ndege...
Tunasema hivi, uwanja wa ndege haujajengwa Chato kwa sababu wana Chato walikuwa wanahitaji uwanja wa ndege...
Uwanja huo wa ndege umejengwa huko kwa sababu ya familia ya Rais na yeye baasi!!
Kama kwa ujinga wako tu na mahaba yako tu yasiyo na kichwa wala miguu, huelielewi hili basi subiri Mzee wako huyu atakapokuwa raia wa kawaida uone uwanja huo utakavyogeuka kuwa malisho ya mbuzi na ng'ombe...
Hayo mabilioni aliyotumia kujenga uwanja kwa ajili yake na familia yake, laiti angewauliza wana Chato wayafanyie nini,
Ni wazi, wangemwambia yatumike kuanzisha mradi mkubwa wa kilimo cha umwagiliaji (Agricultural Irrigation Scheme)..
Hebu jaribu kufikiri, kama ungetumika kwa ajili hii ungewanufaisha watu maelfu mangapi? Hebu linganisha na ujenzi wa uwanja huo, wangapi wananufaika?
Please acheni kunyanyasa masikini kwa sababu ya ego na pride zenu za kijinga...
Mkubali ama mkatae, haya ni moja ya maamuzi ya ovyo na mabaya kabisa ya matumizi ya fedha za umma kutoka kwa kiongozi wa ajabu aiitwaye Rais Magufuli...
Na hii ndiyo inayomtesa Magufuli. Ndiyo inayoitesa CCM. Nanyi ndiyo maana mnateseka kwa sbb hamna utetezi wowote makini wa maamuzi haya ya hovyo kabisa kuwahi kufanywa na mnadhani nguvu zitawasaidia kugeuza UONGO na UJINGA wenu huu uwe UKWELI na WEREVU respectively...!!
Dah ...inatishaFujo dhidi ya Lissu na msafara wake huko Chato tazama video hii:
Chato ni strong hold ya chadema walikuwa na wenyeviti wa serikali za mitaa zaidi ya ccm kwa taarifa yakoWapi nimeandika asiende Chato?
Nilichoandika ni busara ya kuamua kwenda kwenye strong hold za mshindani wako.
Unapofanya campaign ili kutumia resources zako vizuri ni muhimu pia kuelekeza nguvu katika maeneo utakayopata support.
Lissu awezi pata kura za kutosha Chato wala mgombea ubunge wa CDM awezi shinda Chato. Sasa kwanini uende sehemu kama hiyo kitu ambacho utavuna sanasana ni ku provoke wapiga kura na kuwawekea risk local CDM cadres kwa siasa zetu za kiafrica.
Tatizo lenu mnashabikia kila upuuzi wa huyu mtu, mbona awawekezi resources kwenye siasa Zanzibar umejiuliza kwanini?
Tanzania ni kama Marekani tu hata Trump wazazi wake sio wazawa wa MarekaniMtukufu magufuli ni raia toka Burundi na katibu mkuu Bashiru ni raia toka Rwanda na mzee Mangula Asili yake ni Malawi kwa kifupi CCM inaongozwa na wageni wenye Asili za nchi jirani
Mikutano ya Lissu inajaa watu wasiopiga kura