Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Lissu kichwani hazimo huo uwanja umejengwa kwa ajili ya mbuga kubwa tatu zilizoanzishwa eneo hilo ili watalii watue hapo na kwenda mbugani kutalii aambiwe mbuga ipo kubwa sana tu hapo Chato ni serengeti ya kanda ya ziwa atembelee hii hapa mbuga ya Chato kama alikuwa haijui

Watalii badala ya kutua Mwanza watatua hapo na kuelekea mbugani

Lissu anapiga vita sana maendeleo ya usukumani


Beyond Polics ,huyo Tundu ana chuki,na hata kama akishinda ndio mtamjua.Japo aliwahi kusema hatalipiza kisasi lakini kila siku iendayo kwa Mungu anaonyesha njia bila kumungunya maneno.Bahati mbaya anaongeza mafuta.
 
Kama Mkuu anatokea Eneo hatari Hivi
Lissu ulifikiri CHATO ni pa kispotispot ??Nilikuonya tangu asubuhi kuwa makini unavyoingiw CHATO Umeona sasa yaliyokukuta ???

Yaani umepopolewa na mawe ya kutosha shenzitype yaani ulikuwa unatafuta kick CHATO.
Hili tukio limemuongezea kura Lissu.
Mwenyewe nimewadharau sana.

Haijawahi kutokea
Msoga
Butiama
Lupaso
Kisarawe
Kote wapinzani walienda Leo hofu gani mpopoe mawe badala ya hoja.

Nimethibitisha CCM ni dude Kubwa lkn dhaifu mno
 
Hakina fujo zozote bali nilichiona ni watu wa huko hawatak kumsikiliza lissu

Mkutano Kafanya na kapata watu wengi tu chato ila Sasa alipotaka kusogea kwenye kijiji cha Magufuli ndio hao “interehamwe” wakaanza kurusha mawe
Kimsingi hii aibu ndio goli Lisu alikua analitafuta ... Magufuli na mdogo wake Kalemani wamefanya mambo ya kitoto kabisa
Lisu anaondoka hapo na ajenda ya kuongea wiki moja mbele
Kama kina Kalemani walikua na nguvu na wanampendwa wangekua na uwezo wa kumzuia toka kahama ; na Geita Lakini hilo limeonyesha udhaifu kuwa hata kwenye mkoa wa Geita wanakubalika Ndani ya kijiji chake tu na wala sio Wilaya nzima ya chato na hilo ni tatizo la kupenda kupita bila kupingwa Kwa Hila
 
Magufuli awezi rudi kufanya campaign Chato ata Lissu akisema amalizie muda uliobaki wote Chato, sanasana atapishana na Kalemani tu.

Hivi mnadhani Magufuli speed ya campaign imepungua kwa sababu ya uchovu tu. Ameshanusa ushindi tayari sasa anachofanya ni heshima tu ya kuomba kura. Wish hawa jamaa wangekuwa wana record mamillioni ya watu wanaojitokeza njiani maeneo ambayo Magu akupanga asimame ni wengi wengi mnooo.

Tatizo lenu mnasoma zaidi hizi ‘sensationalised headlines za JF’ that is contrary to the fact, Magu keshaona huko njiani watanzania bado wanamuhutaji.
Magufuli mwaka atakufa kabisa kwa kihoro hamna namna kura ataiba au majumuisho ya kama kile kibabu na makamba wasahau tu
 
Lissu ulifikiri CHATO ni pa kispotispot ??Nilikuonya tangu asubuhi kuwa makini unavyoingiw CHATO Umeona sasa yaliyokukuta ???

Yaani umepopolewa na mawe ya kutosha shenzitype yaani ulikuwa unatafuta kick CHATO.
Kwahiyo unaona ni sifa msafara wa mgombea kupopolewa mawe? Je, na wao wangejibu mashambulizi kitu gani kingetokea? Akili za namna hii ni majanga kwa taifa.
 
Ndio maana yalipewa jina mafao ya uzeeni. Ukiwa kijana unaweza jituma vyovyote vile ukaishi. Ukifika fainali uzeeni unapewa chako kinakufaa.
Kwenye mafao hakuna neno ya uzeeni acha udanganyifu
 
Kama Mkuu anatokea Eneo hatari Hivi

Hili tukio limemuongezea kura Lissu.
Mwenyewe nimewadharau sana.

Haijawahi kutokea
Msoga
Butiama
Lupaso
Kisarawe
Kote wapinzani walienda Leo hofu gani mpopoe mawe badala ya hoja.

Nimethibitisha CCM ni dude Kubwa lkn dhaifu mno
Yeye si alisema anaenda kumdharirisha Magufuli Nyumbani kwake na mimi nikasema akifanya hivyo CHATO hatatoka salama na imekuwa hivyo.
 
Kama Mkuu anatokea Eneo hatari Hivi

Hili tukio limemuongezea kura Lissu.
Mwenyewe nimewadharau sana.

Haijawahi kutokea
Msoga
Butiama
Lupaso
Kisarawe
Kote wapinzani walienda Leo hofu gani mpopoe mawe badala ya hoja.

Nimethibitisha CCM ni dude Kubwa lkn dhaifu mno
Nimethibitisha CCM ni dude Kubwa lkn dhaifu mno[emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji818][emoji818][emoji617][emoji617][emoji777][emoji777][emoji777]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lissu ulifikiri CHATO ni pa kispotispot ??Nilikuonya tangu asubuhi kuwa makini unavyoingiw CHATO Umeona sasa yaliyokukuta ???

Yaani umepopolewa na mawe ya kutosha shenzitype yaani ulikuwa unatafuta kick CHATO.

Hadi uchaguzi wa serikali za mitaaa
Mwaka jana Mwenyekiti wa kijiiji chato na asilimia kubwa ya wenyeviti chato walikua Chadema na mara zote Mbunge amekua anapita kwa hila kama kuteka ; kupora fomu na kuziba barabara ili kumzuia kurudisha fomu ; hajawahi kupigiwa kura
Kimsingi mbinu alizokiwa anatumia chatto ndio Kaleta nchi nzima kama Rais na kuimaliza ccm kwenye mioyo ya watu
 
Kama ni nyomi hakuna eneo ambalo Lissu na Magu wamesimama halafu Lissu akakusanya watu kushinda Magufuli.

Nyongeza ya hapo Magufuli anapita mamillioni ya wapiga kura njiani waliojipanga kwa sababu hana ratiba ya kusimama maeneo hayo (Mkuu party affiliation aside ngoja nikutafutie video uone Magufuli anapita watu wengi njiani kutokana na tight schedule yake).

Ni hivi ushindi wa Lissu upo JF tu yaani kuna baadhi ya viongozi wa CDM wanamwita Lissu raisi huko Twitter na tunajua mwenye mamlaka ya kumtangaza raisi wa nchi hii ni tume ya uchaguzi na uchaguzi wenyewe bado sasa watu kama hao wakipelekwa Lupango utasikia wanadai wanaonewa.
Maskini magufuli kakataliwa flat tena anadharauriwa na wananchi wanathamini viuono vya wasanii kuliko maneno ya magufuli kashushwa hadhi hadi anapiga magoti huku akikenuwa
 
Mkutano Kafanya na kapata watu wengi tu chato ila Sasa alipotaka kusogea kwenye kijiji cha Magufuli ndio hao “interehamwe” wakaanza kurusha mawe
Kimsingi hii aibu ndio goli Lisu alikua analitafuta ... Magufuli na mdogo wake Kalemani wamefanya mambo ya kitoto kabisa
Lisu anaondoka hapo na ajenda ya kuongea wiki moja mbele
Kama kina Kalemani walikua na nguvu na wanampendwa wangekua na uwezo wa kumzuia toka kahama ; na Geita Lakini hilo limeonyesha udhaifu kuwa hata kwenye mkoa wa Geita wanakubalika Ndani ya kijiji chake tu na wala sio Wilaya nzima ya chato na hilo ni tatizo la kupenda kupita bila kupingwa Kwa Hila
Wangejaribu wakaona jombaa watu walikuwa wamejipanga.
 
Nafikri Lissu imepata jibu chato siyo Singida.
Nikweli amepata jibu
je hizi ndio siasa tunazozitaka kiongozi?
Kuna maisha zaidi ya hizi siasa
JE na chadema nao waamue sasa kwenye zile stronghold zao, kama Arusha, Dar, Mbeya, Iringa, nao waruhusu watu wao kushambulia mikutano ya CCM tutafika??
Kwani ni lazima watu waende kwenye mikutano, humpendi mgombea usiende kwenye mikutano
Hii ni dalili ya CCM, kutokuwa na busara kabisa, Magufuli na ccm yake wamekwenda, Mbeya, ARusha, Bukoba hadi kigoma kwenye ngome za upinzania lakini hawakufanyiwa fujo, JE NAO WAAMRISHE KUANZIA SASA VIJANA WAO WASHAMBULIE MIKUTANO YA CCM??
 
Lissu ulifikiri CHATO ni pa kispotispot ??Nilikuonya tangu asubuhi kuwa makini unavyoingiw CHATO Umeona sasa yaliyokukuta ???

Yaani umepopolewa na mawe ya kutosha shenzitype yaani ulikuwa unatafuta kick CHATO.
Kumbe kunawavuta bangi humu
 
Hadi uchaguzi wa serikali za mitaaa
Mwaka jana Mwenyekiti wa kijiiji chato na asilimia kubwa ya wenyeviti chato walikua Chadema na mara zote Mbunge amekua anapita kwa hila kama kuteka ; kupora fomu na kuziba barabara ili kumzuia kurudisha fomu ; hajawahi kupigiwa kura
Kimsingi mbinu alizokiwa anatumia chatto ndio Kaleta nchi nzima kama Rais na kuimaliza ccm kwenye mioyo ya watu
Toa maujinga yako leo aibu yenu mngekuwa na watu hayo yangewapata CHATO hawatakagi ujinga.
 
Wewe utakuwa wale ambao maslahi yenu yameguswa, lakini wengi wanakubali maisha bado magumu kama ilivyokuwa miaka yote kabla yake. Walau sasa hivi kuna haki wana dar es salaam walikuwa wananyanyasika mtu anakupora haki yako mchana unapakukimbilia, watendaji wajeuri etc sasa hivi raia regardless ya nafasi yake anaanza heshimiwa.

Isitoshe mazingira ya miundombinu ipo sasa kuchochea uchumi, cost of living ameishusha kiasi ukitoa sukari inflation ya chakula is slow na rent za nyumba ni stable for almost five years.

Ni hivi mnajufurahisha Magufuli Dar hana mpinzani.
Magufuli ni sawa na shetani maslahi ya nchi anakula yeye wapwa zake shemeji zake na mabazazi wengine
 
Yeye si alisema anaenda kumdharirisha Magufuli Nyumbani kwake na mimi nikasema akifanya hivyo CHATO hatatoka salama na imekuwa hivyo.
Mnalipwa ujira duni sana kwa kazi ya kibwege sana , Elfu 50 itakusaidia nini hadi utumike kurusha mawe ?
 
Back
Top Bottom