Bwana wee naenda ukasalimie huko Umasaini upajue vyema.Sina tabia za kimasai kabisa. Yani mimi ni mchaga hata tukikutana leo utajua tu ni mchaga mpaka nikuambie kuwa sio.
Biologically ndio nakubali mimi ni mmasai. Lakini socially huwezi kusema mimi ni mmasai. Nafit zaidi kwenye uchagga.
Nimejaribu ku-google nchi nyingine. Kila nchi niliyoona taarifa zake wameweka takwimu za dini za raia wao mfano nchi ya Chad iko hivi:Hii hoja ishindwe 100%
| Religion (2015)[2] |
|
|---|
Nitaenda asee nika claim pia urithi wangu wa ng'ombe. Ila sasa ndio hivyo mnataka kutuhamisha Ngorongoro tutaenda wapi?Bwana wee naenda ukasalimie huko Umasaini upajue vyema.
Kuna umuhimu asee.
Kwenye makabila pia nako kuna tatizo la ukabila.Dini sio muhimu kwenye sensa maana kila mwaka unaweza kuwa na dini mpya ukitaka so ni suala la kibinafsi zaidi tofauti na taarifa zingine za kudumu.
Lakini cha muhimu zaidi ni kulinda umoja na mshikamano maana mataifa mengi amani imevunjika kisa dini.
Taarifa za makabila ni muhimu kwa ajili ya kudumisha utamaduni wetu na kukuza tafiti za historia za makabila yetu ili kuzidi kujua huko tulipotoka.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Acheni ubaili taasisi yenu itenge fungu ili mjihesabu mjijue mpo wangapi. Itawasaidia kujiendeleza Kama taasis. USIJIBANZE KWA SERIKALI IKUFANYIE KAZI MAANA SERIKARI HAIONI MASIRAI YAKE.Naunga mkono hoja. Suala hili serikali isiendeshwe kwa mihemko ya baadhi ya watu badala yake ijikite kwenye kuona tija za takwimu kwenye maamuzi na mipango ya mambo mbalimbali. Nasisitiza kipengele cha dini ni muhimu sana kiwepo kwenye sensa. Kiujumla sensa ni gharama sana, sasa serikali ichukue kila aina ya data hata kama zitakuja kutumiaka miaka ijayo. Hakuna mtu atakuja kunyang'anywa dini yake eti kisa serikali imexhukua takwimu. Hatuweza kufanya mambo ya kubahatisha na mabunio ya kitakwimu wakati tunafursa ya kupata yakwimu halisi.
Huko ni kwenu hamuamishwi.Nitaenda asee nika claim pia urithi wangu wa ng'ombe. Ila sasa ndio hivyo mnataka kutuhamisha Ngorongoro tutaenda wapi?
Kabila linabeba historia ya mtu maana kabila unapata kwa baba na kurithi vizazi kwa vizazi milele. Kwa maendeleo ya sayansi na teknolojia yanayokuja tunahitaji data za makabila ili mbeleni tuzidi kujua chimbuko la jamii zetu na uhusiano wa kihistoria/kibaologia na jamii zingine.Kwenye makabila pia nako kuna tatizo la ukabila.
Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika
Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason
Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo
Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa
Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi
Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?
Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam
Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ
So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,
Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote
Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele
Serikali hana dini, ila watu wake wanadini na serikali ipo kwa ajili ya kuwahudumia watu hao. Na ndio maana mtumishi wa serikali akifa itashughulikia maziko yake kwa mujibu wa imani yake. Au hata wewe ukikutwa leo mfano umekufa na ukasachiwa mfukoni ukakutwa na kitamburisho unaitwa John Richard (Mkristo) utazikwa kwa imani hiyo. Huoni kuwa serikali inauhitaji wa kufahamu dini yako? Ukizungumzia mipango ya maendeleo aidha kijamii, uchumi, nk huwezi kuepuka matumizi na uhitaji wa takwimu sahihi. Utachekesha
Kipengele cha dini hakitatuletea tija yoyote ila kitaleta vurugu tu hapa nchini. Maswala ya dini yanatakiwa kufanyika huko huko kwenye familia. Serikali haina dini- ila wananchi wana dini zao. Serikali inatakiwa kuhakikisha maendeleo ya kila mwananchi yanapatikana kwa kupanga mikakati mizuri- kujenga mashule, zahanati, kuboresha huduma za maji,kuboresha barabara, kupiga vita mila potufu, kuhakikisha kila mtoto anakwenda shule, kutunga sheria nzuri, kuhakisha uhuru na usalama wa raia mahali popote. Je Ukijua Tanzania kuna waumini wa dhehebu fulani ni asilimia 51% - je hii itakusaidiaje kuleta maendeleo kama si utengano tu. Itakuwa sisi tupo wengi tunatakiwa tupewe nafasi zaidi katika kila kitu.Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika
Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason
Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo
Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa
Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi
Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?
Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam
Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ
So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,
Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote
Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele
Kuweka sababu haina maana kuwa zitakuwa na mantiki. Hujawahi kuona mwanafunzi kajaza karatasi ya majibu na bado kapata 0.Nimeorodhesha sababu kadhaa hapo sijui umesoma au umekimbilia tu kujibu
Bora dini iulizwe kuliko kabila la mtu maana wazilankende hawakawiiRais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika
Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason
Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo
Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa
Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi
Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?
Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam
Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ
So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,
Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote
Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele
Point yangu kwenye makabila kuna tatizo la ukabila hilo unalizungumziaje?Kabila linabeba historia ya mtu maana kabila unapata kwa baba na kurithi vizazi kwa vizazi milele. Kwa maendeleo ya sayansi na teknolojia yanayokuja tunahitaji data za makabila ili mbeleni tuzidi kujua chimbuko la jamii zetu na uhusiano wa kihistoria/kibaologia na jamii zingine.
Japo hata Tanzania kwa haraka haraka unaweza kujua dini gani wapo wengi hata kwenye internet unaweza pata hizo data bila hata kuweka kwenye sensa.
Just hesabu nyumba za ibada kila kata uone misikiti, makanisa, hekalu au nyumba za mizimu zipo ngapi utapata majibu ni dini gani wapo wengi
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Si mbaya kujulikana uwepo wao na idadi yao.kuna watu hawaamini katika izo dini ulizozitaja usikariri
Nimekupata. Ukabila Tanzania ni ngumu sana kuutekeleza kwa vile makabila ni mengi sana. Udini ni rahisi kuleta madhara kwa vile una makundi makuu mawili yaani ukristo na uislamu. Ni rahisi mkristo mchaga kuwa na ukaribu na mkristo msukuma kuliko mkristo mchaga kuwa na ukaribu na mwislamu mchaga. Dini hizi zinapingana na kubaguana kwenye mafundisho yake lakini tamaduni za makabila hazipingani wala kubaguana.Point yangu kwenye makabila kuna tatizo la ukabila hilo unalizungumziaje?