Chonde chonde Rais Samia, Kipengele cha Dini kwenye sensa ni muhimu sana kwa sababu hii

Chonde chonde Rais Samia, Kipengele cha Dini kwenye sensa ni muhimu sana kwa sababu hii

Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika

Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason

Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo

Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa

Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi

Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?

Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam

Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ


So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,

Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote

Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele
Kila utafiti huwa na malengo yake. Hayo uliyoyaainisha yanatakiwa kuwa katika National Surveys siyo census ambayo ni total head count. Dhumuni kuu la Sensa yeyote ni kwa ajili ya kupata takwimu kwa ajili ya Mipango ya Maendeleo ya sehemu husika.

Maswali yanayoulizwa ni kwa ajili ya kupata data ili serikali iweze kupanga mipango ya maendeleo. Mfano umri, serikali inataka kujua Watoto ni wangapi, ili iandae Chanjo; nguvu kazi ni wangapi, ili Ijidhatiti na Ajira; wanaopaswa kuwa shule ni wangapi ili iandae madarasa; wazee ni wangapi etc.

Maswali haya ni yale ambayo kwa utashi wako huwezi kuyabadili. Mfano mwanamke hawezi kujibadili kuwa Mwanaume au ukiwa na miaka 10 huwezi Kurudisha nyuma umri wako.

Dini ni kitu kinachobadilika Leo mimi ni muislam, kesho naweza kwenda kwa Zumaridi nikawa mlokole wa kizumaridi. Je, huoni hii kitu hakina tija? Leo utasema kuna waislamu 100 kesho wote wamekuwa wahindu! Uliza wakatoliki waumini wanavyoondoka kuwa walokole wakupe experience. Hivyo swali la dini katika Sensa halina maana ila katika tafiti ambazo zinatanywa ili kupata majibu ya matokeo fulani. Mfano kwanini sehemu hii watoto wengi wanakufa, hapo swali la dini ni muhimu
 
Kila utafiti huwa na malengo yake. Hayo uliyoyaainisha yanatakiwa kuwa katika National Surveys siyo census ambayo ni total head count. Dhumuni kuu la Sensa yeyote ni kwa ajili ya kupata takwimu kwa ajili ya Mipango ya Maendeleo ya sehemu husika.

Maswali yanayoulizwa ni kwa ajili ya kupata data ili serikali iweze kupanga mipango ya maendeleo. Mfano umri, serikali inataka kujua Watoto ni wangapi, ili iandae Chanjo; nguvu kazi ni wangapi, ili Ijidhatiti na Ajira; wanaopaswa kuwa shule ni wangapi ili iandae madarasa; wazee ni wangapi etc.

Maswali haya ni yale ambayo kwa utashi wako huwezi kuyabadili. Mfano mwanamke hawezi kujibadili kuwa Mwanaume au ukiwa na miaka 10 huwezi Kurudisha nyuma umri wako.

Dini ni kitu kinachobadilika Leo mimi ni muislam, kesho naweza kwenda kwa Zumaridi nikawa mlokole wa kizumaridi. Je, huoni hii kitu hakina tija? Leo utasema kuna waislamu 100 kesho wote wamekuwa wahindu! Uliza wakatoliki waumini wanavyoondoka kuwa walokole wakupe experience. Hivyo swali la dini katika Sensa halina maana ila katika tafiti ambazo zinatanywa ili kupata majibu ya matokeo fulani. Mfano kwanini sehemu hii watoto wengi wanakufa, hapo swali la dini ni muhimu
Hahaha Eti mlokole wa kizumaridi

Unajua mwanzoni nilikuwa naona Zumaridi anaonewa, kuwa aachwe afanye huduma yake, ila sasa namtazama tofauti baada ya kupitia video zake nyingi

Ni kweli ana uhuru wa kufanya anachofanya na aachiwe tu kama hana hatia ila anachohubiri kina uelekeo wa kufuru hakina utakatifu wowote
 
Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya , Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?

Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam

Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ


So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,

Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote

Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele
Huna hoja hata ya maana

Serikali haihudumii watu kwa msingi ya kidini au kikabila sababu Haina dini

Yenyewe huhudumia sababu ya kuweko mahitaji eneo husika.Na kujua kuna hitaji nini Serikali wala Haina haja ya kufanya utafiti wa kina sababu mbunge wa eneo ambaye ni mwakilishi wa eneo husika yupo.

Serikali Haina dini hivyo haihudumii dini
Unasema mtumushi akifa eti huzikwa na Serikali kwa mujibu wa imani yake? Mnadanganya huko mnakokutana.Toka lini Serikali ikazika mtu kidini? Mtumishi Akifa ndugu wa marehemu ndio huamua azikwaje sio Serikali. Na ndugu ndio hutafuta shehe au padri wa kufanya shughuli hiyo ya mazishi sio Serikali
 
Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika

Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason

Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo

Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa

Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi

Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?

Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam

Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ


So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,

Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote

Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele
Nonsense
 
Kipengele cha dini hakina tija yoyote. Kuna wengine hatuna dini ne itakuwaje?

Pia kipengele cha kabila nacho hakina tija. Mimi baba yangu ni Mmasai na mama ni Mchaga ila nimezaliwa na kukulia uchagani mpaka nimekuwa mtu mzima na hata kwa baba yangu huko Nainokanoka sijawahi kufika.

Najua mila na tamaduni za kichaga na lugha ya kichaga naijua pia ila kimasai sikijui.

Je mimi ni Mmasai au ni Machagga?
Wewe ni Mmasai, kabila ya Baba.
Kuzaliwa na Mama Mchagga, kulelewa Uchagani, kukulia Uchagani na kuzungumza lugha ya Kichagga, hakukufanyi upoteze asili yako halisi ya Umasai. Naomba kukuuliza swali dogo, jichunguze ukikasirika kama unakasirika Kichagga au Kimorani wa Kimasai?.
P
 
Mkahesabiane huko huko misikitini na makanisani kama mnataka kujua mko wangapi

Mfano katoliki wanajuana idadi yao dunia nzima
Ila wao huhesabiana kwa lengo kuu moja kujua waweke huduma za kijamii mfano wajenge shule kiasi gani za ukubwa gani kwa ajili ya waumini wao.Kama zilizopo chache waongeze zingine au kuzipanua nk Sababu waumini wao huamini katika ubora wa shule za katoliki

Pili huhesabiana ili kujua majengo ya ibada yajengwe ya ukubwa kiasi gani kulingana na wingi wa watu

Hizo takwimu zinawasaidia huko kwao sio kazi ya Serikali kuwatafutia hizo
 
Wewe ni Mmasai, kabila ya Baba.
Kuzaliwa na Mama Mchagga, kulelewa Uchagani, kukulia Uchagani na kuzungumza lugha ya Kichagga, hakukufanyi upoteze asili yako halisi ya Umasai. Naomba kukuuliza swali dogo, jichunguze ukikasirika kama unakasirika Kichagga au Kimorani wa Kimasai?.
P
Katika ambavyo vina muda mchache kufa ni vikabila na Lugha za kikabila

Pascal wewe msukuma watoto wako wanaongea kisukuma?

Fikiria maasai anao mzaramo .Mtoto atakayezaliwa kumwita ni maasai sio sahihi yule chotara wa mchanganyiko wa maasai na mzaramo

Huyo chotara akikua anakuja kuoa Mchaga atazaa chotara lingine mchanganyiko wa chotara na mchaga

Kifupi kwa sasa asilimia kubwa ya vijana na wasichana ni machotara waliotokana na ndoa mchanganyiko. Kuna kabila jipya la machotara
Msukuma unazaa na Mzungu bado mtoto unasema kabila msukuma haiko sahihi sana hiyo
 
Kipengele cha dini hakina tija yoyote. Kuna wengine hatuna dini ne itakuwaje?

Pia kipengele cha kabila nacho hakina tija. Mimi baba yangu ni Mmasai na mama ni Mchaga ila nimezaliwa na kukulia uchagani mpaka nimekuwa mtu mzima na hata kwa baba yangu huko Nainokanoka sijawahi kufika.

Najua mila na tamaduni za kichaga na lugha ya kichaga naijua pia ila kimasai sikijui.

Je mimi ni Mmasai au ni Machagga?
Erooo Msalimie Laltaika
 
Hakuna haja kabisa ya Kipengele cha Dini kuwekwa katika Sensa
 
Ukianza kuzungumzia Udini na Ukabila nahisi UKABULU unapiga hodi katika nchi yetu!
 
Rais wetu usifungwe kwa miiko, watu wengi ikiwemo wewe wameleta mabadiliko chanya kwenye jamii kwa kuvunja miiko, tuangalie faida na hasara zake sio kwa kuwa halikuwahi kufanyika

Hili suala haina haja ya kulichukulia kwa shari na kutokuaminiana, tujadili kwa utulivu na kwa reason

Dini imekuwa sehemu muhimu sana ya maisha ya mtanzania na kwa maana hiyo utamaduni wa Watanzania wengi umeathiriwa na dini waliyo nayo

Na utamaduni una effect kubwa kwenye maendeleo ya mtu, jamii na taifa

Mfano mikoa ambayo ipo percived kuwa na waislam wengi, nasema percived kwa sababu hakuna takwimu rasmi

Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?

Na kama haina maendeleo kwa sababu ya kusahaulika na serikali, basi tuseme umasikini wao umechangiwa na culture yao ambayo kwa kiasi kikubwa inaathiriwa na Dini? Basi ikionekana utamaduni/dini ndio imechangia, basi Serikali ina kazi ya kufanya maana Dini ya Kiislam haimaanishi kukataa maendeleo, maana mataifa yaliyoendelea zaidi Afrika kama Egypt na Morocco ni ya Kiislam

Hii ni analysisi ya muhimu inayotakiwa kufanywa na Serikali kama serikali ina nia ya dhati ya kuleta kuondoa umasikini kwa usawa maeneo yote TZ


So hapa ndipo kipengele cha Dini kinakuwa cha muhimu,

Na sio hapa tu, pia serikali imekuwa ikishirikiana na taasisi za kidini za Kikristo na Kiislam kwenye maendeleo na ustawi wa Tanzania, kwa hiyo kuwa na takwimu kuhusu waumini wa imani fulani na ku share takwimu hizi na taasisi hizo za kidini ambazo zinashirikiana nao, italeta manufaa mengi kwa pande zote

Mfano Bakwata, Balozi za mataifa mbalimbali, na watu binafsi wamekuwa wakishirikiana na Serikali kujenga visima na misikiti kwenye maeneo yenye Waislam, hivyo serikali ingetupa takwimu tukajua maeneo ambayo yangepewa kipaumbele
Naona wanakuponda lakini nadhani wewe umekuja na hoja nzito na bila shaka umebobea sana kwenye utafiti. Tatizo wengi huku hawatakuelewa.
 
Huna hoja hata ya maana

Serikali haihudumii watu kwa msingi ya kidini au kikabila sababu Haina dini

Yenyewe huhudumia sababu ya kuweko mahitaji eneo husika.Na kujua kuna hitaji nini Serikali wala Haina haja ya kufanya utafiti wa kina sababu mbunge wa eneo ambaye ni mwakilishi wa eneo husika yupo.

Serikali Haina dini hivyo haihudumii dini
Unasema mtumushi akifa eti huzikwa na Serikali kwa mujibu wa imani yake? Mnadanganya huko mnakokutana.Toka lini Serikali ikazika mtu kidini? Mtumishi Akifa ndugu wa marehemu ndio huamua azikwaje sio Serikali. Na ndugu ndio hutafuta shehe au padri wa kufanya shughuli hiyo ya mazishi sio Serikali
Dini ni kitu kinabadilika badilika ujue
 
Mikoa hii ni kama Kigoma, Lindi, Tanga, Mtwara na wilaya za mkoa wa Pwani zilizo mbali na Dar, mikoa hii kumekuwa na umasikini mkubwa na huduma za kijamii kama Hospitali, shule, barabara pia ni duni, sasa tunataka kujua kuna uhusiano wowote kati ya maendeleo ya mkoa huu na dini (ambayo ina infuence culure yake?) au ni mikoa ambayo Serikali ilijisahu kwa bahati mbaya tu kupeleka maendeleo kama mikoa mingine?
Hapa ni suala la kufanya utafiti siyo sensa
 
Wewe ni Mmasai, kabila ya Baba.
Kuzaliwa na Mama Mchagga, kulelewa Uchagani, kukulia Uchagani na kuzungumza lugha ya Kichagga, hakukufanyi upoteze asili yako halisi ya Umasai. Naomba kukuuliza swali dogo, jichunguze ukikasirika kama unakasirika Kichagga au Kimorani wa Kimasai?.
P
Sina tabia za kimasai kabisa. Yani mimi ni mchaga hata tukikutana leo utajua tu ni mchaga mpaka nikuambie kuwa sio.


Biologically ndio nakubali mimi ni mmasai. Lakini socially huwezi kusema mimi ni mmasai. Nafit zaidi kwenye uchagga.
 
Ngoja nione kama nimekupata vizuri...., Kwamba kuna Mikoa ambayo ipo nyuma kimaendeleo na ni Masikini..., kwahio hapo kama common denominator ni Dini / Imani Fulani tuweze kujua ili kusaidia....

Mfano unagundua tatizo ni Imani potofu (kama baadhi ya makabila ya ukeketaji) je utaanza kuwaambia / kuwafundisha au kuwaabia hao watu waachane na Imani yao ? Kama hio Imani ipo intertwined kwenye Dini huoni itakuwa ni kazi kubwa ?

Kwanini shortcut isiwe kuondoa umasikini, ujinga na maradhi popote unapoonekana be it mkoa gani au watu wengi ni wa Imani gani...

Sababu hayo matatizo hayachagui Imani, na kama kuna Imani potofu ni jukumu la kila raia na hata viongozi wa hio Imani kuweza kuinyoosha hio Imani...,
Uko sahihi yeye yuko wrong
 
Back
Top Bottom