Inaweza kuwa...TZ tunavyokuza mambo apo utakuta wamepeleka risti fek zenye mhur wa wakala wa huduma za kibenk kua wamelipa mhasbu kajaza kuja kupga hesabu ndio wamejua hawa walifoj rst lakin utasikia wamedukua.. miaka hiyo tulikua tunakula hela za hostel tunaenda kufoj rest na tukasoma had tukamaliza wajinga wakaiga kwenye ada wakafukzwa
Mifumo hata ukiingia SIMS na OSIM za vyuo unaona zilivyokaa kipuuzi kama za vyama vya kilimo uko Uyui.hakuna cha Practical wala nini hapo, mfumo huenda ulioneakana una shida mahala.. madogo wakatumia mwanya ndio maana unaona kundi kubwaa la watu.. Mifumo mingi ya vyou ni mibovu sana,
Nimeshatuma hapo ushaidi nawe tuma hiki unachokisemaNchi za wenzetu hao wanafunzi hawafukuzwi bali wanafungwa jela au wanalipa faini kubwa mno wakiweza
Nimezungumza swala la kuiba au kupata kazi!!? Unajua maana ya jail breaking mkuu!!? Unajua hasara unayoipata wewe kama manufacturer au mmiliki!!? Kumbe ukizeeka ndo akili zinawahi kuisha hiviKwa hiyo ulivyosoma wewe ndiyo umeelewa kuwa kaiba?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kaanzie uliponijibu niliandika nini.Nimezungumza swala la kuiba au kupata kazi!!? Unajua maana ya jail breaking mkuu!!? Unajua hasara unayoipata wewe kama manufacturer au mmiliki!!? Kumbe ukizeeka ndo akili zinawahi kuisha hivi
Hata uwe mjuzi, kiasi gani ukitumia gizanini huo ujuzi wako, hautakusaidia kwenye mwanga.Kwanini wawafukuze hao wabobezi wa IT [emoji26][emoji26][emoji26]
Ndiyo ulipoishia kufikili au kunanyongezaHata uwe mjuzi, kiasi gani ukitumia gizanini huo ujuzi wako, hautakusaidia kwenye mwanga.
Hivyo walichofanya ni wizi, kama wizi mwingine kwanza udukuzu, ni kosa kisheria.
"Hakuna anayeendeleza mwizi" kampuni kubwa tu zaidi ya tayu zimewaajiri watu ambao walidukua mifumo yao choice ni moja umuajiri kuziba loopholes au umuache upate hasara zaidi... this case nchi nyingine wanakuchukulia kama genuine product katika market lazima wakuendeleze na hata kama sio wao basi sehemu zingine zenye reputations kubwa tu watakuchukua....Kaanzie uliponijibu niliandika nini.
Wewe unaonesha una akili za samaki.
Hiyo kwako inahitaji ufikili ha ha ha du.Ndiyo ulipoishia kufikili au kunanyongeza
Nashindwa kuchangia mada yako sababu ya wewe mwenyewe kutokuwa na msimamo na unachokiongea... mara wameshirikiana na It wa chuo mara fraud...Huyo alifoji malipo? Kwani hujui Apple, makampuni makubwa mengine na serikali nyingine duniani hufanya mashindano ya ethical hacking. Huyo alionyesha security weakness akatoa evidence, hawa wameiba ni fraud kesi kubwa kabisa mahakamani
Amen!!tunazinguaga hapo tu hao ilibidi hata serikali iwatengee fungu zito la kuwasomesha na kuwafadhili kwenye practiko zao na kisha kuwaajili vyuoni huko wakawapike wengine zaidi labda kwa kila mmoja katika hao hamsini anatakiwa awapike vijana 30 katika fani hiyo ya IT,,,unadhani tukianza kwa malengo hayo baada ya miaka kumi tunakuwa angalau na vijana safii wa kwenye mifumo yetu na wenye ubora pia dunia kwa sasa inakimbizwa na teknolojia uwekezaji unahitajika sana eneo hilo kuliko serikali inavyodhani,,,, lakini shida ya sisi ngozi nyeusi ni kudidimizana tuu badala ya kunyanyuana hata kwenye wrong ways ambazo ukiwa na fikra na maono zina faida ukiziturn into Right Ways!!Kwanini wasiwape Distinction kwa Kazi nzuri ya IT (kuweza kudukua mfumo wa Taasisi ambayo ni so called inafundisha mfumo ambao unaonyesha jinsi ya kujikinga na mambo kama haya)...
Wawape Distinction for a Job well Done na sababu wameshikwa basi walipe na ikibidi hata walipe fine kwa kushikwa na fundisho kwa wengine wasijaribu - Ila kama ni kufukuzwa na Chuo kijifukuze
Kwanini wasiwape Distinction kwa Kazi nzuri ya IT (kuweza kudukua mfumo wa Taasisi ambayo ni so called inafundisha mfumo ambao unaonyesha jinsi ya kujikinga na mambo kama haya)...
Wawape Distinction for a Job well Done na sababu wameshikwa basi walipe na ikibidi hata walipe fine kwa kushikwa na fundisho kwa wengine wasijaribu - Ila kama ni kufukuzwa na Chuo kijifukuze
Apple wakishatoa security feature huwa wanaalika mwenye uwezo wa kuikwepa aje na wanatangaza dau, akifanikiwa anawaeleza tatizo liko wapi wanampa hela yake.Nashindwa kuchangia mada yako sababu ya wewe mwenyewe kutokuwa na msimamo na unachokiongea... mara wameshirikiana na It wa chuo mara fraud...
Kwenye kesi ya fraud nakubaliana na wewe ni sahihi ila hili pia limefanyika na kwetu na matokeo yake ndo hayo nnayosema, unadhani Apple walipata strong security katika device zao kirahisi tu
Mar nyingi kesi za hivi wala sio udukuzi wala nini…Unakuta ni mfanyakazi anayehusika na system ya ada chuoni ndo anakula dili na mwanafunzi mmoja amtafutie wateja wa hivo wanagawana malipo…likisanuka huyo mfanyakazi anamkana huyo mwanafunzi aliyetumika kama chamboKwanini wasiwape Distinction kwa Kazi nzuri ya IT (kuweza kudukua mfumo wa Taasisi ambayo ni so called inafundisha mfumo ambao unaonyesha jinsi ya kujikinga na mambo kama haya)...
Wawape Distinction for a Job well Done na sababu wameshikwa basi walipe na ikibidi hata walipe fine kwa kushikwa na fundisho kwa wengine wasijaribu - Ila kama ni kufukuzwa na Chuo kijifukuze