Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Uchaguzi ulikuwa na vituko sana zaidi ya mizengwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahahahah!!!Nazungumzia Ruge na professionalism eneo la kazi, kuhusu chama chake hadi kuku anajua alikua ccm.
Haya kakae na mavi yako nyumbani-Shujaa.Leo naona CHADEMA mmechapwa tulieni hivyo hivyo dawa iwaingie
Hakuna media inayosupport wajinga hawa wanaoitwa CHADEMA. labda Tanzagiza na CHADEMA MEDIA yenye digital Camera moja
Kumbe wewe ni sabaya??Leo naona CHADEMA mmechapwa tulieni hivyo hivyo dawa iwaingie
Hakuna media inayosupport wajinga hawa wanaoitwa CHADEMA. labda Tanzagiza na CHADEMA MEDIA yenye digital Camera moja
Kuna yule mwanamziki wa zamani kidogo ,kama sikosei alisemaga watangazaji wengi wa hii radion sio .... malizia,sidhani chama makini kama ccm kingeweza wapa kuraWatangazaji wa Clouds karibia wote ni wanaccm na waligombea ubunge na udiwani lakini walifelishwa na wajumbe kwenye kura za maoni
Ni Masoud Kipanya pekee ndio hakuchukua fomu.
Hivyo ni sahihi kabisa kwa Clouds media kualika makada wa CCM kwenye vipindi vyao na kuwatosa wale wa Chadema.
Kazi Iendelee!
Shauri yako.hueleweki
Mungu meko alikufa na covid sasa hivi funza wamekula kimebaki kile kichwa chake box kusichokua na akili ,pole sana dada juliana shonzaHuyu mungu wa nyumbu mbowe ni nani hadi asijadiliwe?
Tanga wanaita KIMANUMANU, yameinamishwa na wamekubali, jizi kabisa unalipa airtime? Damu za watu zinamlilia mu mikononi kabisaa!Watu wamekubali kununuliwa kama kuku wa kitoweo sokoni. Kusaga kafika bei.
mungu feki kafa na lile bichwa lake lililo jaa ubaya linapigwa tu marungu..😂😂Mungu meko alikufa na covid sasa hivi funza wamekula kimebaki kile kichwa chake box kusichokua na akili ,pole sana dada juliana shonza
aisee ni shida sana, hivi SHONZA kishaachika na KHADIA KOPA?mungu feki kafa na lile bichwa lake lililo jaa ubaya linapigwa tu marungu..😂😂
Sisi kwetu raha tu..💃🏾🕺🏽💃🏾🕺🏽💃🏾🕺🏽...
Hili Bashite ni Juliana Shonza, lile dada linalotoka ile familia iliolaaniwa .?!
Wanaolewa na wanawake wenzao..?!.
Uandishi wake humu ni kama BASHITE ORIGINAL, lile lilonyimwa akali likajaaliwa makalio.