DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ukiwa toothless dog unadhani kuna kiongozi atashtuka, utabweka tu lakini huwezi kung'ata kwa hiyo aacha tuendelee kupambana
ExactlyKulalamika sio njia sahihi ya kuondoa tatizo binafsi Mimi Kama naishi nchi za watu ambao ni self-center huwa naweka bajeti Kali ili niweze kusur-vive katika nyakati za jua Kali na mvua Kali.
Ukiitegemea serikali utaumia Mara 100
Boda boda mpya 1lt inapiga 50KmTupige hesabu za mtu anayetumia gari ndogo tu inayokula wese la kawaida tu, say 1.3L engine. Mtu huyu anaendesha 50km kwenda kazini na kurudi kila siku. Gari inakula walau 1L kwa 10-12km/hr kwa wastani. Huyu mtu anahitaji kila siku kuweka wese angalau 5L x 3150 = 16,000 β 20,000...hapo ameenda na kurudi, hajapata mishe yoyote ya kuongeza km.
Mwanzo tuliona wanaomiliki pikipiki hawajielewi, leo hii naona wao ndio wanafurahia maisha. Nasikia 1L inaweza kutembea hadi 60km sijui kama kuna ukweli hapo.
Wa Kibaha anaweza kufuga ng'ombe na kulima tikiti kama ana eneo kubwa zaidi.Kabisa,
Au mtu anaambiwa kimara kiwanja 8M, na Kibaha kiwanja 3M anakimbilia Kibaha, ila akishahamia Kibaha cost per month za kukaa mbali ni 300k
Unajitafuta kimaisha katika mazingira hayo unakula chakula cha mchana ili ugundue nini.Naandika hii mada nikiwa na uchungu moyoni.
Sasa hivi nina miezi kama 4 hivi natumia Daladala kwenda na kurudi kazini na mara chache, tena chache sana huwa natumia bodaboda kazini mpaka home, home mpaka kazini.
Kutoka Nyumbani mpaka kazini nikipanda bodaboda direct ni elfu 15. Go and return inalala 30000 sh
Nikipanda bodaboda 1500 sh. mpaka kituo cha Daladala na nikipanda Daladala moja mpaka kazini awali nilikuwa natumia 1000 sh. Jumla 2500 sh, kwenda na kurudi natumia sh. 5000 kamili, nikipanda gari mbili nilikuwa natumia kama elfu 6 hivi. Pesa ambayo himilivu kwangu.
Ila sasa nikipanda Daladala itanilazimu nitumie takribani 7000 kwenda na kurudi.
Hapo ukiweka na chakula na maji around 5000.
Kwahiyo Mimi tu inabidi nitumie angalau elfu 12 kwaajili ya kazini. Familia kwa sasa hali ilivyo kwa siku ni sh. 10 -20 hapo mahitaji yote muhimu kama gas, mkaa, chumvi, Michele na unga viko ndani. Kama havipo lazima uangushe 20.
Kwahiyo inanilazimu kwa siku nitumie kuanzia elfu 30.
Vipi kwa anayelipwa laki 2.5 au laki tatu kwa Wahindi?
Vipi anayelipwa elfu 7 kiwandani kwa siku?
Kipato changu kidogo nahisi kupata msongo wa mawazo.
Serikali ipunguze nauli, watu wanashindia mihogo makazini Ili kubana nauli za kurudia nyumbani jioni.
Hakuna mtumishi wa umma au mwajiriwa wa sekta binafsi Dar es Salaam anaweza kununua kiwanja center labda awe fisadi. Wengi tunajuchanga tunapata viwanja Chanika, Bagamoyo, Kisarawe, Pugu n.k.
Kwa nauli hizi Ili ugeuke na gari upate seat lazima ujipange. Unakuta kila ukipiga hesabu 20 imeenda kwa usafiri na misosi.
Umaskini utaendelea kutupiga maana hatuna mtetezi.
Muache ajenge kwanza,avamiwe na wahuni,atamani kuja kununua mjini ha pesa yote amejengea. Teh teh tehSema na kuishi mbali sana jau,
Hapo mkuu kama hio ratiba ni kweli nakuonea huruma,
Sometimes tunakimbilia viwanja vya bei rahisi ila mara mia ulipe pesa kubwa upate sehemu nzuri sio kujificha huko porini.
Tatizo ni huyu zuzu anaye tuongoza sasa kazi pekee aliyo mudu ni kunya basiNaandika hii mada nikiwa na uchungu moyoni.
Sasa hivi nina miezi kama 4 hivi natumia Daladala kwenda na kurudi kazini na mara chache, tena chache sana huwa natumia bodaboda kazini mpaka home, home mpaka kazini.
Kutoka Nyumbani mpaka kazini nikipanda bodaboda direct ni elfu 15. Go and return inalala 30000 sh
Nikipanda bodaboda 1500 sh. mpaka kituo cha Daladala na nikipanda Daladala moja mpaka kazini awali nilikuwa natumia 1000 sh. Jumla 2500 sh, kwenda na kurudi natumia sh. 5000 kamili, nikipanda gari mbili nilikuwa natumia kama elfu 6 hivi. Pesa ambayo himilivu kwangu.
Ila sasa nikipanda Daladala itanilazimu nitumie takribani 7000 kwenda na kurudi.
Hapo ukiweka na chakula na maji around 5000.
Kwahiyo Mimi tu inabidi nitumie angalau elfu 12 kwaajili ya kazini. Familia kwa sasa hali ilivyo kwa siku ni sh. 10 -20 hapo mahitaji yote muhimu kama gas, mkaa, chumvi, Michele na unga viko ndani. Kama havipo lazima uangushe 20.
Kwahiyo inanilazimu kwa siku nitumie kuanzia elfu 30.
Vipi kwa anayelipwa laki 2.5 au laki tatu kwa Wahindi?
Vipi anayelipwa elfu 7 kiwandani kwa siku?
Kipato changu kidogo nahisi kupata msongo wa mawazo.
Serikali ipunguze nauli, watu wanashindia mihogo makazini Ili kubana nauli za kurudia nyumbani jioni.
Hakuna mtumishi wa umma au mwajiriwa wa sekta binafsi Dar es Salaam anaweza kununua kiwanja center labda awe fisadi. Wengi tunajuchanga tunapata viwanja Chanika, Bagamoyo, Kisarawe, Pugu n.k.
Kwa nauli hizi Ili ugeuke na gari upate seat lazima ujipange. Unakuta kila ukipiga hesabu 20 imeenda kwa usafiri na misosi.
Umaskini utaendelea kutupiga maana hatuna mtetezi.
Nikimwangalia huyu mama naona kabisa hamna project yoyote pale kichwani.... Wanaume kuongozwa na mama dizaini ile ni aibu.Tatizo ni huyu zuzu anaye tuongoza sasa kazi pekee al8yo mudu ni kunya basi
Sometimes tuache kulalamikia serikali kila siku,Inasikitisha sana, wenye mamlaka wanaona sio jukumu lao kuset standard of living kwa watu wao baadala yake wameacha kila kitu out of control.
Dar hii wapi watu wana maeneo makubwa? Viwanja vyetu ni hivi hivi 400sqm -700sqm,Wa Kibaha anaweza kufuga ng'ombe na kulima tikiti kama ana eneo kubwa zaidi.
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Dah, kwa iyo haitakiwi kula?Unajitafuta kimaisha katika mazingira hayo unakula chakula cha mchana ili ugundue nini.
Ahahahah πππ
Kenya wameziwahi
Mkuu ukiwa unatafuta maisha , lazima uhakikishe kwa namna yoyote unajibana , ukipiga andazi la Mia 500 sidhani kama utakufa.Dah, kwa iyo haitakiwi kula?
We bwege tunakujua ni muongo muongo tena dalali njaa kaliDah nmetoka kupiga jana tu hesabu ya mwezi maana nlidownload app ya budget playstore ambayo nilikua naandika kila income na expenses nlizokuwa natumia mbona macho yaligeuka mekundu na nguvu kuniisha
Maana daily 20k mafuta gari
Daily 20k home na hapo baadh ya vitu v aipo
Bills umeme,maji nk 50k
Chakula job 10k hpo ndo kujibana
Vocha
Na mengineyo.
NB;
Sinywi pombe wala si mtu wa starehe
Umefka mwsho wa mwezi Expenses zimegonga 3m+ nikawa kama nimemwagiwa maji
Hebu mpe mchanganuo mwepesi wa kubadili giaSio lazima ufanye kazi sehemu ya kutumia nauli kubwa hivyo, badili upepo uende sawa na kipato.