Dar es Salaam ili uende kazini na kurudi lazima uandae elfu 10 ya usafiri pamoja na chakula. Maskini hana chake hapa nchini

sasa mkuu huko Kimara na Maramba si ni yale yale tu, bora useme Keko, Chang'ombe, Magomeni, Kinondoni, Manzese nk.

Lakini pia mkuu, hakuna anayependa kuishi Kibaha ndanindani, umasikini mkuu, jamii ya kubwa ya Watanzania ni masikini.
Ndio umaskini, lakin tazama utofaut wa nauli na cost nyingine unapoenda panga chumba mbali kwa kigezo cha kusave pesa,

And kimara hadi Kkoo ni gari moja, toka kibaha huko hadi kkoo ni gari si chin ya 3, nadhani utaona cost ya nauli na muda,

Pia mleta mada kajenga, so hana umaskin wa kutisha, angejipiga anunue kiwanja malamba, au kimara ingemsaidia kuliko kwenda kujificha maporin huko unasave 5M ya kiwanja, ila ukihamia kila mwezi unalipia cost ya 300K ya kukaa mbali
 
Badala ya kufikiria kujiongezea kipato wewe unafikiria kuwaumiza wenzio, au unafikiri spare parts za magari wanaokota bure? Au mafuta wanaokota bure?
 
Kabisa,

Au mtu anaambiwa kimara kiwanja 8M, na Kibaha kiwanja 3M anakimbilia Kibaha, ila akishahamia Kibaha cost per month za kukaa mbali ni 300k
Tatizo hiyo 8M hana, hata hiyo 3M ya Kibaha analipia kidogokidogo. Kipato kikiwa kidogo mtu analazimika kufanya mambo yaliyo ndani ya uwezo wake
 
Kazi ni kazi kikubwa mkono uende kinywani
Siyo kweli.

Hilo ni mpaka uwrme hauna uzoefu wowote wa kazi yoyote.

Binadam inatakiwe useme ulichowahi kukifanya, kama hujawahi ufanya chochote, unasema ukweli.

Unasema mimi nimesoma mpaka darasa ??

Nimewahi kufanya au kujifunza kazi hii au hii.

Ndiyo maana vijana wengi mnakosa kazi za kufanya, mnashndwa hata kujieleza ukweli wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…