Naomba ufanye utafiti wako vizuri.. alaf urudi unipe sababuKweli mkuu mfano watumishi wa umma wanaoishi mikoani haswa miji midogo huwa wana nafasi ya kufanya maendeleo kuliko walio mjini kutokana na gharama za maisha
Asante.. But nina vijana nimeajiri nakula upepo kwambalii... aise.. Mungu huyu 😄Pole mkuu ni maisha yetu hayo, kama umejipata usiache kusaidia wahitaji.
Matumizi yako yanaendana na kipato chako, kunawengine wapo town, matumizi per month ni bajeti yako ya Vocha.Dah nmetoka kupiga jana tu hesabu ya mwezi maana nlidownload app ya budget playstore ambayo nilikua naandika kila income na expenses nlizokuwa natumia mbona macho yaligeuka mekundu na nguvu kuniisha
Maana daily 20k mafuta gari
Daily 20k home na hapo baadh ya vitu vipo
Bills umeme,maji nk 50k
Chakula job 10k hpo ndo kujibana
Vocha
Na mengineyo.
NB;
Sinywi pombe wala si mtu wa starehe
Umefka mwsho wa mwezi Expenses zimegonga 3m+ nikawa kama nimemwagiwa maji
Ishu sio nauli hata ubora wa huduma zinazotolewa ni mbovuDar ni jiji la biashara, ukishindwa unaanzisha mkoani. Si sawa na unalazimisha kukaa London wakati kipato kidogo.
Tutafute hela tu.Naandika hii mada nikiwa na uchungu moyoni.
Sasa hivi nina miezi kama 4 hivi natumia Daladala kwenda na kurudi kazini na mara chache, tena chache sana huwa natumia bodaboda kazini mpaka home, home mpaka kazini.
Kutoka Nyumbani mpaka kazini nikipanda bodaboda direct ni elfu 15. Go and return inalala 30000 sh
Nikipanda bodaboda 1500 sh. mpaka kituo cha Daladala na nikipanda Daladala moja mpaka kazini awali nilikuwa natumia 1000 sh. Jumla 2500 sh, kwenda na kurudi natumia sh. 5000 kamili, nikipanda gari mbili nilikuwa natumia kama elfu 6 hivi. Pesa ambayo himilivu kwangu.
Ila sasa nikipanda Daladala itanilazimu nitumie takribani 7000 kwenda na kurudi.
Hapo ukiweka na chakula na maji around 5000.
Kwahiyo Mimi tu inabidi nitumie angalau elfu 12 kwaajili ya kazini. Familia kwa sasa hali ilivyo kwa siku ni sh. 10 -20 hapo mahitaji yote muhimu kama gas, mkaa, chumvi, Michele na unga viko ndani. Kama havipo lazima uangushe 20.
Kwahiyo inanilazimu kwa siku nitumie kuanzia elfu 30.
Vipi kwa anayelipwa laki 2.5 au laki tatu kwa Wahindi?
Vipi anayelipwa elfu 7 kiwandani kwa siku?
Kipato changu kidogo nahisi kupata msongo wa mawazo.
Kwa mwezi natumia karibu milioni 1 kwa chakula nyumbani , kazini , usafiri na dharura ndogondogo.
Hapo ukiweka dharura kubwakubwa kama kufiwa na ada za shule watoto mwezi mmoja naangusha zaidi ya milioni.
Serikali ipunguze nauli, watu wanashindia mihogo makazini Ili kubana nauli za kurudia nyumbani jioni.
Hakuna mtumishi wa umma au mwajiriwa wa sekta binafsi Dar es Salaam anaweza kununua kiwanja center labda awe fisadi. Wengi tunajuchanga tunapata viwanja Chanika, Bagamoyo, Kisarawe, Pugu n.k.
Kwa nauli hizi Ili ugeuke na gari upate seat lazima ujipange. Unakuta kila ukipiga hesabu 20 imeenda kwa usafiri na misosi.
Umaskini utaendelea kutupiga maana hatuna mtetezi.
Wewe kwa siku unatumia kiasi gani cha pesa?JF kila mtu matawi..et natumia 15k kwenda kazini na kurudi mara chache dalaladala huwa natumia daladala..humu mnatupanga sana kama una uwezo wa kutumia 15k unalalamika nini hiyo nauli? Au ndo kipato chako laki 2.5 unajifanya unasemea wengine?
Ni kweli.Kweli mkuu mfano watumishi wa umma wanaoishi mikoani haswa miji midogo huwa wana nafasi ya kufanya maendeleo kuliko walio mjini kutokana na gharama za maisha
Kuna jamaa alikataa kununua kiwanja tabata mwaka 1992.......leo?Sema na kuishi mbali sana jau,
Hapo mkuu kama hio ratiba ni kweli nakuonea huruma,
Sometimes tunakimbilia viwanja vya bei rahisi ila mara mia ulipe pesa kubwa upate sehemu nzuri sio kujificha huko porini.
Huku JF ukitaka matusi waambie watu wafuge au kulima😃Wa Kibaha anaweza kufuga ng'ombe na kulima tikiti kama ana eneo kubwa zaidi.
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Hata ukilaumu hakuna wakujibu au kutatua changamoto yako, Hata wapinzani sio wapinzani wa kweli.. labda Tuanzishe chama chetu cha siasa.. cha JFkwahiyo kama unafanya kazi Kariakoo, ujenge Magomeni, Sinza, Keko, Chang'ombe nk, unajua bei ya maeneo karibu na hiyo unayosema kariakoo.
Watu wanaopt kukaa mbagara na huko Kibaha kutokana na bei ya viwanja kuwa rahisi maana hata hapo kwenye viwanja napo hapana control.
Serikali inajukumu kubwa kufanya standard ya maisha ya watu wake inakuwa nzuri na pia ina jukumu la kufanya bei za bidhaa na huduma zinaendana na uhalisia wa watu wake.
Kama Serikali inashindwa kucontrol mifumo inayopandisha gharama za maisha kwanini tusiilaumu, kama serikali imeshindwa kucontrol bei za mafuta, imeshindwa kujenga miundo mbinu na kurahisisha huduma za usafiri kwenye miji kwanini isilaumiwe?
Lile lucas msambwandakuna lile PUNGA linaitwa LUCAS MWASHAMBWA halielewagi haya mambo,lenyewe kazi kusifia tu
Lucas msambwanda atakua bado yuko katesh kapata kibarua kuchimba makaburiNalijua vizuri. Tena mpaka cheti chake cha kuzaliwa naweza kukuonyesha.
Dogo ni mshenzi sana
Ombeni uhamisho mkoani kwa pesa hiyo unafanya vitu vingi vya msingi ikiwemo uwekezaji mkuuNaandika hii mada nikiwa na uchungu moyoni.
Sasa hivi nina miezi kama 4 hivi natumia Daladala kwenda na kurudi kazini na mara chache, tena chache sana huwa natumia bodaboda kazini mpaka home, home mpaka kazini.
Kutoka Nyumbani mpaka kazini nikipanda bodaboda direct ni elfu 15. Go and return inalala 30000 sh
Nikipanda bodaboda 1500 sh. mpaka kituo cha Daladala na nikipanda Daladala moja mpaka kazini awali nilikuwa natumia 1000 sh. Jumla 2500 sh, kwenda na kurudi natumia sh. 5000 kamili, nikipanda gari mbili nilikuwa natumia kama elfu 6 hivi. Pesa ambayo himilivu kwangu.
Ila sasa nikipanda Daladala itanilazimu nitumie takribani 7000 kwenda na kurudi.
Hapo ukiweka na chakula na maji around 5000.
Kwahiyo Mimi tu inabidi nitumie angalau elfu 12 kwaajili ya kazini. Familia kwa sasa hali ilivyo kwa siku ni sh. 10 -20 hapo mahitaji yote muhimu kama gas, mkaa, chumvi, Michele na unga viko ndani. Kama havipo lazima uangushe 20.
Kwahiyo inanilazimu kwa siku nitumie kuanzia elfu 30.
Vipi kwa anayelipwa laki 2.5 au laki tatu kwa Wahindi?
Vipi anayelipwa elfu 7 kiwandani kwa siku?
Kipato changu kidogo nahisi kupata msongo wa mawazo.
Kwa mwezi natumia karibu milioni 1 kwa chakula nyumbani , kazini , usafiri na dharura ndogondogo.
Hapo ukiweka dharura kubwakubwa kama kufiwa na ada za shule watoto mwezi mmoja naangusha zaidi ya milioni.
Serikali ipunguze nauli, watu wanashindia mihogo makazini Ili kubana nauli za kurudia nyumbani jioni.
Hakuna mtumishi wa umma au mwajiriwa wa sekta binafsi Dar es Salaam anaweza kununua kiwanja center labda awe fisadi. Wengi tunajuchanga tunapata viwanja Chanika, Bagamoyo, Kisarawe, Pugu n.k.
Kwa nauli hizi Ili ugeuke na gari upate seat lazima ujipange. Unakuta kila ukipiga hesabu 20 imeenda kwa usafiri na misosi.
Umaskini utaendelea kutupiga maana hatuna mtetezi.
Mashambani kazi zimejaa hamtaki.
Haya Hapa Dar unafanya kaz posta kwa mshahara huo wa laki 3 unakaa karibu ipi????Hili suala wengi hawazingatii, wewe unalipwa laki tatu halafu unakaa kilomita 45-50 mbali na kazini utakuwa maskini mpaka uzeeni... kaa mbali kama una usafiri wako nje ya hapo unazingua
Kipindi hiki ni mwendo wa kipande cha nanasi tuUnajitafuta kimaisha katika mazingira hayo unakula chakula cha mchana ili ugundue nini.
Mwana wewe ni hustler nakumbuka zama zangu najitafuta nishapiga sana Andazi chai mchana siku Mambo yakiwa poa tunapiga menu CBE paleMkuu ukiwa unatafuta maisha , lazima uhakikishe kwa namna yoyote unajibana , ukipiga andazi la Mia 500 sidhani kama utakufa.
Kama haujatoka familia zenye uwezo unatakiwa uishi kibabe sana kutoboa.
Wengine nyumba zinajengwa kwa pesa ya kuunga unga unakuta wengi hata hiyo 30M cash hakuwa nayoMkuu, huyu mtu kajenga kabisa,
Ina mana kama unaweza kujenga nyumba ya 30M tu, halafu unashindwa kulipa 8M ya kiwanja sehemu nzuri, ? Ambayo nayo unalipa kidogo kidogo?
Vijana wengi tunapenda kusaka maisha ,huku tukipiga pizza , wine, na kutaka pisi kali , apo apo kwenye hiyohiyo pesa tuna taka mafanikio. Kitu ambacho hakiwezekani kamwe.Mwana wewe ni hustler nakumbuka zama zangu najitafuta nishapiga sana Andazi chai mchana siku Mambo yakiwa poa tunapiga menu CBE pale