4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Ndugai alisema mataifa mengine duniani hutafuta watu wa juu kiakili katika kuingia mikataba mbali mbali kati ya nchi na na nchi , na yupo sahii nileteni Kafulila, ndio amekua Mbunge ila kwenye mdaharo nitamkamua mpaka aseme Yesu ni BwanaNdio mtu pekee anaweza kumnyoosha
Ukifuatilia Bunge la 2010-15 utaelewa kwanini Kafulila na Lissu wanaweza kutoshana nguvu kwenye majukwaa ya kampeniKama nimekuelewa vizuri ni kwamba, mama hana jeuri ya kupambana na Lissu kwenye hoja na sio mama tu, huko ccm hakuna mwenye uwezo wa kumfikia Lissu kihoja na kiushawishi na ndio sasa umekuja na pendekezo la kampeni meneja awe Kafulila. Swali langu kwako, why unaona bora Kafulila awe kampeni meneja na haukufikiria kwamba yeye ndio awe mgombea urais kwa tiketi ccm mwaka hu? Kwa kufanya hivo, Lissu atakua anajibiwa na mgombea mwenzie badala ya mtu kati
Kweli Yesu ni Bwana ila Lissu hamuwezi Kafulila kwa hoja hata kidogoNdugai alisema mataifa mengine duniani hutafuta watu wa juu kiakili katika kuingia mikataba mbali mbali kati ya nchi na na nchi , na yupo sahii nileteni Kafulila, ndio amekua Mbunge ila kwenye mdaharo nitamkamua mpaka aseme Yesu ni Bwana
Una humwa , nimesema Prof kabudi kwa mbali , na shida inakuja dr Nshala tiyari ni mjumbe wa kamati kuu ,ccm jipange kabidhi madaraka mwaka huu, vinginevyo ICC inawaita kwa kasi sana Asema BwanaUkifuatilia Bunge la 2010-15 utaelewa kwanini Kafulila na Lissu wanaweza kutoshana nguvu kwenye majukwaa ya kampeni
Ndio nauliza, why awe kampeni meneja? Si achaguliwe tu kua mgombea urais kupitia ccm?Ukifuatilia Bunge la 2010-15 utaelewa kwanini Kafulila na Lissu wanaweza kutoshana nguvu kwenye majukwaa ya kampeni
KumaanishaView attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
MhhhView attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Ya lini hii?Mbona hata kwa data za sasa za World Bank Tanzania inapitwa vibaya sana hata na jirani zetu Kenya tu?
Katika kipimo ambacho 1 ni "most business friendly" Kenya wana 56 na Tanzania wana 141.
In fact Rwanda imewaangusha hata Kenya kwa kuwa na score ya 38.
Hii nayo anaibishia bado?
Kafulila ni sawa kabisa, Siasa za Sasa sio za maguvu ni hoja kwa hojaView attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Acha chuki za kijingasikapendi aka kamtu ka kigoma[emoji34], anaaibisha sana waha, yeye na wapuuzi wenzake mwijaku na baba revo[emoji34]
Huyo ni Dalali/3rd part/Middle man wa Adani Group.View attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Kidumu chama Cha Mapinduzi.
Haahaa uadilifu Gani kafulila anao?😂😂Uadilifu wa Kafulila Lissu hagusi
Upi?Ukweli ndio huo
Wameacha kuchapisha hizi lakini data za mwisho ni za 9/16/2021.Ya lini hii?
Naona kila kada anashambulia kwa zam, ndio option iliyobakiView attachment 3212307
===
Kwa Mtazamo wangu Mtu pekee toka CCM anayeweza kumnyoosha vema Tundu Lissu kwa hoja mujarabu ni huyu Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya mitandaoni ni wazi Watanzania walio wengi wanatamani katika Uchaguzi Mkuu Ujao Kafulila awe kampeni meneja wa Rais Samia ili tumnyooshe vizuri huyu Tundu Lissu na CHADEMA yake kwa hoja,
Lissu ni mtu mwenye akili sana na Leo anasaidiana kwa karibu na John Heche Pamoja Godbless Lemma hawa watu wote ni watu hatari sana kwenye hoja hivyo CCM lazima ijipange kuvulumushiwa hoja Kali kali kuanzia sasa hivyo watu kama akina Kafulila, Polepole, Dkt Bashiru wanahitaji Sasa.
Kidumu chama Cha Mapinduzi.