Kweli ukiangalia kwa makini hakuna tusi isipokuwa ni kwamba DC amenesha kwamba amekerwa na comment ya L. Mpina kukiita kikao hicho ni kikao cha harusi.
iweke video ya mpina anaposema hayo maneno
mpina amesema wapi? lini? tuwekee hiyo video tuangalie na sisiKweli ukiangalia kwa makini hakuna tusi isipokuwa ni kwamba DC amenesha kwamba amekerwa na comment ya L. Mpina kukiita kikao hicho ni kikao cha harusi.
Mkuu, Hivi kumbe DC ni mwongo au ni mzushi? Hiyo hapo juu # 1 hauridhiki nayo aumpina amesema wapi? lini? tuwekee hiyo video tuangalie na sisi
Tunahitaji ushahidiMkuu, Hivi kumbe DC ni mwongo au ni mzushi? Hiyo hapo juu # 1 hauridhiki nayo au
🏃♂️ 🏃♂️Tunahitaji ushahidi
acha kukimbia lete ushahidi wa mpina kusema hayo maneno aliyosema DC🏃♂️ 🏃♂️
Nitarudi mkuu.acha kukimbia lete ushahidi wa mpina kusema hayo maneno aliyosema DC
Hao watu si ndio nasikia wapo 50% pale kariakoo au ni wakinga wapi labdaWakinga wameendelea siku Hizi😄😄
Zamani Ikitokea ajali wanasema Wamekufa Watu wawili na Mkinga mmoja!!
Wako 80%Hao watu si ndio nasikia wapo 50% pale kariakoo au ni wakinga wapi labda
Mahakama yenyewe inahongwa na CCM unategemea niniHivi kwani hao wananchi hawazijui mahakama? hebu wacheni huu utoto wenu usiokuwa na maana mkishirikiana na huyo DC.
Bado mtashuhudia makubwa zaidiMkuu wa wilaya anapata wapi mamlaka ya kumuagiza mbunge hizo si bangi hizo?
🙄 80%?Wako 80%