Dkt. Mwakyembe Kuongoza Uchunguzi Malalamiko ya Mtihani wa Law School


Changamoto kubwa, alaaniwe aliyefanya kiswahili kuwa lugha ya kufundishia toka shule za awali. Ilitakiwa kiingereza iwe lugha ya kufundishia toka chekechea, kisha kiswahili kiwe ni nje ya darasa.
 
Tatizo ni mahakimu wengi kuwa wa mchongo na wanafunzi wanapotaka kupata rejea kutoka kwenye maamuzi ya kesi zao hupata rejea isiyo sahihi.Mahakimu wasimamie weledi maana maamuzi kutoka juu yanawavuruga wanafunzi.
 
Uvccm wanaotegemea teuzi🤣🤣
 
Mwingine alikuwa askari Polisi daah.
 
Umea
Umeandika hapa na huenda Law School unaisikia tu Mitandaoni, Law School wanaosoma sio wote ni freshers sasa sijui ni kizazi kipi unaongelea hapa. Kuna watu wanafanya kazi mahakamani miaka yote na wanaenda Law School wanadunda.... Uliza kwa nini mahakimu wengi hawajapita Law School
 
Inasikitisha sana mkuu
 
Watoto wanataka kushinda Instagram wakiangalia umbeya.
halafu wafaulu
 
Waambie naona Watu wanaropoka Tu kama Machai Jaba
 
Graduates hawawezi hata kuandika application letter ndio mnataka wabebwe wakatuandalie hati za mashtka na kudraft contracts [emoji23][emoji23][emoji23]
Mm mwenyew barua ninayo tumia had Leo na CV Ni kKa angu aliniandikia hyo barua mpk leo ninatumia kuombea kazi [emoji1787]
 
Good point
 
Kuna utafiti uliufanya au umeorozesha tu kama wafanyavyo waganga wa kienyeji?
 
kangara iko kichwani, stop nonsense
 
Na huku sisi tunahitaji tume ya kuchunguza haya manywele.....

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…