Yaani ni kiingereza imekuwa changamoto Tz...si unaona hata mikutano inayohusisha wadau na watumiaji toka nje siku hizi inalazimishwa kiswahili....hata juzi naona walitaka mlazimisha Ruto eti kuzungumza kiswahili... matokeo yake hata yule 'mkalimani' Ruto akamstukia asimtafsirie kwenye kiswahili asije potosha..... hahahahaaa...kiingereza ni changamoto Tz...
Uvccm wanaotegemea teuzi🤣🤣Nashangaa serikali kuunda kamati ya watu saba kuchunguza matokeo ya Law school of Tanzania.
Hichi kizazi cha malaptop huku kichwani hamna kitu?
Angalia hata wakihitimu wanavyokuwa weupe vichwani. Sasa wanafeli kihalali wanabaki kulalama.
Huu ni upuuzi
Na uteuzi kutwa wako mitandaoni kutukana wapinzaniUko sahihi mleta mada. Wanafunzi wanawaza :-
(a)ngono
(b) kubeti
Hawasomi kabisaaaaaaaaa
Mwingine alikuwa askari Polisi daah.Kuna Mwanachuo alimaliza Kidato cha 4 Mwaka 1990 akaenda Chuo cha Ualimu akafundisha Shule ya Msingi Mwaka 2000 akaanza kusoma Sheria Tumaini Dar amehangaika Mwaka 2016 akapata degree ya Sheria akaendele kufundisha Shule ya Msingi Mwaka jana 2021 akajiunga na LAW SCHOOL amekuwa ni Miongoni mwa wale 200 WALIODISCO na Yeye analalamika
je kwa Elimu hiyo na Degree hiyo ulitarajia AFAULI LAW SCHOOL?
VYUO VYETU viache kujali ADA tu kuliko UWEZO wa WANAFUNZI
Za michongoGraduates hawawezi hata kuandika application letter ndio mnataka wabebwe wakatuandalie hati za mashtka na kudraft contracts 😂😂😂
Umeandika hapa na huenda Law School unaisikia tu Mitandaoni, Law School wanaosoma sio wote ni freshers sasa sijui ni kizazi kipi unaongelea hapa. Kuna watu wanafanya kazi mahakamani miaka yote na wanaenda Law School wanadunda.... Uliza kwa nini mahakimu wengi hawajapita Law SchoolNashangaa serikali kuunda kamati ya watu saba kuchunguza matokeo ya Law school of Tanzania.
Hichi kizazi cha malaptop huku kichwani hamna kitu?
Angalia hata wakihitimu wanavyokuwa weupe vichwani. Sasa wanafeli kihalali wanabaki kulalama.
Huu ni upuuzi
yupo mwanafunzi ndioKamati ina wanafunzi au la? Maana bila uwepo wa wanafunzi waliofanya mitihani LST na kufeli, uchunguzi unakuwa sio wa kuaminika
Tulia we pasco malayaHahaha........
Kila mtu anataka kuwa Wakili nchi ngumu sana hii
Inasikitisha sana mkuuYaani kiingereza inazidi kuwa changamoto Tz...si unaona hata mikutano inayohusisha wadau na watu toka nje siku hizi inalazimishwa kiswahili....hata juzi naona walitaka mlazimisha Rais Ruto eti kuzungumza kiswahili... matokeo yake hata yule 'mkalimani' Ruto akamstukia asimtafsirie kwenye kiswahili asije potosha..... hahahahaaa...kiingereza ni changamoto Tz...
Watoto wanataka kushinda Instagram wakiangalia umbeya.Nashangaa serikali kuunda kamati ya watu saba kuchunguza matokeo ya Law school of Tanzania.
Hichi kizazi cha malaptop huku kichwani hamna kitu?
Angalia hata wakihitimu wanavyokuwa weupe vichwani. Sasa wanafeli kihalali wanabaki kulalama.
Huu ni upuuzi
Waambie naona Watu wanaropoka Tu kama Machai JabaUmea
Umeandika hapa na huenda Law School unaisikia tu Mitandaoni, Law School wanaosoma sio wote ni freshers sasa sijui ni kizazi kipi unaongelea hapa. Kuna watu wanafanya kazi mahakamani miaka yote na wanaenda Law School wanadunda.... Uliza kwa nini mahakimu wengi hawajapita Law School
Mm mwenyew barua ninayo tumia had Leo na CV Ni kKa angu aliniandikia hyo barua mpk leo ninatumia kuombea kazi [emoji1787]Graduates hawawezi hata kuandika application letter ndio mnataka wabebwe wakatuandalie hati za mashtka na kudraft contracts [emoji23][emoji23][emoji23]
Good pointSABABU KUU ZA TATIZO:
1. Vyakula hovyo/vya kisasa, Watoto hawanyonyeshwi zaidi ya miaka miwili ili kukomaza afya ya ubongo na kinga + makuku mataira + miyai yao + mipiza, mibaga, michipsi mfano ubongo wa samaki + viini vya mahindi yasiyokobolewa + ufuta + parachichi + ndizi hupelekea kujenga akili nzuri sana kwa kumbukumbu na uelewa mpana.
2. Maadili mabovu tokana na malezi hovyo ya house maids sababu wazazi wako bize kutafuta pesa siku 6/7 kwa wiki tokana na motives ya "HAKI SAWA" hivyo hupelekea wazazi kutojua Watoto wameshindaje kiafya, kimichezo na huenda hata wamenyanyaswa kijinsi (kubakwa + kulawitiwa + vitisho vya uhai).
3. Utandawazi, nyimbo hazina maadili kusikiliza hata kuzitazama videos zake + simu janja kuachiwa watoto + makundi mabaya ya urafiki + mazingira ya malezi mabovu.
4. Malezi ya mzazi upande mmoja (single mothers & fathers) mtoto hukosa kujiamini kisaikolojia kwa kutopata upendo wa wazazi wote wawili akijilinganisha na Watoto wenzake wa malezi ya pande 2 + sumu toka kwa single mothers.
5. Uzungu mwingi, watoto waliozaliwa miaka ya 60 - 89 wamestaarabika sana sababu ya "sticks and carrots caring systems" yani Mtoto akikosea anadhibiwa papo hapo na akifanya vizuri anatunukiwa zawadi/pongezi, siku hizi huu mfumo tumebakiwa nao wahenga pekee.
6. Kukosa uchaji wa Mungu(nguvu za kiroho) Bila maombi ya kiroho na nguvu za Mungu malezi ya watoto ni changamoto kubwa sana kwa wazazi, ijulikane shetani yupo kazini 24 hrs akitumia mawakala wake(Watu wasiomcha Mungu) kurushia Watoto mapepo wachafu.
Ndiyomaana unawezakuta Mtoto yuko vizuri sana shuleni kiakili ghafla akakataa shule hataki kabisa kusoma, au akapofuka macho kimiujiza.
7. Kukosekana kwa Mazoezi mashuleni, mazoezi huchangamsha ubongo kuwa hai kiutendaji wa akili wakati wowote, mfano enzi zetu tulikuwa tunakimbia mchaka mchaka shuleni na tukirudi home tukishamaliza kazi ni michezo lakini muda wa twisheni uko pale pale.
MAISHA NI WEWE NA KUPANGA NI KUCHAGUA.
Kuna utafiti uliufanya au umeorozesha tu kama wafanyavyo waganga wa kienyeji?SABABU KUU ZA TATIZO:
1. Vyakula hovyo/vya kisasa, Watoto hawanyonyeshwi zaidi ya miaka miwili ili kukomaza afya ya ubongo na kinga + makuku mataira + miyai yao + mipiza, mibaga, michipsi mfano ubongo wa samaki + viini vya mahindi yasiyokobolewa + ufuta + parachichi + ndizi hupelekea kujenga akili nzuri sana kwa kumbukumbu na uelewa mpana.
2. Maadili mabovu tokana na malezi hovyo ya house maids sababu wazazi wako bize kutafuta pesa siku 6/7 kwa wiki tokana na motives ya "HAKI SAWA" hivyo hupelekea wazazi kutojua Watoto wameshindaje kiafya, kimichezo na huenda hata wamenyanyaswa kijinsi (kubakwa + kulawitiwa + vitisho vya uhai).
3. Utandawazi, nyimbo hazina maadili kusikiliza hata kuzitazama videos zake + simu janja kuachiwa watoto + makundi mabaya ya urafiki + mazingira ya malezi mabovu.
4. Malezi ya mzazi upande mmoja (single mothers & fathers) mtoto hukosa kujiamini kisaikolojia kwa kutopata upendo wa wazazi wote wawili akijilinganisha na Watoto wenzake wa malezi ya pande 2 + sumu toka kwa single mothers.
5. Uzungu mwingi, watoto waliozaliwa miaka ya 60 - 89 wamestaarabika sana sababu ya "sticks and carrots caring systems" yani Mtoto akikosea anadhibiwa papo hapo na akifanya vizuri anatunukiwa zawadi/pongezi, siku hizi huu mfumo tumebakiwa nao wahenga pekee.
6. Kukosa uchaji wa Mungu(nguvu za kiroho) Bila maombi ya kiroho na nguvu za Mungu malezi ya watoto ni changamoto kubwa sana kwa wazazi, ijulikane shetani yupo kazini 24 hrs akitumia mawakala wake(Watu wasiomcha Mungu) kurushia Watoto mapepo wachafu.
Ndiyomaana unawezakuta Mtoto yuko vizuri sana shuleni kiakili ghafla akakataa shule hataki kabisa kusoma, au akapofuka macho kimiujiza.
7. Kukosekana kwa Mazoezi mashuleni, mazoezi huchangamsha ubongo kuwa hai kiutendaji wa akili wakati wowote, mfano enzi zetu tulikuwa tunakimbia mchaka mchaka shuleni na tukirudi home tukishamaliza kazi ni michezo lakini muda wa twisheni uko pale pale.
MAISHA NI WEWE NA KUPANGA NI KUCHAGUA.
kangara iko kichwani, stop nonsenseNashangaa serikali kuunda kamati ya watu saba kuchunguza matokeo ya Law school of Tanzania.
Hichi kizazi cha malaptop huku kichwani hamna kitu?
Angalia hata wakihitimu wanavyokuwa weupe vichwani. Sasa wanafeli kihalali wanabaki kulalama.
Huu ni upuuzi