Fei Toto agonga mwamba TFF, bado ni mali ya Yanga

EBHANAAE...UNACHOSHA KWELI...WEWE MBONA UNAKAZA SHINGO HIVYO...TOKA PAGE 1 MPAKA SASA YA 9...UPO PALEPALE ...BORING...KAKUSANYE WEWE WAANDISHI UWASIMULIE MAAMUZI YAKO NA FAMILIA YAKO...
 
WEWE JAMAA MBISHI ..UNAONGEA UTUMBO MAHARAGE ..LAKINI MWENYEWE UNAJIONA UNA HOJA KWELI...
 
Alafu kuna mijitu inaforce yanga imuonee huruma...imuache aende atakapo kirahisi tu...
 
Nendaa kwenye case hiyo kaitaje Azam na Yusuph [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mmevurugwa vibayaas, kwan ulaya ipi unasema wee

Neymar aliendaje PSG kutoka Barca?
Nani kavurugwa mpaka sasa,tokea alivyo ondoka na sasa ww unaona kunautofauti Yanga.

Aliondoka ila kwa kukaa na Barca au kamu unajua tofauti ni juavyo niambie.
 
Hawakuridhishwa si wakaomba review na jana ndio review ikafanyika na Feisal akaona umuhimu wa kuwepo Fatuma Karume katika upande wake. Baada ya review je Fatuma Karume hakukiri kuwa ameridhika na mchakato?
Wewe unataka isiwe gizani kwani kesi inamuhusu kila mtu? Waliopelekeana kwenye sheria ndio wamejadiliana vifungu vya sheria.
 
Wengi wanailaumu Yanga badala ya anayempa hela kumdanganya,ametoka Singida united akawa anapata 1.5m,2020 akaboreshewa kuwa 4m mpaka 2024,amepata umaarufu kidogo anaanza kudanganywa kijinga jinga tu,na saizi thamani yake inazidi kushuka,labda hao Azam wao kwasababu hawana jipya watamchukua tu baadaye ila acha aonje joto la jiwe
 
Hapana. Ila Swali langu limebase kwenye kumlipa mchezaji ambaye hata mazoezini haji. Au hatolipwa?
Yeye ndio atailipa yanga fidia kwa kutoonekana kambini kwa mda mrefu sana, asilolijua wanamlia timing tu...
 
Reactions: Tsh
Hili Sakata limeshusha hadhi ya Shangazi Fatuma Karume, pamoja na kutua TFF kwa mbwembwe hatimaye mteja wake kaangukia pua
 
Itoshe tu kusema wewe ni Mbumbumbu ulie shindikana hautibiki

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hivi wewe shule ulienda kusoma nini? Mama yake Feisal kwenye hii kesi anahusika kama nani kiasi kwamba akisema kitu kufuatwe?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hebu tukubaliane kutokukubaliana kwenye "usiri wa mkataba". Nataka nikuulize, kwanini wanaolalamika kwamba TFF wanafanya siri ni mashabiki wa Feisal badala ya Feisal na wakili wake?
Na mama yake ni shabiki?
 
tulisema dogo anajiharibia mkabisha sasa ni zamu ya yanga kuamua wamfanye nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…