Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Mimi yashanichosha haya mambo najionea upuuzi tu.
 
Washauri wa mama huenda wamepanga njama za kumharibia lakini yeye hajajua undani wake kaingia mkenge kiwepesi sasa jumuia za kimataifa zitamlaani vikali sana
Rais mwanamke wa kwanza Africa kuingia kwenye record ya u dictator.
 
Mimi yashanichosha haya mambo najionea upuuzi tu.
Hiyo ni kula ya watu, wamekuwa "vindicated" kuwa mama ankandamiza upinzani, ni diktekta...angeendelea kuupiga mwingi wangekosa cha kusema, wangekosa mafungu ya hela ya kusukuma hashtag #FreeMbowe #KatibaMpya etc.
 
Mama ilitakiwa apate personal mentor wa kumsaidia kufikiri Ili kumshape na sio hawa wanafiki wapo kazini kumuharibia.
Hii ni michezo inachezwa na jiwe gang.
Wapo kimkakati zaidi 2025.
Siku moja tu ameshawapatia hao wanaojiita wanaharakati kiki ya kutosha...hapo wanaandaa proposal za kupiga mpunga kwa jina la uzalendo na kupigania demokrasia
 
Crap!!
 
Rais mwanamke wa kwanza Africa kuingia kwenye record ya u dictator.
Basi hilo neno Dikteta litatumika kwa kila rais atakayekuja kuanzia sasa, ni bahati yao tu hao marais waliyopita hawakupata hilo neno halikutumika. Siasa za Tanzania zinafurahisha sana.
 
Hiyo ni kula ya watu, wamekuwa "vindicated" kuwa mama ankandamiza upinzani, ni diktekta...angeendelea kuupiga mwingi wangekosa cha kusema, wangekosa mafungu ya hela ya kusukuma hashtag #FreeMbowe #KatibaMpya etc.
Ndio maana nilisema Chadema bila hizi hizi chokochoko wanajiona hawajafanya siasa hapa Tanzania, wametafuta kila njia mpaka wamepata walichokitaka et sasa mama nae ni dikteta!
 
What does being undemocratic mean to you ?

Implementing whatever any Tom, Duck or Harry requires ?

Or letting them do anything with full impunity just because they are politicians ?

How can you LIVE the REAL you by caring what aothers are saying about you ?

How many social groups are here in Tanzania and why do you think these so-called opposition politicians want a special treatment from the state?
 
Gud
nivema afungwe ijulikane kuliko ukuda huo
Ili dunia itukalie vizuri sana FUNGENI MBOWE. Amesachiwa kibali katoa nani chakusachiwa akiwa hayupo
 

kwahio mikopo ispotolewa maisha yetu yanakua magumu? eheheh Long live gaidi mbowe
 
Kwa huu upinzani "nyoronyoro" wenye "ghost supporters" hata kama huyo jamaa yao akinyongwa kabisa hakuna mtu atafanya lolote zaidi ya kukimbilia kulialia online.

Check Kampala inavyochafuka Wine akiguswa na hatua zinazochukuliwa na nchi za Magharibi juu ya maafisa wa usalama wa Uganda.
 
Mbowe na wenzake wanataka kutuletea vurugu wakati watanzania tumezoea Amani.
yeye na kundi lazima wajue kuwa Amani ya nchi yetu ni ya muhimu zaidi kuliko Mbowe, Lwaitama na wengine.
huwezi kuanza kuhamasisha watu wadai katiba kwa maandamanona kuvunja sheria za nchi.
nchi hii inaongozwa kwa sheria na kila Raia akiwemo Mbowe na wenzake wanatakiwa waheshimu sheria za nchi, mbowe na wenzake hawako juu ya sheria.
 
MiCCM haina hoja. Inachojua tu ni kuwabambikia watu kesi za ugaidi bila sababu za msingi. Mipuuzi sana hii mitutusa.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜kelele za matanga zimeishia wapi?nyooo
 
Wewe kwanza tengeneza budget yako unayo i fund 100%, halafu pili tengeneza internet yako ya mabua.

Kisha uitumie hiyo internet kutoa kauli hizo.

Lakini kama bado unategemea nchi za watu kuanzia budget mpaka internet services, kujikweza kwamba hujali wanachofikiri wengine ni upumbavu mtupu.
 
Pia taasisi hizo hizo zitatambua kuwa kumbe jpm hakua anakosea kuhusu huu upinzani uchwara, tatizo ni upinzani njia wanazotumia kumbe sio mfumo
 
Simuonei huruma. Ni mambo ya kujitakia, halafu kila siku kulia-lia eti anaonewa: Kwani hana akili timamu kugundua hiyo ni kazi ya hatari?
 
Ndio maana nilisema Chadema bila hizi hizi chokochoko wanajiona hawajafanya siasa hapa Tanzania, wametafuta kila njia mpaka wamepata walichokitaka et sasa mama nae ni dikteta!
Kudai katiba mpya ni chokochoko? hizo katiba mpya Huko nyuma zilidaiwa kwa chokochoko?inaelekea wewe ni mnufaika wa uonevu wa mama kwa wapinzani ndiyo maana umejitoa fahamu sasa huoni kuwa manyanyaso uonevu kwa chadema ni udikiteta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…