Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hamia Burundi
Gharama za maisha zipo juu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gharama za maisha zipo juu sana.
Tulia wwMbowe anajua ku flip na ku flop...
Naona sasa amerudi kwenye the right track
Una ushahidi ?Kama Freeman Aikaeli Mbowe kanunulika kwa vipande kadhaa vya shilingi, mimi ni nani nisikubali faranga zikija.
Tangu lini?Samia ni genius
Mama yuko hewani Sasa, tulia ulambe Dawa.Tangu lini?
Ni heshima kubwa kumwambia mtu ukweli wako usoni mwake badala ya kuendekeza unafik.Mbowe is flopping.
Anamualika rais na Mwenyekiti wa CCM na kuanza kukisakama Chama Chake, huku ni kumtengenezea mgogoro rais na Chama Chake.
Nauona huu mkutano hautaisha vyema.
Litakua ni jambo jema sana. Ila akijibu kwa mipasho ya kipwani basi Mbowe atatawanyishwa kabisa, kama Tulia alivyomsambaratisha Sugu
Hivi hao covid 19 hawajaona kazi zingine za kufanya mbali na ubunge kwani si kwa kusakamwa huku.Ukiwasikiliza wanapotoa michango yao bungeni wanasisitiza sana suala la vijana kujiajiri .Kwa nini hata wao hayo mawazo ya kujiajiri wasiyafanye practically au ni theory tu hazina uhalisia?Mh. Mbowe "Naomba nizungumze swala la covid 19, Chadema haijawai kupeleka majina ya wabunge 19 bungeni na hili swala napenda Dunia ifahamu na nilishawai zungumza na wewe pia na leo nimeona ni vyema nirudie kuzungumza hapa"
Litakua ni jambo jema sana. Ila akijibu kwa mipasho ya kipwani basi Mbowe atatawanyishwa kabisa, kama Tulia alivyomsambaratisha Sugu
Upo sahihi, hiyo itategemea na utayari au ukomavu wa ansyeambiwa. Kibongobongo ni lazima rais akitetee chama chake na hapo ndiyo patawaka.Ni heshima kubwa kumwambia mtu ukweli wako usoni mwake badala ya kuendekeza unafik.
Amandla...
Mnaupiga mwingi.Heri ya siku ya wanawake Duniani.
Nenda katufute clip ya Tulia alivyomjibu Sugu na usikilize hoja alizotumia kumjibu.Punguza ujuaji.
Na bado , subiri mawe zaidiCovid19 wamepewa za uso[emoji1787]
Acha kabisa, mezea basi usipige kelele ukastua na wengineDah! Kamanda Catherine Ruge! Mashalllah!! 😋
Hiyo picha yako kwenye mapokezi nimei zoom! Wallah, siyo mchezo.
Ana busara au anapenda pesa?Mbowe ana busara sana
Wewe hupendi pesa? Mbona unatumika kiboya kwa buku saba tu?Ana busara au anapenda pesa?