Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,238
- 31,190
Zitto hata kabla ya kukutana na rais alishawekwa kundi la wasaliti hivyo akikutana naye huo ni muendelezo tu wa usaliti ambao uko ndani yake kitambo, learn how to differentiate things.Angekuwa Zitto na ACT yake angeitwa msaliti
Hii nchi ngumu sana aiseeee
Tujifunze kuupa muda nafasi ili tujiridhishe.