Mbowe alionyesha kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli ku kuwataka watanzania wapendani ili kuendelea kuleta maendeleo kwani maendeleo hayana vyama.

Hongera sana KUB Mbowe.

Naunga mkono 5 tena kwa Mbowe!
Juhudi za Magufuli ni kufarakanisha Taifa, anataka Tanzania nayo iwe kama Kwao Burundi, Viongozi wenye akili na Mapenzi mema kwa Taifa kama Mheshimiwa Mbowe wanajitokeza kumkanya!
 
Mbona wapinzani wamekua wakiingia ikulu miaka nenda miaka rudi? Wanaalikwa kila siku na wapinzani wengine huudhuria kwa wingi tu, hao walisusia shughuli zote za kimaendeleo na serikali

Kuanzia kutomtambua Rais, kutoka bungeni nk

Wacha kujitoa ufahamu, nenda kwenye huu uzi ukaelimishwe na Watanzania wenzako
 

Hakika wahenga walisema kuwa uyaone! Hotuba ya salamu za Mheshimiwa Mbowe kiongozi wa Chama kikuu cha upinzani Tanzania Leo hii uwanja wa CCM Kirumba imewaacha sio wanachadema tuu hadi wanaccm na watu wengine pia mdomo wazi.

Hakuna aliyetegemea Mbowe angezungumza kijasiri namna ile katikati ya Wapinzani wake na watesi wake na bila kutegemea angepewa nafasi hiyo. Ukiangalia viongozi wengine waupinzani na hata wale mawaziri wakuu wastaafu waliokuwa upinzani walizungumza katika hali ya kuchanganyikiwa na kusifu tuu, huku Sumaye akiita hii ni awamu ya tatu ile ya kwake.

Salamu zilizo enda kwa Magufuli zimewasilishwa katika hali ya unyenyekevu na heshima anayostahili Rais yeyote muelewa hivyo kama Magufuli atashindwa kuzifanyia kazi lawama ni zake sio za kundi analog wakilisha Mbowe.
Binafsi kama mheshimiwa Rais ataheshimu heshima aliyopewa na Mbowe na kubadilika, nami Nita badilika na katika mtazamo juu yake.

Leo hakukuwa na kejeli wala vijembe kama vya yule zuzu wa mzizima.
Tuheshimiane!
 
Kiukweli pamoja na kupinga Mbowe kwa u Mugabe wake lakini kwa hili namkubali sana.
 
Chadema wanasikitisha. They are so naive, yaani wanaamini kabisa huyo mtu atabadilika.
Taifa halihitaji maridhiano yoyote! Haki ndio inahitajika.
Tunahitaji katiba mpya na tume huru ya chaguzi.
 
Lini chadema walimtambua Magufuli Kama Raisi? Kuapishwa walisusa kuwa hawamtambui,bungeni alipoenda Kama Raisi walitoka kumkataa.

Watoe kwanaza tamko la kumtambua Magufuli Kama Raisi.

Wanataka maridhiano na Magufuli Kama Nani kwao ?
Siku lowasaa aliporejea nyumbani
 
Watu wanamakovu makubwa na kama atashupaza shingo basi tushukuru kwa yote.
 
Swala la amani ya taifa letu nafikiri karibu kila Mtanzania mwenye akili timamu analiunga mkono.

Sasa sioni ajabu kwa Mh. Mbowe naye kusapoti swala la amani.

Ila the problem is nyie vichaa wa ccm mnafikiri mbowe anasapoti ujinga na madudu yenu ccm inayoyafanya awamu hii ya 5.
 
Wewe ndii umesema kweli. Hata mimi niliona hilo la kupeana namba za simu.
 
Yaani CHADEMA ni mabingwa wa siasa. Baada ya Mh rais kuwakwepa kuongea nao leo kajikuta ana wapa nafasi ya kumpa ukweli bila yeye kujua ana wapa mwanya. Mbowe amefikisha ujumbe na alie tumiwa ujumbe ameusoma. Nani mjanja? Ccm au CHADEMA kuhudhuria sherehe? Nani katoka na faida? Lumumba semeni!!!
 
Huu ndiyo upotoshaji uliopo ktk watu wanaojiita wadau wa siasa Tz, Mbowe kuongea na mtu wa chama kingine wala siyo story kabisa...........sisi wote ni watz na inawezekana wana mahusiano mengine nje ya vyama........
 

Mwenyekiti Mbowe ana hekima na Busara kuliko maccm 20 akiwepo baba jesca
 
LOL wanielimishe nini sasa?

Wapinzani wanavyohudhuria shughuli za kiserikali kila leo?
 
Lini chadema walimtambua Magufuli Kama Raisi? Kuapishwa walisusa kuwa hawamtambui,bungeni alipoenda Kama Raisi walitoka kumkataa.

Watoe kwanaza tamko la kumtambua Magufuli Kama Raisi.

Wanataka maridhiano na Magufuli Kama Nani kwao ?
HAWAJAENDA PALE KWA AJILI YA RAISI,WAMEENDA KWAJILI YA SIKUKU YA UHURU WA Tanganyika
 
Wewe unataka kulinganisha hali ya uhasama Kenya kuwa sawa na Tanzania?

Ninyi mliuana kwa mamia kwenye machafuko ya kisiasa yaliyochagizwa na ukabila sasa hiyo hali Usifananishe na hizi sarakasi za hide and seek za CCM na chadema


Hatujafika hiyo level yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…