Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Juhudi za Magufuli ni kufarakanisha Taifa, anataka Tanzania nayo iwe kama Kwao Burundi, Viongozi wenye akili na Mapenzi mema kwa Taifa kama Mheshimiwa Mbowe wanajitokeza kumkanya!Mbowe alionyesha kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli ku kuwataka watanzania wapendani ili kuendelea kuleta maendeleo kwani maendeleo hayana vyama.
Hongera sana KUB Mbowe.
Naunga mkono 5 tena kwa Mbowe!
Mbona wapinzani wamekua wakiingia ikulu miaka nenda miaka rudi? Wanaalikwa kila siku na wapinzani wengine huudhuria kwa wingi tu, hao walisusia shughuli zote za kimaendeleo na serikali
Kuanzia kutomtambua Rais, kutoka bungeni nk
Niliwahi kuuliza pale Chadema ni nani asiye mwanaccm?!Mbowe amewaacha solemba makamanda
Niliwahi kuuliza pale Chadema ni nani asiye mwanaccm?!
Siku lowasaa aliporejea nyumbaniLini chadema walimtambua Magufuli Kama Raisi? Kuapishwa walisusa kuwa hawamtambui,bungeni alipoenda Kama Raisi walitoka kumkataa.
Watoe kwanaza tamko la kumtambua Magufuli Kama Raisi.
Wanataka maridhiano na Magufuli Kama Nani kwao ?
Kitu kilichonifurahisha leo pale kirumba stadium ni itifaki ya ukaaji.
KUB Mbowe alikuwa katikati ya Dr Bashiru na Mzee Mangula kwa upande mmoja na Prof Lipumba kwa upande mwingine.
Mzee Sumaye alikuwa na wazee wenzie Pinda na Lowassa.
Lakini kilichonifurahisha ni namna mh Mbowe na Dr Bashiru walivyotumia muda mwingi wa uwepo wao pale kiwanjani kuteta mambo mbalimbali ya kitaifa na ya vyama vyao. Hata aliposimama kusalimia Mbowe alionyesha kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli ku kuwataka watanzania wapendani ili kuendelea kuleta maendeleo kwani maendeleo hayana vyama.
Hongera sana KUB Mbowe.
Naunga mkono 5 tena kwa Mbowe!
Wewe ndii umesema kweli. Hata mimi niliona hilo la kupeana namba za simu.Kuna wakati niliona Mheshimiwa dr Bashiru akimtajia namba ya simu Mheshimiwa mwenyekiti wa Chadema.
Nilibaki najiuliza ni kweli hawa watu walikuwa hawana mawasiliano baina yao au naona vibaya?
Naamini kuwa, kuwa vyama tofauti siyo uadui sasa iweje watu hawa wawili ambao kwa namna moja au nyingine taifa linawategemea wakose kuwa na mawasiliano baina yao kwa muda wote huu waliokaa kwenye uandamizi wa siasa?
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amemtaka Rais Magufuli kuleta maridhiano ya kitaifa na kwamba yeye na chama chake wamenyoosha mkono wa mapatano
Ifuatayo ni Hotuba Fupi ya Kiongozi Mkuu wa Upinzani nchini Tanzania Freeman Aikael Mbowe mbele ya Watanzania katika kuadhimisha miaka 58 ya Uhuru:
Mheshimiwa Rais,
Waheshimiwa viongozi wote mlioko mahali hapa,
Waheshimiwa watanzania wenzangu!
Nimekuja kushiriki sherehe za miaka 58 ya Uhuru kama uthibitisho wa ulazima wa kuwepo maridhiano, kuwepo upendo, na kuwepo mshikamano katika Taifa letu.
Nawapongeza sana watanzania kwa siku hii ya leo na ninamuomba Mwenyezi Mungu siku ya leo ikafungue milango tuweze kuishi kama Taifa linalopendana, tuvumiliane, tukosoane, turuhusu demokrasia. Tukajenge Taifa lenye upendo na mshikamano.
Na Mheshimiwa Rais una nafasi ya kipekee kuweka historia ya maridhiano katika Taifa kwani kuna wengine wanalalamika, wengine wanaumia. Basi Mheshimiwa Rais tumia nafasi hiyo ukaliweke Taifa katika hali ya utengamano.
Nakushukuri sana. Asante sana.
_____________
Hotuba fupi ya Mwenyekiti wa CHADEMA na KUB, Mh *Freeman Mbowe* katika sherehe za maadhimisho ya miaka 58 ya Uhuru wa Tanganyika, zilizofanyika Jijini Mwanza leo 9 Disemba 2019
View attachment 1286525
[emoji23][emoji23][emoji23] noma sanaWhat? 25 million people accommodated at Kirumba!
Kitu kilichonifurahisha leo pale kirumba stadium ni itifaki ya ukaaji.
KUB Mbowe alikuwa katikati ya Dr Bashiru na Mzee Mangula kwa upande mmoja na Prof Lipumba kwa upande mwingine.
Mzee Sumaye alikuwa na wazee wenzie Pinda na Lowassa.
Lakini kilichonifurahisha ni namna mh Mbowe na Dr Bashiru walivyotumia muda mwingi wa uwepo wao pale kiwanjani kuteta mambo mbalimbali ya kitaifa na ya vyama vyao. Hata aliposimama kusalimia Mbowe alionyesha kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli ku kuwataka watanzania wapendani ili kuendelea kuleta maendeleo kwani maendeleo hayana vyama.
Hongera sana KUB Mbowe.
Naunga mkono 5 tena kwa Mbowe!
LOL wanielimishe nini sasa?Wacha kujitoa ufahamu, nenda kwenye huu uzi ukaelimishwe na Watanzania wenzako
Freeman Mbowe: Rais leta maridhiano ya Kitaifa, sisi CHADEMA tuko tayari
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amemtaka Rais Magufuli kuleta maridhiano ya kitaifa na kwamba yeye na chama chake wamenyoosha mkono wa mapatano. Ifuatayo ni Hotuba Fupi ya Kiongozi Mkuu wa Upinzani nchini Tanzania Freeman Aikael Mbowe mbele ya Watanzania katika kuadhimisha miaka 58 ya...www.jamiiforums.com
HAWAJAENDA PALE KWA AJILI YA RAISI,WAMEENDA KWAJILI YA SIKUKU YA UHURU WA TanganyikaLini chadema walimtambua Magufuli Kama Raisi? Kuapishwa walisusa kuwa hawamtambui,bungeni alipoenda Kama Raisi walitoka kumkataa.
Watoe kwanaza tamko la kumtambua Magufuli Kama Raisi.
Wanataka maridhiano na Magufuli Kama Nani kwao ?