Freeman Mbowe: Rais leta maridhiano ya Kitaifa, sisi CHADEMA tuko tayari
Lini chadema walimtambua Magufuli Kama Raisi? Kuapishwa walisusa kuwa hawamtbui,bungeni alipienda Kama Raisi walitoka kumkataa.

Watoe kwanaza tamko la kumtambua Magufuli Kama Raisi.

Wanataka maridhiano na Magufuli Kama Nani kwao ?

Acha upotoshaji ww mpuuzi, cdm walisema hawatambui uchaguzi wa Zanzibar, na kilichowafanya bungeni ni kwakuwa Dr. Shein alishiriki ufunguzi ule wa bunge. Hata hivyo ushindi wa Magufuli ilikuwa ni utata mtupu. Nampongeza sana Zitto kutoshiriki hiyo sherehe na wahuni. Naalani viongozi wa cdm kushiriki kwenye sherehe pamoja na wahuni wanaonajisi demokrasia yetu.
 
Mateso kwa watumishi wa umma miaka 4 hakuna nyongeza.

Kuwa mjasiriamali, utaiona nyongeza, kodi za wananchi unataka nyongeza.

Natania japo ndio ukweli , [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amemtaka Rais Magufuli kuleta maridhiano ya kitaifa na kwamba yeye na chama chake wamenyoosha mkono wa mapatano
Fafanua hili somo; charity should begin at home- CHADEMA tufanye maridhiano na Wilbroad kwanza
 
Lini tuchadema walimtambua Magufuli Kama Raisi? Kuapishwa walisusa kuwa hawamtambui,bungeni alipoenda Kama Raisi walitoka kumkataa.

Watoe kwanaza tamko la kumtambua Magufuli Kama Raisi.

Wanataka maridhiano na Magufuli Kama Nani kwao ?
jomba umefikiria mbali sana..na ni ukweli mtupu wengine tulishasahau..you have a point here
 
Sifa zipi hizo itakazokosa ccm?
Maridhiano ni lazima na muhimu. Chama changu cha CCM, kikigomea usuluhisho, tutapata pigo kubwa kisiasa na tutakosa sifa.

Inajulikana kuwa CDM wanahitaji kujikosha na makosa yao ya kisiasa, wanahitaji wakati wa kupumua na kujitafakari.

Wapewe hiyo nafasi ni haki yao, upinzani madhubuti na wenye muelekeo ni tija kwa chama tawala.
 
Acha upotoshaji ww mpuuzi, cdm walisema hawatambui uchaguzi wa Zanzibar, na kilichowafanya bungeni ni kwakuwa Dr. Shein alishiriki ufunguzi ule wa bunge. Hata hivyo ushindi wa Magufuli ilikuwa ni utata mtupu. Nampongeza sana Zitto kutoshiriki hiyo sherehe na wahuni. Naalani viongozi wa cdm kushiriki kwenye sherehe pamoja na wahuni wanaonajisi demokrasia yetu.
Acha uongo, chadema walitamka hadharani kutotambua matokeo na kutomtambua raisi na hadi siku ya kuapishwa hawakuhudhuria! Tatizo lenu wasahaulifu sana
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amemtaka Rais Magufuli kuleta maridhiano ya kitaifa na kwamba yeye na chama chake wamenyoosha mkono wa mapatano

Kati ya Viongozi wa Upinzani waliopewa nafasi ya kuzungumza Mhe. Mbowe ndiye amefunika wote kiukweli!
Ameongea kifupi lakini Hoja yake ni nzito na ina mashiko! Hii inakwenda kuwasha moto wa another BBI in Tanzania!

Hapa Magufuli ametegewa mtego wa kiufundi sana! Hiki kitakuwa kipimo kingine tosha kwa Urais wake. Tayari Uchaguzi wa SM umezidi kutia doa Utawala wake wa kibabe!
 
Acha upotoshaji ww mpuuzi, cdm walisema hawatambui uchaguzi wa Zanzibar, na kilichowafanya bungeni ni kwakuwa Dr. Shein alishiriki ufunguzi ule wa bunge. Hata hivyo ushindi wa Magufuli ilikuwa ni utata mtupu. Nampongeza sana Zitto kutoshiriki hiyo sherehe na wahuni. Naalani viongozi wa cdm kushiriki kwenye sherehe pamoja na wahuni wanaonajisi demokrasia yetu.
Mpuuzi ni wewe unaekesha mtandaoni humu kuimba mapambio ya Ufipa..wakati viongozi wako wanagonga mvinyo na sato Mwanza..

Viva Magufuli
 
Kati ya Viongozi wa Upinzani waliopewa nafasi ya kuzungumza Mhe. Mbowe ndiye amefunika wote kiukweli!
Ameongea kifupi lakini Hoja yake ni nzito na ina mashiko! Hii inakwenda kuwasha moto wa another BBI in Tanzania!

Hapa Magufuli ametegewa mtego wa kiufundi sana! Hiki kitakuwa kipimo kingine tosha kwa Urais wake. Tayari Uchaguzi wa SM umezidi kutia doa Utawala wake wa kibabe!
Nakubaliana na Wewe
 
Kati ya Viongozi wa Upinzani waliopewa nafasi ya kuzungumza Mhe. Mbowe ndiye amefunika wote kiukweli!
Ameongea kifupi lakini Hoja yake ni nzito na ina mashiko! Hii inakwenda kuwasha moto wa another BBI in Tanzania!

Hapa Magufuli ametegewa mtego wa kiufundi sana! Hiki kitakuwa kipimo kingine tosha kwa Urais wake. Tayari Uchaguzi wa SM umezidi kutia doa Utawala wake wa kibabe!
Kuna mmja alibakia kuongea kisukuma tu pale

Ova
 
Zitto Kabwe sijawahi kumwamini, ana uwezo mzuri sana wa kujenga hoja, ana ushawishi lkn ni mbinafsi kupitiliza.
Mbowe ameonyesha ukomavu, amepewa dakika chache lakini ameonyesha kuitakia mema nchi hii kwa kuthubutu kutamka jambo asilopenda kulisikia rais Magufuli.

Pamoja na yoote sio CCM wala CHADEMA, wamenisikitisha kuvaa sare ya vyama kwenye siku hii muhimu kitaifa.
Ni ushamba kupitiliza na kutokujua unachokiazimisha.

Lipumba katema pumba zake
Shibuda kaanika ujinga wake
Cheyo naye kapoteza muda pale
Mangula sijamsikiliza
Nchi ni yetu site.....nadhani kuja kitu kizuri kibakuja kama nchi.

Japo naona Zitto anabwabwaja sana mitandao ni,ila wenzake wanaonyesha ukomavu wa kisiasa
 
Acha uongo, chadema walitamka hadharani kutotambua matokeo na kutomtambua raisi na hadi siku ya kuapishwa hawakuhudhuria! Tatizo lenu wasahaulifu sana

Angalia hapo kwenye uzi wangu nimesema hata ushindi wake ulikuwa ni utata mtupu. Kutoka bungeni ilikuwa ni suala lingine. Usichanganye mambo. Kwa taarifa yako hata huo uendaji wa Mbowe kwenye hiyo sherehe sio kwamba naufagilia, bado namshangaa kipi kimemfanya ahudhurie kama sio kufuta madai yote halali ya uonevu?
 
Back
Top Bottom