zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
nkana utamlinganisha na raja mkuuWalitangulia Nkana na tukashinda itakuwa hawa Raja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nkana utamlinganisha na raja mkuuWalitangulia Nkana na tukashinda itakuwa hawa Raja
Mimi ni yanga ila sijapenda simba ifungwe hii mechi
Simba msituangushe jamani,mshinde mtutoe kimasomaso
Kuwa na akiba ya maneno weye bintiNyoukaa nyoukaaa leo mtakimbia uzii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Waarabu sasa hivi kiwanja kishakuwa godoro ni mwendo wa kulala.
Yanga wanajiona wenye bahati
Experience kaka halafu wanajua , ww kwao wamecheza bila mashabiki na bado wakampiga Vipers 5. Hapa taifa hii atmosphere ya leo ya mashabiki wa Simba haiwatoi mchezoni.Hivi Siri ni Nini mkuu???
Wapo very conferable.
Jamaa wanacheza Kama wapo kwao.
Dah!Chama atolewe
ni vyema ukala mapema,hii kujifariji itakuumiza zaidi pale mzg ukisoma ft 2 bilaPwente Lzm Zibaki...! Hata Nkana aliwaigi kutangulia Kwa Mkapa
Pole sana ndugu mbumbumbu........Mimi ni yanga ila sijapenda simba ifungwe hii mechi
Simba msituangushe jamani,mshinde mtutoe kimasomaso
Brother husifananishe hao na Raja rank yao na hao ni tofauti.Pwente 3 Lzm Zibaki...! Hata Nkana aliwaigi kutangulia Kwa Mkapa