Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana uwezo huo wa kushinda zaidi ya goli moja.RAja anakufa goli mbili... moja kipindi cha kwanza na lingine kipindi cha pili.....
Hongera Simba
Tatu tu? Aliorodhesha timu kubwa 7.. bila kutaja Asec, Orlando Pirates, Plateau Utd, Nkana, FC Platinum na zingine nyingi.LIBOLO
ENYIMBA
JWANENG
Nimekaa paleeeRAja anakufa goli mbili... moja kipindi cha kwanza na lingine kipindi cha pili.....
Hongera Simba
Saido na Sawadogo wangekuwa wanaingia second half kuleta energy mpya pale inapobidi, hawa huwa pumzi zinakata.Nimeambiwa wataanza Chama,Sakho na Saido. Kocha asiogope kuweka Phiri na Okrah second half
Hawa naomba mechii iishe hivi hiviView attachment 2521725
Vipers ana point 6 zetu
Duh!...una 'confidence' nyingi mno mpaka zinamwagika.View attachment 2521725
Vipers ana point 6 zetu
Any update ya kikosi?Kwa Mkapa hatoki mtu!!
Hii ni kauli mbiu maarufu kwa mashabiki wa Simba Sports Club linapokuja suala la mechi za Kimataifa za CAF. Kwa kauli hiyo ashakufa Al Ahly, Orlando Pirates, As Vita, Kaizer Chiefs na wengineo na sasa ni zamu ya kufa Raja Casablanca. Nani anabisha?
Ndio, ni Simba Sports Club wakiwaalika Raja Casablanca pale dimba la Benjamin Mkapa, katika mchezo wa pili wa ligi ya mabingwa Africa.
Simba watashuka dimbani wakiwa na lengo moja tu la kutafuta alama 3 mara baada ya kupoteza mchezo wa kwanza. Habari njema ni kuwa Saido Ntibazonkiza atakuwepo kikosini ila pengo kubwa ni kukosekana kwa Sadio Kanoute "Putin" kutokana na kadi.
Raja Casablanca nao wataingia kwa tahadhari katika mchezo huu, japo wanaongoza kundi lao mara baada ya kuivurumisha Vipers goli 5 kwa nunge katika mchezo wao wa kwanza!
Mchezo huu utakuwa majira ya saa 1:00 usiku wa leo, na utakuwa mubashara kupitia ZBC2 ya AzamTv na Chaneli 229 ya DStv.
Kila la heri kwa Mnyama, naamini kauli mbiu ya " Kwa Mkapa hatoki Mtu" itaendelea kufanya kazi...
Utabiri:
Simba 2-0 Raja Casablanca
View attachment 2520955
Any update ya kikosi?